Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,518
- 113,652
RIP Dr. Ndibalema.
RIP Dr. Ndibalema. Namkumbuka mzee huyu kwa vichekesho vyake wakati ananifundisha Educational Management pale UDSM miaka michache iliyopita.
Preta I was just about 2 ask the same question, ngoja wanaofahamu watujuze.
chai yake ya nyoya iliyotakiwa kuwashukia mapadre iliniacha sana hoi.RIP Dr Ndibalemawe acha tu,alikua anafundisha lekcha za usiku,kwakuwa ilikuwa ni ya muda mrfu,alikua anauza chai mpaka raha,dah mzee wa SERENDIPITY
pm mpaka misibani apawomiiiiiiiiimweee.....lakini kuna watu wengi wangependa kufahamu....huoni tutawafanyia choyo?
atakuwaje control na vifo wapi wameandika anaua::::rip...But we haVE to know thAT God is in control.
Poleni sana wandugu zake.