Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

Mbona hata Airtel na Voda mpira unangalia live bila shida
 
Nauliza namna ya kujiunga kifurushi cha 1000. Wiki nataka MBs tuu bila dk mm lengo langu ni vifurushi vya net tuu msaada wananzengo....please
 
Mh halotel ni hatari!! Wana speed nzur wewe upo ndani ndani
 
Lakini mimi nashangaa kwa watu wanaohamahama mitandao kutegemea speed kubwa....

Hili tatzo la speed inategemea na mambo mengi.
1. Number of user kwenye mnara husika kwa wakati huo (mf. Halotel ilipoanza user walikua kidogo ila kwa sasa wanaanza kuongezeka so msongamano mkubwa)

2. Umbali ulipo kutoka kwenye mnara husika, ukiwa mbali sana signal strenght inapungua.

3. Hali ya hewa huchangia sana, mawingu mazito na mvua husababisha kufifia kwa signal ( lakin kwa wanaotumia microwaves).

4. Uwezo wa vifaa mf. Uwezo wa ericsson si sawa na huawei au alcatel.

5. Coverage

Na mengine mengi....
Mimi navyojua itafikia kipindi network ya halotel itaanza kuwa na user wengi hvyo speed itakua tatzo tu, ila nachowasifu ni kutumia fiber optics kwenye transmission, hapa wamebamba....

Ila tigo Voda nao wanatandaza fiber kwa kiasi kikubwa nategemea mageuzi makubwa sana.
 
Nilikuwa nanunua bando ya siku speed yao iko vizuri sana sasa nimejaribu kukata mzizi wa fitina nimenunua cha wiki mwendo wa kobe nkaona isiwe kesi nimenunua cha mwezi mwendo wa kobe kama kawaida hii mitandao wajeuri sana bado tunapigwa cha wiki kufungua picha nasubir dakika nne na hapo nina gb moja!!!! Hatari sana.
Ita tcra hivi sisi ndo wateja ama wao ndo wateja
 
Lakini mimi nashangaa kwa watu wanaohamahama mitandao kutegemea speed kubwa....

Hili tatzo la speed inategemea na mambo mengi.
1. Number of user kwenye mnara husika kwa wakati huo (mf. Halotel ilipoanza user walikua kidogo ila kwa sasa wanaanza kuongezeka so msongamano mkubwa)

2. Umbali ulipo kutoka kwenye mnara husika, ukiwa mbali sana signal strenght inapungua.

3. Hali ya hewa huchangia sana, mawingu mazito na mvua husababisha kufifia kwa signal ( lakin kwa wanaotumia microwaves).

4. Uwezo wa vifaa mf. Uwezo wa ericsson si sawa na huawei au alcatel.

5. Coverage

Na mengine mengi....
Mimi navyojua itafikia kipindi network ya halotel itaanza kuwa na user wengi hvyo speed itakua tatzo tu, ila nachowasifu ni kutumia fiber optics kwenye transmission, hapa wamebamba....

Ila tigo Voda nao wanatandaza fiber kwa kiasi kikubwa nategemea mageuzi makubwa sana.


naunga mkono hoja.
 
I see!! Kama mtu unapata 1GB na dakika 150 kwa wiki na sio mtu wa ma-movies/series; then kwa staili hiyo maumivu ya gharama za mitandao ya simu unaweza usiyaone provided watu wako muhimu nao wapo Halotel. Yaani hapo kwa mwezi unaweza kutumia only TSh. 10K
kwenye halotel kwenda mitandao mingine badao , ni hapo tu
 
Mkuu mm nimenunu line ya halotel imenishinda nipo wilaya ya ilala dsm hawana netwark hawana internet nimewapigia mara 8 kuwaeleza lakini hawakuchukuwa hatua yoyote ile line nimeitupa.
Hi kampuni nadhani hawakuja kufanya biashara wamekuja kutakatisha fedha chafu.
Umeset APN?
 
Hawa jamaa ni shida mkuu Mimi nilikuwa natumia Tigo BT nimewakimbia long time Halotel nawakubali sana kwenye net
 
Katika eneo ninaloishi hii ndiyo speed ya kudownload ya HALOTEL.
uploadfromtaptalk1463321167947.jpg
 
Back
Top Bottom