Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

Nilikuwa nanunua bando ya siku speed yao iko vizuri sana sasa nimejaribu kukata mzizi wa fitina nimenunua cha wiki mwendo wa kobe nkaona isiwe kesi nimenunua cha mwezi mwendo wa kobe kama kawaida hii mitandao wajeuri sana bado tunapigwa cha wiki kufungua picha nasubir dakika nne na hapo nina gb moja!!!! Hatari sana.
 
Nilikuwa nanunua bando ya siku speed yao iko vizuri sana sasa nimejaribu kukata mzizi wa fitina nimenunua cha wiki mwendo wa kobe nkaona isiwe kesi nimenunua cha mwezi mwendo wa kobe kama kawaida hii mitandao wajeuri sana bado tunapigwa cha wiki kufungua picha nasubir dakika nne na hapo nina gb moja!!!! Hatari sana.
Mbona wako vizuri tu, au uliko mawasiliano mabovu!
 
Kama hata halotel inapondwa kwa spid yake hii ya internet, basi watanzania sisi tumelaaniwa
Na mmelaaniwa kweli kila kitu nyie mnawaza kulaaniwa tu mangine ni ya kibinadamu
 
Kama hata halotel inapondwa kwa spid yake hii ya internet, basi watanzania sisi tumelaaniwa
Mkuu mm nimenunu line ya halotel imenishinda nipo wilaya ya ilala dsm hawana netwark hawana internet nimewapigia mara 8 kuwaeleza lakini hawakuchukuwa hatua yoyote ile line nimeitupa.
Hi kampuni nadhani hawakuja kufanya biashara wamekuja kutakatisha fedha chafu.
 
Mkuu mm nimenunu line ya halotel imenishinda nipo wilaya ya ilala dsm hawana netwark hawana internet nimewapigia mara 8 kuwaeleza lakini hawakuchukuwa hatua yoyote ile line nimeitupa.
Hi kampuni nadhani hawakuja kufanya biashara wamekuja kutakatisha fedha chafu.
Labda simu yako ina tatizo...
 
Mkuu mm nimenunu line ya halotel imenishinda nipo wilaya ya ilala dsm hawana netwark hawana internet nimewapigia mara 8 kuwaeleza lakini hawakuchukuwa hatua yoyote ile line nimeitupa.
Hi kampuni nadhani hawakuja kufanya biashara wamekuja kutakatisha fedha chafu.

Simu yako itafungwa MWezi wa 6
 
Mkuu mm nimenunu line ya halotel imenishinda nipo wilaya ya ilala dsm hawana netwark hawana internet nimewapigia mara 8 kuwaeleza lakini hawakuchukuwa hatua yoyote ile line nimeitupa.
Hi kampuni nadhani hawakuja kufanya biashara wamekuja kutakatisha fedha chafu.

tatizo watu hawaelew mkuu wanajua ni masihara upande wangu nkijaribu tigo inafungua japo siipend kwa sasa nimetafuta halotel ambayo watu wameipa promo humu nimeingia mkenge
 
Back
Top Bottom