banambavu
Member
- May 4, 2012
- 62
- 15
Na mimi nimekwambia sasa hivi tanzania hiyo Tech ya 2g na 3g inapatikana vijijini mjini ni 3G+ na sasa kuna LTE ya kizushi! I na unaposikia Tech ya 3g+ ujue unaelekea kwenye 4g! Mfano halotel wameanza na Tech ya 3g hamna 2g wewe umeelewje afu tuendele! Am hujui maana ya 2g ama 3g ama 4g?