Dr.Charles Kitima na wewe umenunuliwa?

Dr.Charles Kitima na wewe umenunuliwa?

Sikiliza usiwe punguani, muswaada umejadiliwa bungeni, kama mnaona una matatizo ulitaka aurudishe wapi? Kwani ule wa kwanza mlipoenda kumuona Ikulu aliurudisha wapi?

Muswaada umepita unakwenda hatua ya kusainiwa, unasainiwa, unarudishwa bungeni, kama mnataka marekebisho nendeni mkajadili marekebisho bungeni. Hizo ndio kanuni, hakuna longo-longo hapo.
Unataka kulingana kwa lugha yako chafu kama Josephine?
 
Acha uwongo wewe mimi nipo ndani ya system ya saut kitima ndio mtu aliekiboresha kufungua matawi mengi zaidi
Ka,ma unapima maendeleo kwa wingi wa magari una shida?//
Hiyo maktaba ya chuo jengo lina ubora?
Mwanjonde ina nyufa kila kona.........
Eti upo kwenye system,na system ya Kitima wote walikuwa wezi,ndio maana wanasambaratishwa sasa,wadanganye wasiojua saut,na mimi nimesoma hapo,na ni kada mzuri wa CHADEMA,ila sipendi watu wanaotoa boriti kwenye macho ya wenzao hyuku za macho yao wanazisahau........
 
Back
Top Bottom