Bana ndio kauwa REDET...ni mropokaji na haongei kama msomi. Kauli zake zote ni za kujipendekeza kwa serikali kitu ambacho sio sahihi kwa msomi wa siasa kama yeye. Wafadhili wamejitoa REDET kutokana na kuboronga kwa taasisi hii kwa kuonesha upendeleo wa wazi kwa serikali katika tafiti zake na huyu mzee ndio kahusika kwa sehemu kubwa. Anatia huruma hata katika kauli zake
Hata mi ningekuwa Dr Bana ningesema hivyo maana ukiwasifia magamba hufi njaa hasa mkwr anafurahi sana huenda akamkaribisha magogoni wanywe chai pamoja