WildCard,
Huu si ushindi, bali ni kuishiwa nguvu kwa kambi ya RA.. Nimepita pale an hour ago na ni kweli 40MW is up and running! Tanesco Ubungo wamekataa kujibu dukuduku zangu lakini wale "mafundi" wameniambia wana-feed 35MW kwenye grid ya Taifa as of 12:00noon today!
Habari ndiyo hiyo!