Uteuzi wa Makonda na hatma yake ndani ya Chama

Song of Solomon

JF-Expert Member
Aug 5, 2021
2,733
5,490
Kelele ni nyingi na shahuku ni kubwa lakini maneno yangu ni machache;

Makonda hatakuwa na wakati mzuri wakati huu ambapo kundi la Msoga lina nguvu ndani ya CCM na Serikali. Kundi la Msoga ni kundi la Wazee wakongwe, wenye nguvu ndani ya CCM, na pia wenye majeraha waliyopatiwa wakati wa Magufuli.

Pia ni kundi lenye vijana wenye ndoto za kushika madaraka makubwa kuliko waliyonayo sasa, kupata/kupora fedha nyingi zaidi ya walizonazo sasa, na zaidi wanadharau kubwa kwa watu wanaowaona si wa kundi lao. Makonda atapaswa kurudia enzi zake za kulamba viatu vya kina Ridhiwani Kikwete, au awe mpole na kutojihusisha sana na mambo ya watu.

Ubabe, Kiburi na Jeuri zake hataweza kuziishi kwa sasa kwa kuwa yeye si kijana wa kundi hilo. Na zaidi hana mahusiano mazuri na kundi hilo lenye nguvu.

Rekodi yake ya kupora mali kwa wafanyabiashra, kuwadharau na kuwakandamiza watu wa chini yake - ambao hawakuwa na nguvu hata ya kulalamika enzi za Magufuli, inamuweka kwenye nafasi ya kuwa mtu wa kujitafakari sana kwa kila atua anayopiga.

Makonda aliwahi kumuonesha dharau hadharani Bw. Daniel Chongolo wakati yeye Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam na Chongolo akiwa Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni.

Makonda ni mtoto wa kundi lililotengwa kisiasa wakati huu. Amerudishwa ili kupunguza uwezekano wa uasi ndani ya CCM lakini je, tasaidia kitu? Kundi maarufu la Wendazao, ambalo nguvu yake kubwa ni wingi wa kura za Mkutano Mkuu wa CCM, limekosa nguvu za kisiasa ndani ya CCM baada ya kundi la Msoga kushika hatamu.

Mabadiliko ya mara kwa mara kwenye baraza la Mawaziri yamezingatia makundi haya mawili; Msoga na Wendazao. Mara nyingi kundi la Msoga limeibuka kidedea, kwa kupewa wizara nyingi na nyeti.

Kwahiyo Makonda atakuwa akifanya kazi kama mwakilishi wa kundi la Wendazao, wakiongozwa na kundi hasimu la Msoga.

Hatatakiwa kwenda kinyume na Msoga ili aendelee kubaki kwenye hiyo nafasi, na hapo itampasa kufanya kazi kwa upole na adabu - kinyume na haiba yake ya kiburi na dharau.

Sisi kazi yetu ni kuchambua!
Nawasilisha
Dr. Chris Cyrilo.
 
Kelele ni nyingi na shahuku ni kubwa lakini maneno yangu ni machache;

Makonda hatakuwa na wakati mzuri wakati huu ambapo kundi la Msoga lina nguvu ndani ya CCM na Serikali. Kundi la Msoga ni kundi la Wazee wakongwe, wenye nguvu ndani ya CCM, na pia wenye majeraha waliyopatiwa wakati wa JPM.

Nawasilisha
Dr. Chris Cyrilo.
Huwezi kupata cheo kizito kama cha Uenezi ndani ya CCM wakati huna nasaba na Msoga.Rejea ata teuzi za serikali wengi waliorudishwa ni watu serikali ya awamu ya nne chini ya Mzee wa fitina Born town JK. Sahau kabisa kupata cheo!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Kelele ni nyingi na shahuku ni kubwa lakini maneno yangu ni machache;

Makonda hatakuwa na wakati mzuri wakati huu ambapo kundi la Msoga lina nguvu ndani ya CCM na Serikali. Kundi la Msoga ni kundi la Wazee wakongwe, wenye nguvu ndani ya CCM, na pia wenye majeraha waliyopatiwa wakati wa
Dr. Chris Cyrilo.
Yanabaki kuwa ni màoni yako na mtazamo wako binafsi,time Will telll

Kuna mliosema hata onekana tena kwenye siasa za nchi hii na uongozi serikalini kwa ujumla

Nikuulize kama msoga gang CCM ndio wanaimiliki hawakuwa na taarifa ya uteuzi wake?
 
Huwezi kupata cheo kizito kama cha Uenezi ndani ya CCM wakati huna nasaba na Msoga.Rejea ata teuzi za serikali wengi waliorudishwa ni watu serikali ya awamu ya nne chini ya Mzee wa fitina Born town JK. Sahau kabisa kupata cheo!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Ahsante sana kwa mawazo yako mazuri mkuu

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Yanabaki kuwa ni màoni yako na mtazamo wako binafsi,time Will telll

Kuna mliosema hata onekana tena kwenye siasa za nchi hii na uongozi serikalini kwa ujumla

Nikuulize kama msoga gang CCM ndio wanaimiliki hawakuwa na taarifa ya uteuzi wake?
Umeuliza swali la msingi sana ila kwa sababu mleta hoja ana agenda yake mfukoni hataweza kukujibu.
 
