Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,514
mkuu uliniwahi kumbe! kweli MIC chache wasanii ndo wengi nchi hii!...is very poor!
mkuu uliniwahi kumbe! kweli MIC chache wasanii ndo wengi nchi hii!...is very poor!
Du
This country bwana!!!!!
Mkuu kwa style hii kweli tutashinda hivi vita?
Mambo mazuri yanagharama zake mkuu.
Kwa hii tutaambiwa mitambo yao iliwashwa na umeme ukaingizwa kwenye gridi ya taifa na kwahiyo hakuna jinsi lazima tuwalipe.
Usije kushangaa utakapo ambiwa wanaingia kwenye meza ya mazungumzo baada ya kuwasha mtambo, kwahiyo RA ndiye atapanga bei ya kukodisha hiyo plant na tanesco watakuwa hawana njia ya kubisha zaidi ya kulipia huduma toka dowans. Na kwa staili hiyo naziona biioni 94 zimelipwa kwa dowans kupitia mlango wa uani ilihali watanzania wako sebuleni(mahakama kuu) wakisubiri.
Tuko wengi humu, hata mimi nimeshangaa leo mchana tena jumatatu umeme uwake Temeke. Kazi ipoNdiyo maana leo huku Vijibweni kuna umeme!!!!!!!!!!!!!!!!!
ndiyo watumwa wanatekwa na waarabuushindi mwingine kwa akina ra baada kuliteka bunge.
Hah hah, haihitaji kwenda bagamoyo vipaji tumepewa na Mungu toka kuzaliwa.mkuu uliniwahi kumbe! kweli MIC chache wasanii ndo wengi nchi hii!
Jamani heeeeeeeeeeeeeee huyu Rostam Azizi ni nani hasa. Ametuingiza kwenye matatizo makubwa saaana na bado tunamuona a man of respect!!!!!! Watanzania tukoje, maana hata huyu Suleiman kasema aliletwa na Rostam. Hapa hakuna kificho jamaa Rostam kajianika hadharani, yeye na huyu Generali ndio wamiliki wa Dowans. Bila shaka kuna wengine pia lakini wanakanusha kuwa ni wao. Watanzania tufanyeje kujikwamua na hili jinamizi la wezi na mafisadi wa nchi hii niipendayo TZ. Watatufisadi hadi lini. Hatuna namna yoyote ile???????????????
Tell the rebellious people of this Nation: That I THE LORD GOD command you to to stop your evil ways!!!!!!!! Ezekiel: 44:6
Bila haya madhambi ya kifisadi je; tungefika hapo tulipo???????????? Watu wamuogope Mungu mwenye mamlaka Bwn!!!!!!!hili si suala la kutubandikia aya za bible.ebo
wamekunyoosha umeshosheka! unafikiri hii crisis ya umeme haikupangwa? wanapanga na sisi tunaangukia kwenye mitego yaoJamani waacheni wawashe tupate umeme; mimi nina zaidi ya mwezi sijaweza kuwauliza wanangu wanionyeshe homework zao kutokana na shida ya umeme. Kuna viwanda vinafanya kazi siku tatu kwa wiki kutokana na hii shida.
Ila kama ni kuwalipa DOWANS, walipie kuinunua hiyo mitambo kwa bei yake ya sasa ondoa uchakavu wa miaka mitatu.
wameshaanzisha mfuko maalum wa kuweka hizo pesa za dowans kama alivyoagiza Makamba jr?