prototypeman
JF-Expert Member
- Apr 4, 2014
- 288
- 108
Hahaa Good morning
Goodmirning umeona Range sprts yangu SVR
Goodmorning
Goodmirning umeona Range sprts yangu SVR
Goodmorning
Ila mkuu umenilisha maneno😀Hahaa Good morning
Kabisa mkuu. Wanachokifanya kwa Qnet na Mr. KUKU ni kile kile cha DECI. Wanasubiria pesa ziwe nyingi kisha wanazizuia wanakaba. Huu ni utapeli na ni organized crime kabisa.Tapeli wa ukweli ni yule anaeacha tapeli wa uwongo akusanye hela nyingi kutoka kwa wanyonge hadi zifike billions then anaenda kuzikomba zote kutoka kwa tapeli wa uwongo na kuzihamishia BOT bila ya kuwarudishia wanyonge hela zao.
Kabisa. CCM ikija kutoka madarakani sijui kama itakuwa na hoja ya kurejea....... Maana hawa jamaa ni madhalimu wa mchana kweupe.Hizo upatu nyingine haziwezi kufungwa ni mpaka wafikishe fedha ambazo ni billions then zinahamishiwa BOT.Yaani DPP ni TRA ya kimkakati!
Kabisa mkuu....Lakini mkuu, unakuta kampuni kama DECI, Referal Africa, Qnet zina vibali vyote, Qnet iko Tanzania kwa zaidi ya miaka 6, kiasi kwamba watu wanaamini iko sawa, Mr. Kuku pia hadi alikuwa anajitangaza kwenye ma TV. Wa kulaumiwa zaidi ni vyombo vya serikali kwa kuzipa usajili kampuni za kitapeli, bora ingekuwa ni upatu baina ya kundi la watu lisilokuwa na usajili wala ofsi haya yana usajili kabisa, na wanawaaminisha kwa mapicha waliyopiga na viongozi.
True sasa hapa ukitaka kujua unafiki wa hii serikali utaona watakavyokalia kimya hizo zingine ili zikusanye mpunga wakagawane.Kwakweli ndiyo maana nashangaa wanadeal tu na Qnet, zipo kampuni nyingi za upatu na zinajulikana zina maofsi makubwa na zinaendelea kupiga watu kwa pyramid scheme kwa kuingiza watu upate commission,
Kwakweli ndiyo maana nashangaa wanadeal tu na Qnet, zipo kampuni nyingi za upatu na zinajulikana zina maofsi makubwa na zinaendelea kupiga watu kwa pyramid scheme kwa kuingiza watu upate commission,
Hyo ndio dawa ili watu akili iwajie waache kupenda hela za mteremko we uliskia wapi unaweka laki tano sijui baada ya miezi 6 una milion 5 sijui umekaa kitako kwako mtu anakufugia kuku akuletee hela...
DPP hvi hvo wacheni wajinga wakusanye nyie bebeni mana tunapiga kelele kila siku humu hawaelewi
Daaah,,, umenikumbushaa aisee #Goodmorning business partners 😂😂😂😂Goodmorning
Ndio ndio ukiona kuna mchezo ka huo uliza kwanza wameanza lini kama zishapita wiki tatu kausha...Hizi pyramid scheme business ingia mwanzoni uvune zikishaanza tu kuingiza watu wengi kimbia
Mambo niliyo jifunza...Mbali na kukemea suala hilo, alizitaka taasisi zinazofanya uchunguzi kuhusiana na sakata la kampuni ya Qnet kushirikiana kwani wanajenga nyumba moja.
Ndiyo Ukweli WenyeweTapeli wa ukweli ni yule anaeacha tapeli wa uwongo akusanye hela nyingi kutoka kwa wanyonge hadi zifike billions then anaenda kuzikomba zote kutoka kwa tapeli wa uwongo na kuzihamishia BOT bila ya kuwarudishia wanyonge hela zao.
Either Alijua au alitumika bila kujuaKatika vitu kingwa atajilaumu sana ni kukubali kukaa high table kwenye hiyo hafla. Bonge la blander.
Soma tena ulichoandika mkubwa acha maneno...Kwahiyo UNAMAANISHA SHERIA ya DPP itabagua kutumika kati ya Kuku na Qnet!
Au KUKU kashitakiwa kwa kosa la kichungaji siyo utapeli kama Qnet?