Petronfrancis
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 329
- 130
Hata iweje halotel haina mpinzani kwa speed
Mbona Voda wateja wengi na tuna stream soka kama kawaida!!Hao lazima wawe na speed kwa kuwa wako watumiaji wachache
Ngoja muwe wengi utanifuata
10GB ya airtel usiku unaunga vipi? Na bei gani?Hadi muda huu kwa maeneo nnayo kwepo mara nyingi mabibo airtell inaonekana kuwa mtandao wenye speed kwangu ukifuatiwa na halotel Tigo kwa hapa full majanga hadi line nimeacha kuitumia kwenye internet.
Airtell nimetumia kifurushi cha internet night offer mara 3 .
Day 1 nlitumia 8.2Gb
Day 2 nlitumia 8.3Gb
Day 3 nlitumia 10Gb
Average internet speed.
Airtel= 900kb/s
Halotel 700kb/s
Tigo 150kb/s
Ahh... Jiunge kile kifurushi cha lisaa cha Tigo, alafu weka lte only then weka movie zako au series then download. Huto kaa ongea kwamba halotel ni fastest..Hata iweje halotel haina mpinzani kwa speed
Nadhani hapo umeshakubali kuwa halotel ni mwisho wa matatizo asante sana mkuuAhh... Jiunge kile kifurushi cha lisaa cha Tigo, alafu weka lte only then weka movie zako au series then download. Huto kaa ongea kwamba halotel ni fastest..
Mimi natumia tu halotel kwa sababu wana vifurushi vizuri na wananiruhusu ku piga kwa kutumia whatsapp calling ambayo tigo hawa kubali hadi ununue kifurushi
Mimi huwa natumia moderm cm labda tigo.Mkuu unatumia modem au just kifurushi cha kwenye simu???
Unajiunga vipi hicho kifurush cha lisaa? Na bei gani? Na unapewa GB ngap?Ahh... Jiunge kile kifurushi cha lisaa cha Tigo, alafu weka lte only then weka movie zako au series then download. Huto kaa ongea kwamba halotel ni fastest..
Mimi natumia tu halotel kwa sababu wana vifurushi vizuri na wananiruhusu ku piga kwa kutumia whatsapp calling ambayo tigo hawa kubali hadi ununue kifurushi
Ndio, overall ndio mtandao bora lakini kwenye speed kama post yako ya Mwanzo ilivyo insist Halotel kwa Tigo anasubiri SanaaaaNadhani hapo umeshakubali kuwa halotel ni mwisho wa matatizo asante sana mkuu
Mbona rahisi tu nenda menu ingia Internet chagua bando la usikuBoss mpaka unashusha 13gb ni bando gan umejiunga tufahamishane mkuu
*148*00# kipo kwenye Special Offers.. One hour pack kwa 200 tshs unlimited then kuna vingine 100tshs wanakupa 200mbUnajiunga vipi hicho kifurush cha lisaa? Na bei gani? Na unapewa GB ngap?
Thanks*148*00# kipo kwenye Special Offers.. One hour pack kwa 200 tshs unlimited then kuna vingine 100tshs wanakupa 200mb
Ah! We!Ndio, overall ndio mtandao bora lakini kwenye speed kama post yako ya Mwanzo ilivyo insist Halotel kwa Tigo anasubiri Sanaaaa
Ulichosema ni kweli...Ngojeni mitandao mingine ingie kwenye io 4g ndo mshindanishe na iyo Tigo ndo mtapata jibu sio 3g vs 4g
sasa hiyo 200mb baada ya lisaa siitakua imekwisha kiongozi alafu umesema weka ite only sijakupata aise ebu dadavua vizuri hapo kwenye ite onlyAhh... Jiunge kile kifurushi cha lisaa cha Tigo, alafu weka lte only then weka movie zako au series then download. Huto kaa ongea kwamba halotel ni fastest..
Mimi natumia tu halotel kwa sababu wana vifurushi vizuri na wananiruhusu ku piga kwa kutumia whatsapp calling ambayo tigo hawa kubali hadi ununue kifurushi
Sasa Mkuu Halotel sijawahi vuka 16Mbps wakati Tigo navuka hadi 30Mbps... Wote hapa a niambie kama kwa halotel kashawahi fika speed hiyo ndio nitakubali kuwa halotel ndio fastest.Ah! We!
WOYEE NIMEJFANYA KUNUNUA BANDO LA INTERNET IKAKUBALI LAKINI MNARA HAUKUSIMAMA MPAKA MUDA WA BANDO UKAPITA SO SINA HABARI NAO WEZI WAKUBWA...kwa bundle za internet *148*66# kwa bundle za chuo *148*55#
Kuna kifurushi cha Unlimited kwa lisaa lizima kwa 200 tshs tu.. Kwenye LTE only ni kwamba ukiwa unatumia Tigo lte au 4g kuna mda inakuwa unstable sasa ili uipate muda wote kwenye Android menu ya *#*#4636#*#* unailazimisha ikae 4g muda (sema kwa hii hata mtu akikupigia simu hato kupata) ili upate full speed ya tigo 4g..sasa hiyo 200mb baada ya lisaa siitakua imekwisha kiongozi alafu umesema weka ite only sijakupata aise ebu dadavua vizuri hapo kwenye ite only
Setting hahaha pole mkuuWOYEE NIMEJFANYA KUNUNUA BANDO LA INTERNET IKAKUBALI LAKINI MNARA HAUKUSIMAMA MPAKA MUDA WA BANDO UKAPITA SO SINA HABARI NAO WEZI WAKUBWA...