Dr.Charles Kitima na wewe umenunuliwa?

Dr.Charles Kitima na wewe umenunuliwa?

Mwongo sana wewe hujui hata channel of communication ya hizo taasisi sasa nani wa kufyekwa na hizo taasisi kama sio Mh sana Jakaya Kikwete aliyeweka watu anaowafahamu yeye na wasio toka taasisi hizo taja nani toka taasisi hizo kati ya wajumbe 30 wa tume saa zingine fikiria kwanza

Sijakuelewa, 30 wametoka taasisi zipi? hebu tufafanulie kidogo kuhusu hao 30 ni wa taasisi zipi.
 
Sijakuelewa, 30 wametoka taasisi zipi? hebu tufafanulie kidogo kuhusu hao 30 ni wa taasisi zipi.

Kichwa cha samaki inaelekea hujui tume ina wajumbe wangapi ungelijua wako wangapi na wanatoka wapi ungejua hakuna watu kutoka taasisi hizo mbili jishughulishe kidogo
 
Kuna vitu vingine kusaini ni sawa na kuweka "najisi" katika document ya serikali!

Raisi makini hasaini upuuzi kwani ana haki ya kusaini au kutosaini!

Ulitaka usaini wewe? kabadili sheria basi uiondoe hiyo najisi yako.
 
Tundu muongo, mnafik, mzandik.

Nimepita standi kuu ya arusha nikakuta kundi la watu wamejikusanya mbele ya duka la mangi mwanzoni sikujua kimewakusanya nikaamua nisogee kumbe walikuwa wanasikiliza redio na baadaye nikagundua kuwa mzungumzaji alikuwa Mh Antipus tundu lissu baada ya kumaliza kujibu maswali ya mtangazaji wa dw nikasikia watu wanapiga makofi......jamani tutajitahidi kubisha lakini huyu mtu sasa umaarufu wake hakuna anayeuzuia. Bravo Tundu Mungu yu pamoja nasi
 
Dr.Kitima ni miongoni mwa watu ambao mara kwa mara huwa anaalikwa Star tv katika vipindi mbalimbali na niseme ukweli tu huwa navutiwa sana na michango na kauli zake kwenye vipindi anavyoalikwa na kwakweli siku zote huwa anakuwa "outspoken".Mara nyingi anakuwa ni mtu wa kuikosoa serikali bila woga wala hofu,naamini wale ambao huwa mnamfuatilia katika luninga mtakubaliana nami.

Lakini ninachoshangaa ni kwanini mpaka leo yuko kimya juu ya sakata hili la Kikwete na Tundu Lissu kuhusu uteuzi wa mjumbe wa TEC kwenye tume ya katiba.Dr.Kitima ndie alietajwa na mh.Lissu kuwa aliiambia kamati ya bunge ya katiba,sheria na utawala kuwa mtu alieteuliwa na Raisi kuingia katika tume hiyo hakupendekezwa na TEC.

Sasa Dr. unashindwa nini kusema hadharani juu ya hili?

Hata hivyo,inawezekana hawezi kuongea bila idhini ya TEC kuhusu jambo hii.

Itakuwa ni jambo la ajabu Taasisi ya kidini kushindwa kusema ukweli au kuficha ukweli.

Watanzania tuachane na Jk na Lissu na badala yake tuzikabe koo hizi Taasisi.Haiingii akilini kuwajadili Tundu Lissu na Kikwete bila kuhoji ukimya wa hizi Taasisi.

Kitu kingine cha kujiuliza ni mbona hawakuhoji uteuzi wa wajumbe hao mara baada ya majina ya wajumbe wa katiba mpya kutangazwa??!!

TEC ni ya kanisa Katoliki na wao wana utaratibu wao wa kujibu hoja zao zinazo wahusu .Wale hawakurupuki it is about time wajinga muache ujinga .Unataka ajibu ili aongezee tatizo? JK alidanganywa na watu wenye busara wanamwacha ili kupunguza shida all we need ni Katiba mpya .
 
Dr.Kitima ni miongoni
mwa watu ambao mara kwa mara huwa anaalikwa Star tv katika vipindi
mbalimbali na niseme ukweli tu huwa navutiwa sana na michango na kauli
zake kwenye vipindi anavyoalikwa na kwakweli siku zote huwa anakuwa
"outspoken".Mara nyingi anakuwa ni mtu wa kuikosoa serikali bila woga
wala hofu,naamini wale ambao huwa mnamfuatilia katika luninga
mtakubaliana nami.

