DPP anaposhindwa kuendesha kesi kwa MIAKA MINNE si ashitakiwe?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,322
24,192
Kuna kesi nyingi ambazo watu ambao wamebambikwa , na kuwa watuhumiwa wa karne, haziendi mbele wala hakuna kinachoendelea.

Kuna Kesi ya yule aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa RAHCO, Tito Benhadart, sasa mwaka unaenda wa tano.

Kuna wengine wengi tu Keko na Segerea.

Lakini funga kazi ni hii ya VIP na IPTL ya akina Rugemalira na Singh

1620400105078.png

Mimi si mwanasheria , lakini ntural justice inaonekana kama wako kizuizini kwa amri na si kwa kesi inayoeleweka.

Hapa naomba DPP na Jeshi la Polisi na hata Magereza wanaowakweka ndani watu bila kujua la kufanya kwa uonezi mkubwa, basi washitakiwe na hata na third party.

Mtu unapomuweka mahabusu, basi ijulikane kuwa kuna kesi ya kujibu.
Lakini watu wanakaa ndani kwa MIAKA MINNE au MITANO, polisi wanachunguza mpaka hawaoni makosa yalikofichwa.

Hapa basi aidha tuna Idara mbovu sana za uchunguzi kipolisi na wameshindwa ku build up a case kutokana na kosa, au ni ubambikwaji tu ambao hauna ushahidi wowote.

Hizi Idara za Mahakama , Polisi na kwa njia ya kusukumiziwa tatizo, Magereza, wamekuwa miungu watu ambao sasa wanajiona wako juu ya utu na sheria.

DPP ashitakiwe.
 
Kuna kesi nyingi ambazo watu ambao wamebambikwa , na kuwa watuhumiwa wa karne, haziendi mbele wala hakuna kinachoendelea.
Kuna Kesi ya yule aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa RAHCO, Tito Benhadart, sasa mwaka unaenda wa tano.
Kuna wengine wengi tu Keko na Segerea.

Lakini funga kazi ni hii ya VIP na IPTL ya akina Rugemalira na Singh
View attachment 1776570

Mimi si mwanasheria , lakini ntural justice inaonekana kama wako kizuizini kwa amri na si kwa kesi inayoeleweka.

Hapa naomba DPP na Jeshi la Polisi na hata Magereza wanaowakweka ndani watu bila kujua la kufanya kwa uonezi mkubwa , basi washitakiwe na hata na third party.

Mtu unapomuweka mahabusu , basi ijulikane kuwa kuna kesi ya kujibu.
Lakini watu wanakaa ndani kwa MIAKA MINNE au MITANO, polisi wanachunguza mpaka hawaoni makosa yalikofichwa .
Hapa basi aidha tuna Idara mbovu sana za uchunguzi kipolisi na wameshindwa ku build up a case kutokana na kosa, au ni ubambikwaji tu ambao hauna ushahidi wowote.

Hizi Idara za Mahakama , Polisi na kwa njia ya kusukumiziwa tatizo, Magereza, wamekuwa miungu watu ambao sasa wanajiona wako juu ya utu na sheria.

DPP ashitakiwe.
Naunga mkono hoja.
Nami nahisi hapa kuna ukiukwaji wa haki ya kimsingi.

Tunaweza kugeuza kibao, DPP awekwe ndani hakafu tutafute kosa alilolifanya, kuhujumu haki ya mtu.

What goes around, must come around.
 
Ofisi yake imeproove failure miaka 4 eti ushahidi aujakamilika only in tz kama haujakamilika kwann wanashikilia watu si waachie wakamilishe ushahidi kwanza.

Iwekwe sheria ya kulipa watuhumiwa fidia na fidia itokane na kukatwa mishahara wasababishi yaani ofisi ya DPP, mahakimu,wakamataji,nk hii itasaidia kesi kukimbia na kuleta uwajibikaji.
 
DPP ashitakiwe
Mpwa, sikubaliani na wewe kwenye hili, kushtakiwa ni kupoteza tena our rare and scarce resources, yaani iww hivi, ahesabiwe ni kesi ngapi hadi muda huo hajazitolea sababu zozote basi ANYONGWE ili iwe funzo kwa kima na ngedere wengine.

Conclusively, DPP akishindwa kukamilisha ushahidi kwa kipindi cha miezi 24 ANYONGWE kwa kamba ya manila kichwa chini miguu juu. Huu ni uonevu mkubwa sana

Ningekua na ID nyingine kuna kitu ningekisema kuhusu huyo jamaa ila wacha nikae kimya
 
Wengi wapo vizuizini kwa amri ya mwendazake ikiwemo kugoma kumuabudu.Kesi nyingi hazina macho ya kisheria mfano wazee wa escrow.
 
Kuna mwanadada, mbunge wa vijana kupitia UVCCM anaitwa Judithi Kapinga, aliliongelea hili bungeni majuzi hapa. Alilifafanua vizuri na namna tulivyorithi hizi sheria za uhujumu uchumi bila kuzifanya ziendane na mazingira yetu.

Btw, huyu dada ni kati ya wana CCM ambao ni hazina, CC. Mama.
 
Kulikua na uonevu Mkubwa sana watu wanashinda kesi anakamatwa tena anashinda anakamatwa tena...Meaning kesi hii haina mashiko sijui kama DPP anajua utesaji huu mkubwa.
 
Mpwa, sikubaliani na wewe kwenye hili, kushtakiwa ni kupoteza tena our rare and scarce resources, yaani iww hivi, ahesabiwe ni kesi ngapi hadi muda huo hajazitolea sababu zozote basi ANYONGWE ili iwe funzo kwa kima na ngedere wengine.

Conclusively, DPP akishindwa kukamilisha ushahidi kwa kipindi cha miezi 24 ANYONGWE kwa kamba ya manila kichwa chini miguu juu. Huu ni uonevu mkubwa sana

Ningekua na ID nyingine kuna kitu ningekisema kuhusu huyo jamaa ila wacha nikae kimya
No kweli kabisa mkuu, pengine inahitaji ofisi ya DPP wachukuliwe hatua kali zaidi ya Kunyongwa, ili wananchi waone haki inatendeka.
 
Back
Top Bottom