Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

Uwa kuna ka mchezo kaku limit speed ya internet kwenye baadhi ya vifurushi, karibu makampuni yote ya mitandao uwa yanafanya ivo na uwa haiwekwi wazi, kwa mfano ukiingia kwenye website ya halotel pale sehem ya bundles utakutana na kalugha fulani kakuonyesha speed ya internet haiko sawa kwa kila kifurushi. Io ipo toka kitambo sana kwa voda, tigo, ttcl ndo usiseme, airtel ndo inaka uhafadhali kidogo.
 
Nilikuwa nanunua bando ya siku speed yao iko vizuri sana sasa nimejaribu kukata mzizi wa fitina nimenunua cha wiki mwendo wa kobe nkaona isiwe kesi nimenunua cha mwezi mwendo wa kobe kama kawaida hii mitandao wajeuri sana bado tunapigwa cha wiki kufungua picha nasubir dakika nne na hapo nina gb moja!!!! Hatari sana.
Upo sahihi mkuu. Mm nilihamia halotel kwa zile sifa zake tu. Lakini ukweli nimeujua baada ya kuwa na line yao. Tigo 4G wanakimbiza sana sena tatizo la no service kila wakati ndo ilikua kikwazo kwenye simu yangu
 
Kweli mkuu bora kujaribu apa nawaza nikafuate line zao za chuo labda kunaweza kuwa kupo vizir
Mm natumia line ya halotel chuo lakin kusema ukweli hawamfikii tigo 4G japo tatizo lao ni no service muda mwingi
 
Uwa kuna ka mchezo kaku limit speed ya internet kwenye baadhi ya vifurushi, karibu makampuni yote ya mitandao uwa yanafanya ivo na uwa haiwekwi wazi, kwa mfano ukiingia kwenye website ya halotel pale sehem ya bundles utakutana na kalugha fulani kakuonyesha speed ya internet haiko sawa kwa kila kifurushi. Io ipo toka kitambo sana kwa voda, tigo, ttcl ndo usiseme, airtel ndo inaka uhafadhali kidogo.


hapo nakuelewa mkuu kuna mwingine akiona anachotaka kinaenda sawa basi ukikosoa una matatizo hajui ktk huduma moja kuna wengine wanapata tabu.
 
tatizo la halotel ni customer care service line!! unaweza kupiga kutwa nzima usipate nafasi ya kuongea na muhudumu lakini mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwa suala la internet service hakuna anayemkamata halotel.. wako vizuri sana
 
Au ndio zile simu wameanza kuzifungia?cheki vizuri Mkuu Halotel wako vizuri.


sio simu ukiona hivo ujue kuna mlinganisho ushafanyika ukiweka tigo na voda zinapiga mzigo ukiweka halotel mwendo wa kobe
 
Nilikuwa nanunua bando ya siku speed yao iko vizuri sana sasa nimejaribu kukata mzizi wa fitina nimenunua cha wiki mwendo wa kobe nkaona isiwe kesi nimenunua cha mwezi mwendo wa kobe kama kawaida hii mitandao wajeuri sana bado tunapigwa cha wiki kufungua picha nasubir dakika nne na hapo nina gb moja!!!! Hatari sana.
Pole, Halotel ndiyo mpango wa mujini ndugu. Kila kitu naangalia live! Mpira, Mahubiri ya akina Joel Osteen, Joyce, gateway church etc live kabisa bila chenga. Nilikuwa na voda ni zaidi ya kobe, tigo ndiyo majanga. Yaani hakuna mtandao ulio mzuri kwa internet kwa tz kwa sasa kama Halotel. Live long Halotel
 
Nilikuwa nanunua bando ya siku speed yao iko vizuri sana sasa nimejaribu kukata mzizi wa fitina nimenunua cha wiki mwendo wa kobe nkaona isiwe kesi nimenunua cha mwezi mwendo wa kobe kama kawaida hii mitandao wajeuri sana bado tunapigwa cha wiki kufungua picha nasubir dakika nne na hapo nina gb moja!!!! Hatari sana.
mkuu hii mitandao ni matapeli wakubwa. hata vodacom nao wameanza wizi kama huu. ukinunua bundle kubwa wanaipunguza spidi kwa makusudi ili muda wako uishe kabla hujaitumia. na ukinunua cha bei ya chini ni vivo hivyo. huu ni mwezi sasa tangu voda wapunguze spidi kwenye vifurushi vyao vyote...spidi ni kama ya konokono. nilikuwa nataka kukumbilia halotel lakini kama nao wamepunguza spidi labda nikimbilie tiGO.
 
Pole, Halotel ndiyo mpango wa mujini ndugu. Kila kitu naangalia live! Mpira, Mahubiri ya akina Joel Osteen, Joyce, gateway church etc live kabisa bila chenga. Nilikuwa na voda ni zaidi ya kobe, tigo ndiyo majanga. Yaani hakuna mtandao ulio mzuri kwa internet kwa tz kwa sasa kama Halotel. Live long Halotel


hujahamishwa sijui unatoa pole ya nini wala sijasema huu mtandao haufai umejibu kimahaba kukurupuka kubaya kuna wengine tigo na voda huwaambii kitu tuna tatizo la kukalili kila kitu kizuri ulichonacho au kinachokufaa basi hakipaswi kukosolewa kama wanatoa huduma nzur ni muda wa kuangalia ni maeneo yapi kuna tatizo na ki mtandao mnakaa kusifia kama wote wanapata huduma moja hayo majigambo yenu ndo yanayopoteza baadhi ya mambo kwa kuwajaza watu misifa.
 
mkuu hii mitandao ni matapeli wakubwa. hata vodacom nao wameanza wizi kama huu. ukinunua bundle kubwa wanaipunguza spidi kwa makusudi ili muda wako uishe kabla hujaitumia. na ukinunua cha bei ya chini ni vivo hivyo. huu ni mwezi sasa tangu voda wapunguze spidi kwenye vifurushi vyao vyote...spidi ni kama ya konokono. nilikuwa nataka kukumbilia halotel lakini kama nao wamepunguza spidi labda nikimbilie tiGO.

ni kweli mkuu kuna hilo tatizo lakin kuna mwinngine ukimwambia hakuelew anahis unaponda wakat tuanahitaji uboreshaji.
 
Angalia simu unayotumia ina uwezo mzuri?
 
Pole, Halotel ndiyo mpango wa mujini ndugu. Kila kitu naangalia live! Mpira, Mahubiri ya akina Joel Osteen, Joyce, gateway church etc live kabisa bila chenga. Nilikuwa na voda ni zaidi ya kobe, tigo ndiyo majanga. Yaani hakuna mtandao ulio mzuri kwa internet kwa tz kwa sasa kama Halotel. Live long Halotel
mkuu unasemaje? naomba unitumie hii link ya mpira mkuu.
 
hayo maujanja ya kuangalia mpira live yakoje wadau


mi niliipakua google play hii program livesports tv ukishaipakua ikakaa ktk simu yako inakuandikia live 247 tv sport station unasngalia michezo yote bila chenga.
 
Back
Top Bottom