johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,946
- 141,921
- Thread starter
- #41
Umekubali yaishe!Hata wapate 100%, mafuriko ya Dar yako palepale,barabara za Korogwe zitabaki vilevile,na umaskini utabaki palepale
Umekubali yaishe!Hata wapate 100%, mafuriko ya Dar yako palepale,barabara za Korogwe zitabaki vilevile,na umaskini utabaki palepale
Kweli wewe jamaa umeongea ukweli..Huyu ni remnants ya Watutsi na huku walikuja kama ABAPAKASI..lakini ndo hivyo.Huyu Mtutsi akae kimya..Xenophobia
Kumbuka huyu ni mabaki ya ututsiSiamini dharau na matusi haya kwa Watanzania. KwambaKatibu mkuu wa chama tawala anatamba kifaaala 2020 watatumia mkakati uleule haramu wa ushindi 99%!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu VAPS hawa maccm wanatugeuza watanzania wote kuwa ni wajinga na wapumbavuSiamini dharau na matusi haya kwa Watanzania. KwambaKatibu mkuu wa chama tawala anatamba kifaaala 2020 watatumia mkakati uleule haramu wa ushindi 99%!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusipoenda tunajikomesha wenyewe. Hoja ni kwamba nenda chagua unaemutaka.CCM wanajisumbua bure hata wananchi wenyewe bila kuwepo upinzani hatwendi kupiga kura,kuichagua CCM iliolaaniwa ni kujitakia laana.
Kama wewe ni mtanzania mpenda nchi na maendeleo. Likitokea hilo unaloliombea hasara itakuwa ni ya nani?
Mkisusa wenzenu wala!
Kumbe dk Bashiru ni mtutsi???Huyu Mtutsi akae kimya..Xenophobia
He can't be serious. Yaani mbinu za kihuni zilezile zitumike tena ktk uchafuzi mwingine. Historia itamweka ktk rekodi zake, yaani yule mhadhiri maarufu ktk masuala ya taaluma aliyekuwa amejaa hoja na tafakuri za kina kupitia "theoretical critical thinking" ila sasa ktk vitendo kageuka kuwa kioja na muflisi wa hoja.Katibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema kuwa katika uchaguzi mkuu wa Octoba 2020 CCM itatumia mbinu, mikakati na ubunifu ule ule uliotumika kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Dr Bashiru amesisitiza kuwa yeyote atakayejipendekeza kugombea udiwani, uwakilishi, ubunge au urais kupitia Upinzani atakuwa ni halali ya CCM kwani KUSHINDWA ni demokrasia pia.
Dr Bashiru amesema hayo akiwa ziarani wilayani Korogwe mkoani Tanga
Source: Star Tv Habari
My take: Mnyika na Chadema watapata wakati mgumu sana mwaka huu. Chadema bila mbunge itaandikwa historia mpya.
Maendeleo hayana vyama!