Mzito Kabwela
Platinum Member
- Nov 28, 2009
- 18,904
- 7,746
Dokta Slaa lazima utamtetea Kigoda kwa sababu nyote ni madokta wa kimagumashi, wewe si umepewa PHD na Papa?mmakonde,
Lets be fair. Una hakika kuwa Muhimbili haina AMO's? Unasemaje kuwa Hospitali nyingi za wilaya Tanzania zilikuwa chini ya AMO's ( for lack of MD's) na wamefanya kazi nzuri sana. Wakati wote hao wameitwa madaktari. Je unafahamu kuwa WHO imetambua kada hiyo, na imekubaliwa kuwa hata na specialization, mathalan AMO (opthalmology)n.k. Nadhani unahitaji kutuwekea details zaidi ili Jamvi hili likuelewe vizuri.
Ndugu zangu, hatuwezi hata siku moja kumwita mtu daktari espacially in healthcare field wakati hujakwenda shule kusomea hiyo taaluma ukaitwa daktari. Nakubaliana na Dr Slaa kwamba wapo ma AMO wengi wazuri tu ambao wameachiwa zahanati na wanaziendesha vizuri tu because of lack of qualified professionals(ie:MDs). Lakini asalani tusiwapandishe vyeo hawa watu na kuwaita madaktari, this is simply wrong. Na kama inafikia mtu katika hadhi ya uwaziri anaitwa au anajiita daktari na watu tunamwangalia tu, then there's something wrong in our society. Ndio maana hatuwathamini na kuwalipa madaktari wetu vizuri na kuwapa heshima wanayostahili, haiwezeki asomaye Muhimbili miaka 7 na yule wa kibaha wakawa katika hadhi sawa, one is an MD and the other is a Medical assistant. period.
waru bwana, me ningekushauri mwenye thread hii useme, medical assistance wote wasiitwe Dr.ila kwa ulimbukeni wako wakuweka siasa mbele umemuona ASHA KIGODA pekeyake.nonesense kabisa watanzania.
Wakuu si vema kutoa comments katika kitu ambacho huna upeo nacho. Dr Aisha ni daktari msaidizi, ana Advanced Diploma na kwa mujibu wa miundo ya utumishi wa kada zilizochini ya wizara ya Afya huyo ni anaitwa Dr, na ndiye anayetakiwa kuwa mkuu wa kituo cha Afya (Health Center), Pia anaruhusiwa kufanya upasuaji kama wa akina mama kujifungua.
Nadhani issue ninayoiona hapa ni jinsi gani 'mganga' aliyefuzu (MD) kutoka chuo kikuu cha tiba Munimbili tunamtofautisha jina na yule aliyefuzu (Adv Dipl). Kama kiserikali, kimajukumu na kitaaluma wapo sawa kwa nini wengine wapewe Adv Dipl na sio degree?
Yale yale ya "Advanced Diploma ni sawa na degree" wapi na wapi? Diploma ni diploma na degree ni degree bana. Itabaki kuwa hivyo. Kwanza hata entry qualification za kuingia diploma ni far different from those that make one start his/her M.D classes. Leo tuwaone wote sawa kwanini? tutakua tunatenda haki kweli? are we motivating the medical profession or discouraging those that aspire to become MDs?
Ukitumia miundo ya Utumishi wa umma utakuwa umepotoka kwelikweli. Miundo ile haizingatii TAALUMA hata kidogo! Mtu mwenye "higher govt. accounting" serikalini ni mhasibu tena anaweza kuwa mhasibu mkuu wa wizara!. NBAA huyo hana nafasi kabisa!MEDICA ASSISTANT NI CLINICAL OFFICER KWA KISWAHILI NI AFISA TABIBU NA SI DAKTARI.
KASOME MIUNDO YA UTUMISHI. MIMI SI POLITICIAN TAFADHARI SANA ILA NI MTAALAMU WA MENEJIMENTI YA UMMA, RASILIMALI WATU NA SHERIA ZA KAZI.
PIA KASOME MIUNDO YA UTUMISHI, waombe idara kuu ya utumishi wa umma watakupa usome. ACHA ULIMBUKENI USIO NA MAANA.
Ukitumia miundo ya Utumishi wa umma utakuwa umepotoka kwelikweli. Miundo ile haizingatii TAALUMA hata kidogo! Mtu mwenye "higher govt. accounting" serikalini ni mhasibu tena anaweza kuwa mhasibu mkuu wa wizara!. NBAA huyo hana nafasi kabisa!
