Naungana na wote wanaomshangaa Mh. Zitto kwa majibu yake! Kweli Mh anashangaza sana! Inaonyesha anajiona kuwa anajua ukweli wa TANESCO na DOWANS kuliko mtu yeyote hapa JF as if watu wote wa hapa JF anawafahamu kwa sura na majina yao halisi! Zitto amejisahau kuwa yeye ni mwanasiasa na amesahau kuwa anapingana na kura za maoni kwa sababu tu zinaonyesha approval rating yake imeplunge! (JF ni reflection ya opinion ya umma)!
Sitaki ajisafishe kwa kuwapaka matope watu wengine! Aache kuwasingizia watu wanaoonyesha uzalendo eti kwa kusema wana vita ya kisiasa! Mbona yeye muda wote alipotoa hoja za msingi bungeni tumekuwa tunamuunga mkono! Wana JF wengi hawakumchukulia Zitto kuwa anajitafutia umaarufu wa kisiasa. Tukikuunga mkono hatukutazami kama mwanasiasa tunakutazama kama mzalendo ndio maana hata wana CCM huwa wanakufagilia. Kwa hiyo leo Mwakyembe, Sitta nk nao hatuwatazami kama wana CCM tunawatazama kama wapambanaji katika vita dhidi ya ufisadi, vita ambayo wana JF ni wadau wakubwa sana.
Katika hili la DOWANS Zitto umejitenga kabisa hata usitafute visingizio - Hapa kilichobaki ni wewe kuchuchumaa tu. Ngoja tuendelee kukutafiki kama kweli ulighafirika au siku zote hizi ulivaa ngozi ya kondoo. Lakini umenasa tundu bovu kweli kweli. Ushauri wa Bure: Zitto usipigane na ukuta (JF). Kama ulighafirika jirudi na hili liwe fundisho. Kubali kujifunza na kwa rekodi yako watu bado watakuelewa! Kama umepewa kitu kidogo ndio basi tena, tupishe na wewe nenda uka mjoin Rev. Mtikila!
I want to state here in explicit terms that, I, Kabwe Zuberi Zitto (MP), Chairman Public Investments Committee of Parliament of Tanzania, stand with TANESCO on their desire to acquire gas fired turbines to improve electricity generation to the country. I stand firm to my decision and ready to be held accountable to that. I do this in good faith. I am genuine and honest. People can say all what they want to say, so long as this decision is mine based on the information i have, technical information. So long as i reached to this decision without any influence whatsover, i stand by it.
Nimetukanwa sana humu. Nimesimangwa sana humu na kuzushiwa kila aina ya tuhuma. Ninajijua kuwa sina bei. Siwezi kununuliwa na yeyote. Ninajijua na nimekuzwa kusimamia yale ninayoamini hata nikibaki peke yangu. Siyumbi. Siyumbishwi. Niliokuwa nao Chuo Kikuu wanajua nilivyo.
Nimefuatilia sana mjadala huu na kuona umejaa hisia kali sana. Ninajua ni hisia za watu wanaopenda nchi yao. Ninajua ni hisia za kizalendo. Sina mashaka na hili hata kidogo. Hata hivyo uongozi hauendeshwi kwa hisia tu. Uongozi wa nchi ni zaidi ya hisia na maneno matupu (hot air).
Nimesema hapo awali kuwa kwa kuwa Watanzania wamezoea kuwa na viongozi wala rushwa na waongo, itawachukua muda kukubali viongozi honest. Hata hivyo, muda huo utafika tu.
Hata hivyo, ni vema sana tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu wengine. Kwamba leo mtu akiamua usivyotaka kanunuliwa? Je hayo maamuzi mengine hayawezi pia ya kununuliwa? Hapana, nadhani pale ambapo mwingine ana maamuzi tofauti ni vema kuheshimu maamuzi hayo bila kumwita kila aina ya majina mabaya.
Mimi binafsi, ninaamini kabisa kuwa hoja za TANESCO kuhusiana na suala la equipments hizi ni hoja zenye mshiko. Hoja za Kamati ya Nishati na Madini ni hisia za kisiasa.
Sio kweli kuwa TANESCO hawakuja katika kamati na alternatives. Walikuja na alternatives kadhaa na zote tulizijadili.
Zaidi na zaidi......My second purpose today is to provide you with additional information, to share with you what the United States knows about Iraq's weapons of mass destruction, as well as Iraq's involvement in terrorism, which is also the subject of Resolution 1441 and other earlier resolutions...