Enyi team Mbowe na Chadema!

Muacheni Makonda atimize wajibu wake.

Mlikwisha jaribu kumuangamiza sana!

Mmemuombea mabaya mara nyingi sana ila mkasahau Mungu ndie Muweza wa yooote!
 
Kelele ni nyingi na shahuku ni kubwa lakini maneno yangu ni machache;

Makonda hatakuwa na wakati mzuri wakati huu ambapo kundi la Msoga lina nguvu ndani ya CCM na Serikali. Kundi la Msoga ni kundi la Wazee wakongwe, wenye nguvu ndani ya CCM, na pia wenye majeraha waliyopatiwa wakati wa Magufuli.

Pia ni kundi lenye vijana wenye ndoto za kushika madaraka makubwa kuliko waliyonayo sasa, kupata/kupora fedha nyingi zaidi ya walizonazo sasa, na zaidi wanadharau kubwa kwa watu wanaowaona si wa kundi lao. Makonda atapaswa kurudia enzi zake za kulamba viatu vya kina Ridhiwani Kikwete, au awe mpole na kutojihusisha sana na mambo ya watu.

Ubabe, Kiburi na Jeuri zake hataweza kuziishi kwa sasa kwa kuwa yeye si kijana wa kundi hilo. Na zaidi hana mahusiano mazuri na kundi hilo lenye nguvu.

Rekodi yake ya kupora mali kwa wafanyabiashra, kuwadharau na kuwakandamiza watu wa chini yake - ambao hawakuwa na nguvu hata ya kulalamika enzi za Magufuli, inamuweka kwenye nafasi ya kuwa mtu wa kujitafakari sana kwa kila atua anayopiga.

Makonda aliwahi kumuonesha dharau hadharani Bw. Daniel Chongolo wakati yeye Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam na Chongolo akiwa Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni.

Makonda ni mtoto wa kundi lililotengwa kisiasa wakati huu. Amerudishwa ili kupunguza uwezekano wa uasi ndani ya CCM lakini je, tasaidia kitu? Kundi maarufu la Wendazao, ambalo nguvu yake kubwa ni wingi wa kura za Mkutano Mkuu wa CCM, limekosa nguvu za kisiasa ndani ya CCM baada ya kundi la Msoga kushika hatamu.

Mabadiliko ya mara kwa mara kwenye baraza la Mawaziri yamezingatia makundi haya mawili; Msoga na Wendazao. Mara nyingi kundi la Msoga limeibuka kidedea, kwa kupewa wizara nyingi na nyeti.

Kwahiyo Makonda atakuwa akifanya kazi kama mwakilishi wa kundi la Wendazao, wakiongozwa na kundi hasimu la Msoga.

Hatatakiwa kwenda kinyume na Msoga ili aendelee kubaki kwenye hiyo nafasi, na hapo itampasa kufanya kazi kwa upole na adabu - kinyume na haiba yake ya kiburi na dharau.

Sisi kazi yetu ni kuchambua!
Nawasilisha
Dr. Chris Cyrilo.
Maana yake atakuwepo pale kwa Kazi maalum na kwamba hatotakiwa kwenda kinyume na instructions atakazopewa au alizokwisha pewa !!
?? 😅😅🙏
Na msamaha umeombwa na umeshakubaliwa. 😂😂😂 🙏
Ngoja tuone !!
 
Huwezi kupata cheo kizito kama cha Uenezi ndani ya CCM wakati huna nasaba na Msoga.Rejea ata teuzi za serikali wengi waliorudishwa ni watu serikali ya awamu ya nne chini ya Mzee wa fitina Born town JK. Sahau kabisa kupata cheo!!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nadhani uteuzi huu ni dalili nyingine ya kuwepo mpasuko baina ya Samia na msoga
gang. Time will tell. Kuna kundi la tatu
 
Kelele ni nyingi na shahuku ni kubwa lakini maneno yangu ni machache;

Makonda hatakuwa na wakati mzuri wakati huu ambapo kundi la Msoga lina nguvu ndani ya CCM na Serikali. Kundi la Msoga ni kundi la Wazee wakongwe, wenye nguvu ndani ya CCM, na pia wenye majeraha waliyopatiwa wakati wa Magufuli.

Pia ni kundi lenye vijana wenye ndoto za kushika madaraka makubwa kuliko waliyonayo sasa, kupata/kupora fedha nyingi zaidi ya walizonazo sasa, na zaidi wanadharau kubwa kwa watu wanaowaona si wa kundi lao. Makonda atapaswa kurudia enzi zake za kulamba viatu vya kina Ridhiwani Kikwete, au awe mpole na kutojihusisha sana na mambo ya watu.

Ubabe, Kiburi na Jeuri zake hataweza kuziishi kwa sasa kwa kuwa yeye si kijana wa kundi hilo. Na zaidi hana mahusiano mazuri na kundi hilo lenye nguvu.