Lakini ninachoshangaa ni kwanini mpaka leo yuko kimya juu ya sakata
hili la Kikwete na Tundu Lissu kuhusu uteuzi wa mjumbe wa TEC kwenye
tume ya katiba.Dr.Kitima ndie alietajwa na mh.Lissu kuwa aliiambia
kamati ya bunge ya katiba,sheria na utawala kuwa mtu alieteuliwa na
Raisi kuingia katika tume hiyo hakupendekezwa na TEC.

Sasa Dr. unashindwa nini kusema hadharani juu ya hili?

Hata hivyo,inawezekana hawezi kuongea bila idhini ya TEC kuhusu jambo
hii.

Itakuwa ni jambo la ajabu Taasisi ya kidini kushindwa kusema ukweli au
kuficha ukweli.

Watanzania tuachane na Jk na Lissu na badala yake tuzikabe koo hizi
Taasisi.Haiingii akilini kuwajadili Tundu Lissu na Kikwete bila kuhoji
ukimya wa hizi Taasisi.

Kitu kingine cha kujiuliza ni mbona hawakuhoji uteuzi wa wajumbe hao
mara baada ya majina ya wajumbe wa katiba mpya kutangazwa??!!

salay slip uko vizuri nayasupport mawazo yako 100%
 
Nimepita standi kuu ya arusha nikakuta kundi la watu wamejikusanya mbele ya duka la mangi mwanzoni sikujua kimewakusanya nikaamua nisogee kumbe walikuwa wanasikiliza redio na baadaye nikagundua kuwa mzungumzaji alikuwa Mh Antipus tundu lissu baada ya kumaliza kujibu maswali ya mtangazaji wa dw nikasikia watu wanapiga makofi......jamani tutajitahidi kubisha lakini huyu mtu sasa umaarufu wake hakuna anayeuzuia. Bravo Tundu Mungu yu pamoja nasi

ni kweli mkuu.unajua maana ya NOTORIOUS
 
Kamaliza kazi yake ya VC chuo kikuu SAUT Mwanza kapewa post mpya Morogoro.

Good details inapendeza kuona watu wanakuja na facts sio wale wenzangu na mimi wanaokujaga hapa utafikiri nyumbani kwao aliingia nyoka wakaanza kumkimbia
 
Dr.Kitima ni miongoni mwa watu ambao mara kwa mara huwa anaalikwa Star tv katika vipindi mbalimbali na niseme ukweli tu huwa navutiwa sana na michango na kauli zake kwenye vipindi anavyoalikwa na kwakweli siku zote huwa anakuwa "outspoken".Mara nyingi anakuwa ni mtu wa kuikosoa serikali bila woga wala hofu,naamini wale ambao huwa mnamfuatilia katika luninga mtakubaliana nami.

Lakini ninachoshangaa ni kwanini mpaka leo yuko kimya juu ya sakata hili la Kikwete na Tundu Lissu kuhusu uteuzi wa mjumbe wa TEC kwenye tume ya katiba.Dr.Kitima ndie alietajwa na mh.Lissu kuwa aliiambia kamati ya bunge ya katiba,sheria na utawala kuwa mtu alieteuliwa na Raisi kuingia katika tume hiyo hakupendekezwa na TEC.

Sasa Dr. unashindwa nini kusema hadharani juu ya hili?

Hata hivyo,inawezekana hawezi kuongea bila idhini ya TEC kuhusu jambo hii.

Itakuwa ni jambo la ajabu Taasisi ya kidini kushindwa kusema ukweli au kuficha ukweli.

Watanzania tuachane na Jk na Lissu na badala yake tuzikabe koo hizi Taasisi.Haiingii akilini kuwajadili Tundu Lissu na Kikwete bila kuhoji ukimya wa hizi Taasisi.

Kitu kingine cha kujiuliza ni mbona hawakuhoji uteuzi wa wajumbe hao mara baada ya majina ya wajumbe wa katiba mpya kutangazwa??!!

Kakibe alisha msemea jangwani
 
Good details inapendeza kuona watu wanakuja na facts sio wale wenzangu na mimi wanaokujaga hapa utafikiri nyumbani kwao aliingia nyoka wakaanza kumkimbia

we have also BAD details about him.hapa sio mahala pake unless mzitake.tunamheshim xana Dr kitima mzee wetu.
 
Kitima kazi keshafukuzwa si VC tena wa SAut chezea ccm muulize kilaini yuko wapi
 
Back
Top Bottom