.....The material I will present to you comes from a variety of sources. Some are U.S. sources and some are those of other countries. Some are the sources are technical, such as intercepted telephone conversations and
photos taken by satellites. Other sources are people who have risked their lives to let the world know what Saddam Hussein is really up to.
......I cannot tell you everything that we know, but what I can share with you, when combined with what all of us have learned over the years, is deeply troubling.
I want to state here in explicit terms that, I, Kabwe Zuberi Zitto (MP), Chairman Public Investments Committee of Parliament of Tanzania, stand with TANESCO on their desire to acquire gas fired turbines to improve electricity generation to the country. I stand firm to my decision and ready to be held accountable to that. I do this in good faith. I am genuine and honest. People can say all what they want to say, so long as this decision is mine based on the information i have, technical information. So long as i reached to this decision without any influence whatsover, i stand by it.
Nimetukanwa sana humu. Nimesimangwa sana humu na kuzushiwa kila aina ya tuhuma. Ninajijua kuwa sina bei. Siwezi kununuliwa na yeyote. Ninajijua na nimekuzwa kusimamia yale ninayoamini hata nikibaki peke yangu. Siyumbi. Siyumbishwi. Niliokuwa nao Chuo Kikuu wanajua nilivyo.
Nimefuatilia sana mjadala huu na kuona umejaa hisia kali sana. Ninajua ni hisia za watu wanaopenda nchi yao. Ninajua ni hisia za kizalendo. Sina mashaka na hili hata kidogo. Hata hivyo uongozi hauendeshwi kwa hisia tu. Uongozi wa nchi ni zaidi ya hisia na maneno matupu (hot air).
Nimesema hapo awali kuwa kwa kuwa Watanzania wamezoea kuwa na viongozi wala rushwa na waongo, itawachukua muda kukubali viongozi honest. Hata hivyo, muda huo utafika tu.
Hata hivyo, ni vema sana tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu wengine. Kwamba leo mtu akiamua usivyotaka kanunuliwa? Je hayo maamuzi mengine hayawezi pia ya kununuliwa? Hapana, nadhani pale ambapo mwingine ana maamuzi tofauti ni vema kuheshimu maamuzi hayo bila kumwita kila aina ya majina mabaya.
Mimi binafsi, ninaamini kabisa kuwa hoja za TANESCO kuhusiana na suala la equipments hizi ni hoja zenye mshiko. Hoja za Kamati ya Nishati na Madini ni hisia za kisiasa.
I want to state here in explicit terms that, I, Kabwe Zuberi Zitto (MP), Chairman Public Investments Committee of Parliament of Tanzania, stand with TANESCO on their desire to acquire gas fired turbines to improve electricity generation to the country. I stand firm to my decision and ready to be held accountable to that. I do this in good faith. I am genuine and honest. People can say all what they want to say, so long as this decision is mine based on the information i have, technical information. So long as i reached to this decision without any influence whatsover, i stand by it.
Nimetukanwa sana humu. Nimesimangwa sana humu na kuzushiwa kila aina ya tuhuma. Ninajijua kuwa sina bei. Siwezi kununuliwa na yeyote. Ninajijua na nimekuzwa kusimamia yale ninayoamini hata nikibaki peke yangu. Siyumbi. Siyumbishwi. Niliokuwa nao Chuo Kikuu wanajua nilivyo.
[/LIST]
Kampuni ya Tanesco imejitoa rasmi katika mchakato wa kununua mitambo ya Dowans kwa kudai kuwa suala hili limeingiza malumbano makali ya wanasiasa. Katika kujitoa kwake kampuni hiyo imesema kuwa siku nchi ikiingia kizani wasilaumiwe wao kwa sababu watu walishindwa kufanya maamuzi magumu.
Habari ndiyo hiyo, nyamanyama na mafuta mengine baadaye!
Ninachoweza ku-comment ni kuwa... Wewe ni kichwa! Umeyanena yote mkuu. I saluteStatement yake Idrisa inaonyesha kichwani ubongo wake haufanyi kazi.Anaposema anaingiliwa na wanasiasa ana maana gani kwani yeye sio mwanasiasa? Kwani hiyo nafasi ya ukurugenzi aliipataje? Je alipita kwenye mchujo vizuri au siasa zilitumika kumuweka hiyo nafasi ya ukurugenzi mkuu? Wanasiasa wakiingilia mchakato wa kumweka katika nafasi hapo halalamiki!!!
kuna vitu nimeviona kwenye huu mgogoro.
