William Ngotti
Senior Member
- Apr 13, 2015
- 187
- 48
Kiasi sio sana kivileYaap coverage kwako nzur mkuu
Kiasi sio sana kivileYaap coverage kwako nzur mkuu
hahahh ukitaka zikae tumia airtel uone speed yake sasa....ila mb zao hazi kai kabisa
sasa hapo patakuwa patamu WANAKARIBISHWA SANAAA KAMA NI KWELI NA WATUKUJA SERIOUS KAMA WENZAO HALOTEL...Naskia kuna mtandao mpya mwingine unaitwa kotel sijui ni wachina wao wataanza na 4G sijajua kama hizi rumors ni za kwel ..jamaa washaanza kufunga cable zao
Sitaki kabisa kusikia airtel kama kobe vile mtandao wao bora tigo ukidownload kitu cha mb 200 ni exactly 200 zinatumika ambapo hallotel mzigo wa mb 200 unakata mb 400 fanyiabutafiti hilo utaona.hahahh ukitaka zikae tumia airtel uone speed yake sasa....
Mi juzi nilishusha Gb 13 usiku nilimaliza movies zote
laino sita kaka i adhihirisha jinsi gani unawakubali halotel na kuhitaji hiduma zao sana.
sina imani kama unaweza kukusanya laini za tigo au voda sita sita kwa kila mtandao kisa kupata huduma zao tu
HII YOTE YADHIHIRISHA HALOTEL WAPO VIZURI
NA SIO FAIR KULINGANISHA NA 4G GA MTANDAO MWINGINE. COZ HAPA TWAZUNGUMZIA 3G
yap bila kikomo mb zikiisha wanashusha speed hapo umeshaingia cha kike.Kwa mchana kifurushi kipi kipo fresh,nina kile cha bila kikomo cha elfu 25 kwa mwezi,nilijidai cku 4 tu,baada hapo ni majanga matupu!
wanaigombania hii nchi sababu hatuna broadband, ikija kampuni moja tu ya kusambaza internet majumbani kama kenya watakimbia wote haoNaskia kuna mtandao mpya mwingine unaitwa kotel sijui ni wachina wao wataanza na 4G sijajua kama hizi rumors ni za kwel ..jamaa washaanza kufunga cable zao
tembelea ofisi za tigo upewe line ya 4g ndio utaweza kutumiaNielekezeni namna ya kuipata iyo 4G kwa mtandao wa tigo natumia Samsung galaxy s5
Ahsante sana mkuu kwaiyo itanibidi nibadili line na kutumia line yao ya 4G?tembelea ofisi za tigo upewe line ya 4g ndio utaweza kutumia
yah na line 4g pia inakuwa na 3g na 2gAhsante mkuu kwaiyo itanibidi nibadili line na kutumia line yao ya 4G?
Boss mpaka unashusha 13gb ni bando gan umejiunga tufahamishane mkuuMi juzi nilishusha Gb 13 usiku nilimaliza movies zote
Iyo kidogo kwangu itakua ngumu kubadili line nitapoteza contact's muhimu..au line inabadilishwa lakn namba yako inakua ile ile ya siku zote?..nisamehe kwa maswali mengiyah na line 4g pia inakuwa na 3g na 2g
Iyo kidogo kwangu itakua ngumu kubadili line nitapoteza contact's muhimu..au line inabadilishwa lakn namba yako inakua ile ile ya siku zote?..nisamehe kwa maswali mengi
tayari halotel wanafanya iyo kituwanaigombania hii nchi sababu hatuna broadband, ikija kampuni moja tu ya kusambaza internet majumbani kama kenya watakimbia wote hao