chief hapo hakuna shida japo si mtaalamu sana ,nadhani unajua 3g ni nini na katika 3g kuna uboreshaji umefanyika mpaka tukafika 4g na wengine wapo LTE, huko kwenye minara wana upgrade software na kubadilisha baadhi ya vifaa. katka kujibu swali lako haraka mitandao ya kibongo ipo 3g+ hiyo inamaana uwezo wa kupitisha data umeongezeka mfano hspa+ ata simu yako inaonyeshaga H+ ama 3g ukiona H+ speed ni kali mpaka 100mpbs ,sasa utapataje hiyo speed chagua mtandao sahihi wa internet. kuongezea kuna tofauti flan hutokea kuhusu speed ya download ukiwa unatumia dashboard tofauti mfano unatumia zantel airtel na tigo na nyingine ya modem huawei HSPA na torrent, utagundua speed ya kwenye torrent download ni tofauti na speed ya dashboard ya kwenye tigo ama airtel ama zantel. mfano umeweka airtel line speed inaonyesha 17mpbs ukichek kwenye dashboard ya zantel itaonyesha 5mpbs ukija tigo itaonyesha 21mpbs ukija kwenye torrent itaonyesha 52mpbs na ni file moja unadownload not multiples of files. nachokwambia hiyo speed ipo tigo wanadai wana LTE airtel wanayo kitambo na kazi ya LTE na 4G ili uweze kufikia speed kama hiyo ya data transfer. kifaa nachotumia ni modem ya HSDPA huawei inaingiza laini yeyote na sim pia..samsung tecno zenye lte ama hspda tech iwe upgraded na iwe poa zaidi iwe rooted. ukiskia 3g ya mwaka 2004 sio 3g ya mwaka 2015 itakuwa 3g+++ lakini ni 3g