Nashangazwa na takukuru kuwa hakuna mtanzania aliye husika na ufisadi ktk ishu ya rada.chanzo ITV.wadau nawasilisha
Nashangazwa
na takukuru kuwa hakuna mtanzania aliye husika na ufisadi ktk ishu ya
rada.chanzo ITV.wadau nawasilisha
siasa hamtaki? wote waliohusika ni Wakenya!
du na we mzee unatuchanganya labda mkuu ungetufafanulia.sasa hamtaki? wote waliohusika ni Wakenya!
ana maana hakuna ushahidi wa kimahakama
katika mahojiano ayke na mwandishi wa itv mkurugenzi wa takukuru anasema wamezunguka kila eneo na hawajakuta marapopote panapohusisha mtanzania yeyote kuhusika na kunufaika na ufisadi huo wa rada.akitoa hoja nyepesi katika kutetea hoja yake hoseah anasema mtanzania angehusika basi nchi ya uingereza wangeng'ang'ania ili mtu huyo ashitakiwe na wao(takukuru). "kweli tumemkabidhi mbu kazi ya kutibu maralia"
Nashangazwa na takukuru kuwa hakuna mtanzania aliye husika na ufisadi ktk ishu ya rada.chanzo ITV.wadau nawasilisha
mkuu daudi hosea ndo nani tena?....kwa tanzania kila kitu kinawezekana.!