Hawa QNET wapo juu ya sheria?

Hawa QNET wapo juu ya sheria?

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2012
Posts
20,615
Reaction score
42,592
Juzi nimeangalia ITV Habari nikaona QNET wamefanya utapeli wao tena huko Same, Kilimanjaro. Utaratibu wao ni uleule wa kuwakusanya vijana toka sehemu mbalimbali na kuwapa matumaini hewa ya maisha. Yaani vijana wanakuwa kama misukule.

Kesi za QNET ni nyingi sana kiasi kwamba najiuliza kama wako juu ya sheria na hawagusiki. Hawa jamaa hawaharibu uchumi tu.. wanaharibu akili za vijana pia. Kama serikali iliweza kumtimua tapeli kiboko ya wachawi inaweza pia kuifutilia mbali hii kampuni ya kihuni ili kuokoa vijana.
 
Huyu ni mchungaji eti,😀😀😀
Screenshot_20260729-154916.png
 
Acha vijana waji pambanie mafanikio
Juzi nimeangalia ITV Habari nikaona QNET wamefanya utapeli wao tena huko Same, Kilimanjaro. Utaratibu wao ni uleule wa kuwakusanya vijana toka sehemu mbalimbali na kuwapa matumaini hewa ya maisha. Yaani vijana wanakuwa kama misukule.

Kesi za QNET ni nyingi sana kiasi kwamba najiuliza kama wako juu ya sheria na hawagusiki. Hawa jamaa hawaharibu uchumi tu.. wanaharibu akili za vijana pia. Kama serikali iliweza kumtimua tapeli kiboko ya wachawi inaweza pia kuifutilia mbali hii kampuni ya kihuni ili kuokoa vijana.
 
Juzi nimeangalia ITV Habari nikaona QNET wamefanya utapeli wao tena huko Same, Kilimanjaro. Utaratibu wao ni uleule wa kuwakusanya vijana toka sehemu mbalimbali na kuwapa matumaini hewa ya maisha. Yaani vijana wanakuwa kama misukule.

Kesi za QNET ni nyingi sana kiasi kwamba najiuliza kama wako juu ya sheria na hawagusiki. Hawa jamaa hawaharibu uchumi tu.. wanaharibu akili za vijana pia. Kama serikali iliweza kumtimua tapeli kiboko ya wachawi inaweza pia kuifutilia mbali hii kampuni ya kihuni ili kuokoa vijana.
Acha kuharibu fursa za watu.
Tumewekeza fedha nyingi sana kwenye huo mradi.
 
Wahuni sana hao walitaka kumuingiza kingi mpwa wangu eti atoe ml 5 ili atumiwe mzigo mara eti mshahara kwa mwez atalipwa ml 3 mpwa wangu nae kajaa kwenye mfumo ila dakika za jion akanipogia eti mjomba niongezee ml 1.5 nilipe huku tutapata faida sana! Nikamwambia hao matapeli jamaa walikasirika sana mbwa wale
 
Shamba la bibi hakuna sheria kila mtu yupo juu ya sheria. Ukiitwa kwenye fursa wewe ndo fursa yenyewe.
 
Back
Top Bottom