Access point weka za halotelNdugu zangu nimenunulia lini ya halotel na kujisajili ila network ya simu ipo poa na intaneti siipati kabisa msaada nifanye nini neti ishike?.
Nashukuru ngoja nijaribu nitaleta mrejesho ndugu.Access point weka za halotel
unajua kama 3g haiwezi fika hio speed? na hakuna simu/modem duniani ya 3g yenye speed hio hebu tuambie mwenzetu umetumia kifaa gani?Mimi kwangu Halotel inanipatia speed kama ifuatavyo:
Download 64.49Mbps, Upload 19.16 Mbps. Ping 9ms
unajua kama 3g haiwezi fika hio speed? na hakuna simu/modem duniani ya 3g yenye speed hio hebu tuambie mwenzetu umetumia kifaa gani?

unajua kama 3g haiwezi fika hio speed? na hakuna simu/modem duniani ya 3g yenye speed hio hebu tuambie mwenzetu umetumia kifaa gani?
teknologia zina majina, hio yako haina?Teknologia baba wewe wacha tu, enzi za dotcom hizi.
Tangu asubuh mpaka saa hiii Haifanyi Kaz pumabvuuuuu no busy z3Pambav nnimejiunga Kofi kifurushi cha 3000
Kickass ni pana ipi hasa kakaIngia kickass kama unatumia torrent