Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,926
- 31,169
DOWANS wameingilia mlango wa nyuma. Wameingia mkataba na SONGAS. Umeme wao wanawauzia SONGAS. Kisha SONGAS inaiuzia TANESCO. Tafakari.
Nimekupata mkuu at least umeandika kitu cha maana badala ya porojo kila siku,nilipatwa na mshangao speed ya TANESCO na DOWANS kuingia mkataba ilikuwa kubwa sana kumbe wazee wa dili walitafuta njia rahisi kama kawaida yao.