Dr. Angella Mabula (The Lady) atoa somo zito

Dr. Angella Mabula (The Lady) atoa somo zito

Ni uelewa mdogo kufikiria kuwa na international airports nyingi ndiyo maendeleo. Nchi nyingi Duniani zina miji mikubwa na viwanja vya ndege bora vya ndege lakini zina international airport moja.

Unapokuwa na international airport moja inasaidia kukuza usafiri wa ndani na sekta ya hotel kuliko mnapokuwa na international airports nyingi.
 
Na huyo Angelina Mabula toka lini akawa Dr.! watu mna vituko au hujui hata hiyo Dr. inatumika vipi?! mmmmh! kazi ipo aisee
 
Huyo Mama Mabula ni mama mwenye bidii ana vision nzuri kuliko hata boss wake,mkatoriki aliyetukuka hawezi kufoji vyeti au kununua kama alipata Doctorate ni ya kweli
 
Back
Top Bottom