Rekodi yake ya kupora mali kwa wafanyabiashra, kuwadharau na kuwakandamiza watu wa chini yake - ambao hawakuwa na nguvu hata ya kulalamika enzi za Magufuli, inamuweka kwenye nafasi ya kuwa mtu wa kujitafakari sana kwa kila atua anayopiga.

Makonda aliwahi kumuonesha dharau hadharani Bw. Daniel Chongolo wakati yeye Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam na Chongolo akiwa Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni.

Makonda ni mtoto wa kundi lililotengwa kisiasa wakati huu. Amerudishwa ili kupunguza uwezekano wa uasi ndani ya CCM lakini je, tasaidia kitu? Kundi maarufu la Wendazao, ambalo nguvu yake kubwa ni wingi wa kura za Mkutano Mkuu wa CCM, limekosa nguvu za kisiasa ndani ya CCM baada ya kundi la Msoga kushika hatamu.

Mabadiliko ya mara kwa mara kwenye baraza la Mawaziri yamezingatia makundi haya mawili; Msoga na Wendazao. Mara nyingi kundi la Msoga limeibuka kidedea, kwa kupewa wizara nyingi na nyeti.

Kwahiyo Makonda atakuwa akifanya kazi kama mwakilishi wa kundi la Wendazao, wakiongozwa na kundi hasimu la Msoga.

Hatatakiwa kwenda kinyume na Msoga ili aendelee kubaki kwenye hiyo nafasi, na hapo itampasa kufanya kazi kwa upole na adabu - kinyume na haiba yake ya kiburi na dharau.

Sisi kazi yetu ni kuchambua!
Nawasilisha
Dr. Chris Cyrilo.
Soma pia kuhusu ostracism and self-absorbed groups
 
Kelele ni nyingi na shahuku ni kubwa lakini maneno yangu ni machache;

Makonda hatakuwa na wakati mzuri wakati huu ambapo kundi la Msoga lina nguvu ndani ya CCM na Serikali. Kundi la Msoga ni kundi la Wazee wakongwe, wenye nguvu ndani ya CCM, na pia wenye majeraha waliyopatiwa wakati wa Magufuli.

Pia ni kundi lenye vijana wenye ndoto za kushika madaraka makubwa kuliko waliyonayo sasa, kupata/kupora fedha nyingi zaidi ya walizonazo sasa, na zaidi wanadharau kubwa kwa watu wanaowaona si wa kundi lao. Makonda atapaswa kurudia enzi zake za kulamba viatu vya kina Ridhiwani Kikwete, au awe mpole na kutojihusisha sana na mambo ya watu.

Ubabe, Kiburi na Jeuri zake hataweza kuziishi kwa sasa kwa kuwa yeye si kijana wa kundi hilo. Na zaidi hana mahusiano mazuri na kundi hilo lenye nguvu.

Rekodi yake ya kupora mali kwa wafanyabiashra, kuwadharau na kuwakandamiza watu wa chini yake - ambao hawakuwa na nguvu hata ya kulalamika enzi za Magufuli, inamuweka kwenye nafasi ya kuwa mtu wa kujitafakari sana kwa kila atua anayopiga.

Makonda aliwahi kumuonesha dharau hadharani Bw. Daniel Chongolo wakati yeye Makonda akiwa RC wa Dar es Salaam na Chongolo akiwa Mkuu wa Wilaya wa Kinondoni.

Makonda ni mtoto wa kundi lililotengwa kisiasa wakati huu. Amerudishwa ili kupunguza uwezekano wa uasi ndani ya CCM lakini je, tasaidia kitu? Kundi maarufu la Wendazao, ambalo nguvu yake kubwa ni wingi wa kura za Mkutano Mkuu wa CCM, limekosa nguvu za kisiasa ndani ya CCM baada ya kundi la Msoga kushika hatamu.

Mabadiliko ya mara kwa mara kwenye baraza la Mawaziri yamezingatia makundi haya mawili; Msoga na Wendazao. Mara nyingi kundi la Msoga limeibuka kidedea, kwa kupewa wizara nyingi na nyeti.

Kwahiyo Makonda atakuwa akifanya kazi kama mwakilishi wa kundi la Wendazao, wakiongozwa na kundi hasimu la Msoga.

Hatatakiwa kwenda kinyume na Msoga ili aendelee kubaki kwenye hiyo nafasi, na hapo itampasa kufanya kazi kwa upole na adabu - kinyume na haiba yake ya kiburi na dharau.

Sisi kazi yetu ni kuchambua!
Nawasilisha
Dr. Chris Cyrilo.
Rais Samia amechanganyikiwa kwenye hili. Repercussions zake ni mbaya sana. Kuna methali inasema "adui mwombee njaa"

Hapa naona maadui wa Samia wamefanikiwa kumuombea NJAA. Makonda hakufaa kurudi kwenye utumishi wa chama wala Serikali bali alipaswa kuwa gerezani tu. Hii ni DHIHAKA kubwa kwa Watanzania

Ila iko siku Paul Makonda ataingia tu gerezani na kutumikia kifungo kwa maovu yake
 
Back
Top Bottom