Download Speed: Shkamoo Halotel

Download Speed: Shkamoo Halotel

force Ikae lte only. Maana hapo tatizo ni simu/coverage ya mtandao n.a. sio 4g.
Hii spidi ya 4G Tigo kwako Itakuwa IPO vizuri mi maeneo niliyopo nilinunua modem ya 4G na laini ya 4g yaani haina tofauti na 3g kabisa na signal mda zipo low mda wote yaani bar 2 nikidownload inarange 700KBps-1.2MBps nikaachana nayo na kuamia Airtel ambayo inarange 900KBps-2.0MBps. Binafsi hii 4G ya Tigo mi naona ni upuuzi tu.
 
Hii spidi ya 4G Tigo kwako Itakuwa IPO vizuri mi maeneo niliyopo nilinunua modem ya 4G na laini ya 4g yaani haina tofauti na 3g kabisa na signal mda zipo low mda wote yaani bar 2 nikidownload inarange 700KBps-1.2MBps nikaachana nayo na kuamia Airtel ambayo inarange 900KBps-2.0MBps. Binafsi hii 4G ya Tigo mi naona ni upuuzi tu.
Niuzie hiyo modem ya tigo 4G
 
Swali; Sisi tunaotumia simu zisizo na 4G tutumie mtandao upi wenye speed. Maana naona humu mnashindanisha 3G na 4G. Sasa mimi simu yangu haina uwezo wa 4G ni mtandao upi wenye Speed zaidi kwa 3G?
 
Swali; Sisi tunaotumia simu zisizo na 4G tutumie mtandao upi wenye speed. Maana naona humu mnashindanisha 3G na 4G. Sasa mimi simu yangu haina uwezo wa 4G ni mtandao upi wenye Speed zaidi kwa 3G?

kwa ping- ni halotel wana ping nzuri kuliko mtandao wowote, kama unacheki mpira online, kubrowse, video call au kupiga simu online husaidia sana

kama unaishi nje ya mji- kama eneo lako ni nje ya mji cheki halotel au smart wana coverage nzuri

kama unaishi mjini- cheki mitandao yote speed yake, mfano mimi eneo langu zote 3g na 4g tigo ana speed zaidi, wengine voda ana speed zaidi wengine airtel nk

pia itategemea na matumizi na aina ya kifurushi kama unataka kifurushi kikubwa kwa hela ndogo cheki airtel vocha za chuo
 
kwa ping- ni halotel wana ping nzuri kuliko mtandao wowote, kama unacheki mpira online, kubrowse, video call au kupiga simu online husaidia sana

kama unaishi nje ya mji- kama eneo lako ni nje ya mji cheki halotel au smart wana coverage nzuri

kama unaishi mjini- cheki mitandao yote speed yake, mfano mimi eneo langu zote 3g na 4g tigo ana speed zaidi, wengine voda ana speed zaidi wengine airtel nk

pia itategemea na matumizi na aina ya kifurushi kama unataka kifurushi kikubwa kwa hela ndogo cheki airtel vocha za chuo
Ahhhh chief aisee hizi siku mbili tatu halotel wameanza kuzingua mbaya sio kama zamani.. Yani nipo nao tu kwa sababu ya whatsapp calling feature tu.. Lakini speed imekuwa slow na ping imekuwa mbaya

09a2c0484d73ec013006b60f38ee1f5f.jpg



Ukiangalia Jana ndio walikuwa majanga..
 
Wadau nitaipataje hiyo lini ya halotel ya chuo nami siyo mwanachuo nipo Kahama.
 
Hawa jamaa, walishaua mtandao wa Samuel eto'o kule cameroon....MTN wanachechemea pia...Mozambuque hakuna mwenye hamu ya kufanya biashara ya mawasiliano ya simu...East timor na Cambodia wamekiri tayari...

Tigo, Voda, ttcl, kazi wanayo..tena si kazi ndogo. Punde minara yao itanyewa na ndege. Tusubiri tuone.
Hakuna mtandao ninaouchukia kama airtel.
 
Jamani mimi sio kwamba na wasifia bure na sio kwamba mimi ni miongoni mwao kwamba ni namna ya matangazo lakini kiukweli hata kama uko shimoni internet ya halotel ni noma.
 
Back
Top Bottom