Mbona hata Airtel na Voda mpira unangalia live bila shida
Ita tcra hivi sisi ndo wateja ama wao ndo watejaNilikuwa nanunua bando ya siku speed yao iko vizuri sana sasa nimejaribu kukata mzizi wa fitina nimenunua cha wiki mwendo wa kobe nkaona isiwe kesi nimenunua cha mwezi mwendo wa kobe kama kawaida hii mitandao wajeuri sana bado tunapigwa cha wiki kufungua picha nasubir dakika nne na hapo nina gb moja!!!! Hatari sana.
Ita tcra hivi sisi ndo wateja ama wao ndo wateja
Lakini mimi nashangaa kwa watu wanaohamahama mitandao kutegemea speed kubwa....
Hili tatzo la speed inategemea na mambo mengi.
1. Number of user kwenye mnara husika kwa wakati huo (mf. Halotel ilipoanza user walikua kidogo ila kwa sasa wanaanza kuongezeka so msongamano mkubwa)
2. Umbali ulipo kutoka kwenye mnara husika, ukiwa mbali sana signal strenght inapungua.
3. Hali ya hewa huchangia sana, mawingu mazito na mvua husababisha kufifia kwa signal ( lakin kwa wanaotumia microwaves).
4. Uwezo wa vifaa mf. Uwezo wa ericsson si sawa na huawei au alcatel.
5. Coverage
Na mengine mengi....
Mimi navyojua itafikia kipindi network ya halotel itaanza kuwa na user wengi hvyo speed itakua tatzo tu, ila nachowasifu ni kutumia fiber optics kwenye transmission, hapa wamebamba....
Ila tigo Voda nao wanatandaza fiber kwa kiasi kikubwa nategemea mageuzi makubwa sana.
je hiki cha chuo ni miyandao yote?kwa bundle za internet *148*66# kwa bundle za chuo *148*55#
kwenye halotel kwenda mitandao mingine badao , ni hapo tuI see!! Kama mtu unapata 1GB na dakika 150 kwa wiki na sio mtu wa ma-movies/series; then kwa staili hiyo maumivu ya gharama za mitandao ya simu unaweza usiyaone provided watu wako muhimu nao wapo Halotel. Yaani hapo kwa mwezi unaweza kutumia only TSh. 10K
Umeset APN?Mkuu mm nimenunu line ya halotel imenishinda nipo wilaya ya ilala dsm hawana netwark hawana internet nimewapigia mara 8 kuwaeleza lakini hawakuchukuwa hatua yoyote ile line nimeitupa.
Hi kampuni nadhani hawakuja kufanya biashara wamekuja kutakatisha fedha chafu.
20 ya nini?
Hii speed kwa kudownload na simu siyo iko poa.Halotel kboko yan! Hawawengne wanakimbilia 4G wkati 3G hawajaieneza km halotel