Dr.Charles Kitima na wewe umenunuliwa?

Dr.Charles Kitima na wewe umenunuliwa?

Wewe akili ya Lissu na Kitima unaona zipo sawa?hawa wote wapenda sifa na camera hwana kitu........

Wanajua kuchambua mada mbalimbali na kuziweka bayana.....JK alimtaja zaidi ya mara tano (T LISSU), angekuwa ni mtu ambaye hayuko sawa JK angeangaika naye wa nn? hv nynyi maccm mkishindwa arguments mnakimbilia kumshambulia mtu? kama ndiyo hivyo endeleeni kujadili watu sisi tunaendelea kujadili mammbo mbalimbali ktk nchi hii mwisho Watz watapima.....
 
Kichwa cha samaki inaelekea hujui tume ina wajumbe wangapi ungelijua wako wangapi na wanatoka wapi ungejua hakuna watu kutoka taasisi hizo mbili jishughulishe kidogo

kichwa cha peremende wewe.unataka kila kitu ulishwe akili zako za kiume umemuazima lisu
 
Tundu muongo, mnafik, mzandik.[/QUOTEWEWE JE????????????????????????????

"Siyo tu kauli ya Mheshimiwa Tundu Lissu ni uzushi na uongo mtupu, bali pia ni ya unafiki, fitina na uzandiki wa hali ya juu."

"... (K)wa Mheshimiwa Tundu Lissu kudai kuwa mapendekezo ya TEC na CCT hayakuheshimiwa ni uongo wa mchana usiokuwa na kichwa wala miguu."
 
-------! Huna adabu wewe HEBU HAYO MANENO KAMWAMBIE BABA YAKO#

"Siyo tu kauli ya Mheshimiwa Tundu Lissu ni uzushi na uongo mtupu, bali pia ni ya unafiki, fitina na uzandiki wa hali ya juu."

"... (K)wa Mheshimiwa Tundu Lissu kudai kuwa mapendekezo ya TEC na CCT hayakuheshimiwa ni uongo wa mchana usiokuwa na kichwa wala miguu."
 
Jk ni mvivu wa kusoma, mvivu wa kufikiri pia ni mweupe sana kichwani.
 
Na bado hadi mlie,kwani maji mafupi ni rahisi kuogelea lakini marefu mtihani tu.

Umesikia kuwa Mbowe anaenda Ikulu kupiga kikomba cha gahwa na kashata lakini hamchukui tundu muongo.
 
Wee hujui kitu,unamjua Kitima?au unafurahi kumuona akiendesha harakati?
Uwe unafuatilia mkuu,Kitima anaongea sana kuhusu serikali,wakati yeye mwenyewe kakiibia chuo mahela mengi,na katapeli vitu vingi,waulize watu waliosoma SAUT miaka ya 2009 hadi 2012,watakwambia

Acha uwongo wewe mimi nipo ndani ya system ya saut kitima ndio mtu aliekiboresha kufungua matawi mengi zaidi
 
Chezea kitima weeewe, sio level yako, wewe kaa chini usubiri uletewe katiba sio majungu yasio na mbele wala nyuma,
 
Acha uwongo wewe mimi nipo ndani ya system ya saut kitima ndio mtu aliekiboresha kufungua matawi mengi zaidi

mkuu ustake tuanze kufungua juu ya kitima.naona mnataka kanisa liumbuke
 
"Siyo tu kauli ya Mheshimiwa Tundu Lissu ni uzushi na uongo mtupu, bali pia ni ya unafiki, fitina na uzandiki wa hali ya juu."

"... (K)wa Mheshimiwa Tundu Lissu kudai kuwa mapendekezo ya TEC na CCT hayakuheshimiwa ni uongo wa mchana usiokuwa na kichwa wala miguu."

Ni hatari sana kwa mkuu wa nchi kujihusisha na mipasho!

Majungu tupu!

Toa ushahidi kumsaidi Jk
 
na huyu ndo rais wetu ajae hana mtu wa kumwabia kumueleza wala hasikii
... Ni kweli mkuu hatutaki rais ajae awe wa kuambiwa, kusikia, kuelezwa, kusimuliwa kama mbayuwayu. Ausome mwenyewe na kuuelewa sio anawaachia akina Lukuvi na Wasira wamsomee halafu wamsimulie, wamwambie,wamueleze. Akina Tundu Lissu na Dr wameshamjua kuwa ni mvivu wa kusoma ndio maana kila linapokuja suala la kusaini mswada wanamsubiria kwa hamu kwenye kona maana wanamjua ataingizwa mkenge na akina Lukuvi tu.
JK ajitahidi nae kusoma hata anapokuwa ndani ya ndege kwenda kukumbatiwa na Obama awe anasomasoma, itamsaidia sana kukwepa suruba za akina Tundu Lisu.
 
Kitima kazi keshafukuzwa si VC tena wa SAut chezea ccm muulize kilaini yuko wapi

Hufaham kama vc huwa wana muda wa kufanya kazi? Kaa kimya padri dk kitima ni bonge la mtaalam... Siyo hao ma dk wenu wa kupewe...
 
Back
Top Bottom