Dowans: Another Richmond in making?

Unaamini based on what?

Keshasema huyo Mkuu wa TANESCO kwamba umeme ukikatika asilaumiwe (according to what I am reading in here) kwa hiyo ina maana anaashiria yupo to stay.

Wewe unaamini ata quit within hours based on what?

based on gut feeling
 


zungumzia wewe.. kama ni hao watu wa Tanesco wapigie simu uwaambie walizungumzie..
 

No wonder investment makini haziji tanzania.
Maana mtu anaenda kwenye majadiliano , yeye mwenyewe hana strategy au hana facts za kuwapa the other side. Na sijui tatizo tuna mpa Shivji bora wanafunzi au ufundishaji wa Shivji ni mgumu , mtu kuuelewa.
 
Last edited:
based on gut feeling

Gut feeling feeling yako kwamba Mkurugenzi wa TANESCO atajiuzulu in a few hours iko founded on what facts? Kwamba, imeonekana ana makosa fulani hivyo hawezi kuvumilia skandali, au akisubiri sana atafukuzwa, au kushitakiwa, au nini hasa cha kumfanya ajiuzulu?

Au hii ni "gut feeling" umeotea tu kama wanaoangalia mbalamwezi wanatabiri mvua na future events?
 
thanks mkuu;

idris ana matatizo yake lakini sometimes ana maamuzi ya kiume... Kama hili la u-turn ni kweli, basi ni dume haswaa (ps: Hapa simuhusishi chochote kuhusu epa/bot etc.]

alkaloids ni chungu sana lakini zina medicinal properties

wakubwa kumradhi ashakum si matusi.... Niliyoandika hapo hayana maana hasa baada ya kugundua kwamba idris hakumaanisha jema aliposema hawnunui dowans turbines... Kumbe ilikuja na kitisho

it took him and his management three year to realise that the turbines need replacement or outright purchase, this is ultimate test to jk and his action will tell us if he is our leader or their politicians
 
hahaaaaaaaaa hatimaye kelele za mlango zimemnyima mtu usingizi, hiyo safi sasa nguvu ya wananchi inaonekana sasa katika kuzui uizi wa mali zao. heko watanzania wembe huohuo, tusiyumbishwe kabisa. Na huyo Idrisa Rashidi kama kazi imemshinda aachie ngazi wapo watu wengine wa kuiongoza tanesco. tuupinge ufisadi kwa nguvu zote.
 


ndiyo kama hiyo.. ndiyo maana ya imani...!
 


Jamani, Raisi Wetu Kikwete Yuko Wapi Nchi Inapotishiwa Kulala Giza?
 
Kwa mujibu wa msahafu wa Kikristu, "imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana" ("faith is the substance/assurance of things hoped for, the evidence/conviction of things things not seen. Hivyo, kwa mujibu wa tafsiri hii, Mwanakijiji ana uhakika na matarajio kuwa 'Dakta wa Vijisenti' atajiuzulu hivi punde kama Fisadi Mwenza wake, 'Mzee wa Vijisenti', alivyojiuzulu. Japo hakuna mambo yanayoonekana kwa Mwanakijiji kuhusu hilo, hivyo ndivyo anavyoamini. Anaamini tu.

Na Kwa mujibu wa Saikolojia, 'Gut Feelings', ni hisia ya asili tu inayomtokea mtu bila hata kujua kwa nini ana hisia hiyo. Hivyo, kwa mujibu wa tafsiri hii, Mwanakijiji amepata 'Vipepeo Tumboni' (Butterflies in the Stomach) vinayomfanya ahisi tu kuwa Dakta wa Vijisenti atajiuzulu pima. Inawezekana 'kainzi' kake kameungana na hao vipepeo tumboni kumletea hiyo hisia ya utumbo.
 
Tanzanians let us now wake up and say no more of being threatened or be hold at ransom by Dowans and Tanesco that mtaona kukiwa giza!! What a statement!!! The government sholuld have now had plan B and C and buy the generators else where which can suatain the country on long term plan and not continue entertaining these hubabaloos!
 
Tanzanians let us now wake up and say no more of being threatened or be hold at ransom by Dowans and Tanesco that mtaona kukiwa giza!! What a statement!!! The government should have now had plan B and C and buy the generators else where which can sustain the country on long term plan and not continue entertaining these hubabaloos!
 

Ugh, I h@te ******!

They may have fooled some of the people for some of the time, but they ain’t kidding a soul in trying to convince anyone this issue still has legs. What have they done since 2006? They should be toast by now huyu na yule mjinga Mwingine wa ATCL! JK ??? Incompetence at the highest caliber
 
Tanzanians let us now wake up and say no more of being threatened or be hold at ransom by Dowans and Tanesco that mtaona kukiwa giza!! What a statement!!! The government should todate had already have plan B and C and buy the generators else where which can sustain the country on a long term plan and not continue listening and watching Isidingo drama and entertaining these hubabaloos from old generators beneficiaries!!
 

Moelex.. zitto hayupo nchini kwa sasa. Ndiyo unaona tofauti ya muda.
 
Mbona hapa kama una personal issue na Zitto? Ameshasema aliyosema mbona unamshupalia hivi? What gives?
 
Dr. Idris hawezi kusema alichosema na akaendelea kuwa madarakani!!

==========
Nakuunga mkono mzee. Tabia ya watendaji kutishia wananchi ni mbaya. Nitashangaa kama hakuna maandamano kuanzia kesho kushinikiza huyu mtu aondoke kwa kutishia usalama wa nchi. Tanesco ni security installation, na kila mwananchi ni mlinzi wa hiyo installation. Idrisa kutishia kutuingiza gizani ni ishara mbaya kwa nchi. Nawaombeni wote tuingie mitaani kesho kushinkiza aondoke mara moja. Rais akikaa kimya juu ya hili pia nitashangaa.

Vitisho vyote vipungue kama kura za CCM mwaka 2010!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…