Nzi ni nyuki mjinga
JF-Expert Member
- Jan 13, 2020
- 1,074
- 1,553
Upinzani tunasubiri mumfukuze kachero tumsajili atupe mbinu za kutuingiza ikulu.
Kwani tatizo liko wapi Chadema wakose au wapate wabunge. Maadamu MABADILIKO yapo ndani ya mioyo ya watanzania yatafanyika tu. Uwizi wa kura kwa kutumia polisi jeshi wala haitasaidia ila tunasubiri hiyo siku kwasababu nyie ndio wale wale bendera fuata upepoKatibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema kuwa katika uchaguzi mkuu wa Octoba 2020 CCM itatumia mbinu, mikakati na ubunifu ule ule uliotumika kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Dr Bashiru amesisitiza kuwa yeyote atakayejipendekeza kugombea udiwani, uwakilishi, ubunge au urais kupitia Upinzani atakuwa ni halali ya CCM kwani KUSHINDWA ni demokrasia pia.
Dr Bashiru amesema hayo akiwa ziarani wilayani Korogwe mkoani Tanga
Source: Star Tv Habari
My take: Mnyika na Chadema watapata wakati mgumu sana mwaka huu. Chadema bila mbunge itaandikwa historia mpya.
Maendeleo hayana vyama!
Ni lini wapinzani walishinikiza Tume Huru?!CCM sikuzote wanaogopa tume huru ukiongelea tume huru utaambiwa umetumwa na mabeberu ama siyo mzalendo na kesi yake ni ya uhujumu uchumi
Na kweli mkuu kuwakimbia wagombea wa upinzani,kuedit fomu zao na kujipitisha bila kupingwa sawa kabisa ccm oyeeeKatibu mkuu wa CCM Dr Bashiru amesema kuwa katika uchaguzi mkuu wa Octoba 2020 CCM itatumia mbinu, mikakati na ubunifu ule ule uliotumika kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Dr Bashiru amesisitiza kuwa yeyote atakayejipendekeza kugombea udiwani, uwakilishi, ubunge au urais kupitia Upinzani atakuwa ni halali ya CCM kwani KUSHINDWA ni demokrasia pia.
Dr Bashiru amesema hayo akiwa ziarani wilayani Korogwe mkoani Tanga
Source: Star Tv Habari
My take: Mnyika na Chadema watapata wakati mgumu sana mwaka huu. Chadema bila mbunge itaandikwa historia mpya.
Maendeleo hayana vyama!
Siasa ni sayansi bwashee!Na kweli mkuu kuwakimbia wagombea wa upinzani,kuedit fomu zao na kujipitisha bila kupingwa sawa kabisa ccm oyeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Kenya dollar 1 ni shilingi ngapi?Mwambie akishapata huo ushindi tutataka pia kuona dollar moja ikiwa sawa na Tzs 500
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooghh kumbe ni kampeni za Kenya nikajua ni TanzaniaKenya dollar 1 ni shilingi ngapi?
Hilo linawezekana bwashee usiogope!
Kwahiyo mtajitoa!
Je wapinzani wakishinikiza mtawasikiliza swali fikirishi je hiyo tume huru nikwaajili ya upinzani ama kwa usitawi wa TaifaNi lini wapinzani walishinikiza Tume Huru?!
johnthebaptist,
Huyo Katibu Mkuu Dkt Bashiru anaongea hayo hata aibu hana?
Hivi atawezaje kujivunia huo ushindi wa asilimia 99 wa uchaguzi wa serikali za mitaa, wakati hata mtoto mdogo anayesoma chekechea anajua kuwa nyinyi masisiem mlifanya wizi mkubwa sana katika huo mnaouita uchaguzi wa serkali za mitaa?
Usiogope bwashee!