Kwa nini media zetu bado zinamwita huyu Naibu Waziri Dr wakati sio?
Huyu ana mediocre Assistant Medical Officer(AMO),ambayo kwenye nyingine hawezi hata kushika mgonjwa Hata Muhimbili wanajua,ndio maana huwezi kupata AMO au Medical assistant hapo!
Ukitumia miundo ya Utumishi wa umma utakuwa umepotoka kwelikweli. Miundo ile haizingatii TAALUMA hata kidogo! Mtu mwenye "higher govt. accounting" serikalini ni mhasibu tena anaweza kuwa mhasibu mkuu wa wizara!. NBAA huyo hana nafasi kabisa!
Dr Aisha Kigoda ni daktari wa binaadamu ambaye ni licensed to doctorate as MDs wa Muhimbili University, Yes she has advanced Diploma in medicine which have accreditation to work as other MDs, mbona doctors wote toka Russia, Cuba etc vyeti vyao vinaonyesha kuwa ni Diploma in medicine na bado wakirudi hapa nyumbani mnawaita Doctors?
"Hata Muhimbili wanajua,ndio maana huwezi kupata AMO au Medical assistant hapo"
Kwa Muhimbili napenda kukuelimisha kidogo tu, ni mara chache sana utafanyiwa Operation pale muhimbili bila kupitia mikononi mwa hawa AMOs ambao wame specialize Anaesthesia, au mmakonde ukipata ukichaa wa akili utakutana na AMOS waliokatika fani ya vichaa na Usipoona vizuri macho yako basi wapo AMOs kibao katika kukusaidia wewe usiyependa waitwe Doctors, basi sawa AMOs sio doctor lakini nenda Hospitali za mikoani na wilayani eg Temeke, Ilala, Mwananyamala, Kigoma, Magu, Ngara, Ntwara etc halafu uje nalist ya MDs V/S hao bare footed doctors nafikiri utakuwa umejua wana umuhimu gani kwako wewe na watanzania wengine....wasalimie!
We acha hizo, madaktari waliosoma Urusi na Cuba nk vyeti vimeandikwa "diploma" kwa maana ndio mfumo wao, wanatumia kilatini, nchi hizo hazina maneno yanayotafsiri moja kwa moja kuwa "bachelor's degree"
Basi fundi wa VETA tumuita engineer??
Heshima mbele mkuu. He could be wrong in some of the details but I think the real question is....is an AMO qualified to be called a doctor or use the title of "Dr."?
Labda nikuulize kaswali kadogo; Baraza la Madaktari lipo kisheria? kwa act ipi ya Bunge? Uliambiwa wapi NBAA inafundisha?Nakushauri usipende kusukumwa zaidi na hisia, BALI UFAHAMU. AMO WANATAMBULIWA NA BARAZA LA MADAKTARI TANZANIA NA WANAUSAJILI.
PIA KAMA HUJUI KITU USIJILAZIMISHE KUWA UNAJUA BALI KUBALI KUELEWESHWA VINGINEVYO ITAKUWA NI SAWA NA KUMPIGIA MBUZI GITAA ILI ACHEZE.
NANI KAKWAMBIA HAIZINGATII TAALUMA? pliz tusiwe tunatoa hoja kama vile tuko kilabuni au kijiweni.
Haya wewe kwa vigezo vyako mwenyewe unataka aitweje?
Dr Slaa kawaambia facts bado mnakazana kupiga soga tu.
IPENI JF HADHI YAKE AS A HOME OF GREAT THINKERS.
MIMI NIMETOA MAELEZO YA KITAALAMU.
Ukitaka kujua utofauti wa majukumu ya AMO, MD na Specialist pliz kasome hiyo miundo.
Mabaraza yanasimamia, hususani la madaktari linasimamia ethics za madaktari na si kuwafundisha
Sasa nauliza. Wenye sifa hizo wanaitwaje serikalini? maana wapo na wengine ni ma-chief accountants wa wizara!PIA Mtu mwenye "higher govt accounting si muhasibu na hakuna muundo wa utumishi wa kada zilizo chini ya wizara ya fedha ZINAMSEMA MTU HUYO NI MHASIBU. Fanya uchambuzi wako kwa umakini zaidi ili usiongee kama kijiweni.
Kama hujui uliza