Part I Kwa ufupi kuna kitu kinaitwa Arusha Connection.Arusha kuna mtu anaitwa Lowasa ambaye ni ARCHITECT wa richmond na Dowans,Tanesco Akawekwa muarusha mwingine Mwenye kesi ya ufisadi na Chenge ambaye ni Idrisa Rashid kisiasa akalie pale kusimamia maslahi ya muarusha Lowasa,Upande wa Serikali kuna waziri mwingine anayeshughulikia mambo ya serikali bungeni toka Arusha ANAITWA MARMO huyu ndiye kamkemea Spika Sitta na kufoka Kuwa anaingilia mchakato wa mitambo ya Dowans akome kwani si kazi ya bunge.Ukiangalia unapata Crime arena kuwa iko connected na Arusha.
Part II kuna kitu kinaitwa VODACOM CONNECTION ni kuwa Idirisa Rashid ana connection na Rostam Aziz kwa kuwa wote wana hisa kwenye Vodacom kupitia kampuni zao ambako Idrisa alishashika wadhifa mkubwa . Na Idrisa na Rostam Azizi wana connection na Ngeleja waziri wa madini sababu Ngereja alikuwa mwanasheria wa Kampuni ya Vodacom na ndio maana kununua majenereta alikuwa mkali yanunuliwa ili alinde hiyo connection.
Kinachotakiwa tunaomba watu wa usalama wa taifa wafanye vetting ya watu kabla hawajapewa vyeo.Mnatuangusha hadi wahuni mafisadi wanashika nyadhifa na kuyumbisha nchi .Kikwete hayuko stable sana naona kama bado yuko kipindi cha probation period ya uraisi msaidieni jamani.Hili genge la wahalifu ni vizuri likatimuliwa lote kabla halija sabotage nchi kupitia eneo la umeme na kulipiza visasi vya mitambo yao kutonunuliwa kwa kuwakomesha wananchi.Usalama wa Taifa au jeshi shinikizeni Ngereja,Idrisa na Marmo waondolewe.Nchi haiwezi kuendeshwa kijinga namna hiyo.
Kuhusu tishio lake la kuwa nchi itaingia gizani ni kuwa hakujua kuwa nchi itaingia gizani mbele muda wa mitambo ya Dowans ukiisha akaweka mipango mbadala endelevu? Hakuwekwa pale afanye daily routine kama msoma mita wa Tanesco amewekwa pale awe think Tank na planner.Sasa kama hawezi kuhakikisha mwanga wa umeme unakuwako inabidi aondoke aende zake.Hakuwekwa kuleta giza bali mwanga.Sasa kama kutakuwa na giza Tanesco anafanya nini inabidi aondoke.Nilitarajia katika tamko lake angesema kwa kuwa Sitaweza kuleta umeme kwa kipindi kijacho naondoka maana sitakuwa na kazi ninayotakiwa kufanya kama mkurugenzi wa Tanesco.
Anasema asilaumiwe atalaumiwa tu mambo yasipoenda vizuri Tanesco.Hatutalala.Kama kuendesha shirika hakuwezi ajiendee tu salama.Bodi ya wakurugenzi ya Tanesco kuweni wakali kwa menejimenti ya Tanesco wasiwatishe kwa lolote na ichukulieni hatua mkiona hai-deliver watimueni waende wakaanzishe viduka vya kuuza socket za umeme kama akili zao zimefikia upeo wa kuendesha shirika.
I want to state here in explicit terms that, I, Kabwe Zuberi Zitto (MP), Chairman Public Investments Committee of Parliament of Tanzania, stand with TANESCO on their desire to acquire gas fired turbines to improve electricity generation to the country. I stand firm to my decision and ready to be held accountable to that. I do this in good faith. I am genuine and honest. People can say all what they want to say, so long as this decision is mine based on the information i have, technical information. So long as i reached to this decision without any influence whatsover, i stand by it.
Nimetukanwa sana humu. Nimesimangwa sana humu na kuzushiwa kila aina ya tuhuma. Ninajijua kuwa sina bei. Siwezi kununuliwa na yeyote. Ninajijua na nimekuzwa kusimamia yale ninayoamini hata nikibaki peke yangu. Siyumbi. Siyumbishwi. Niliokuwa nao Chuo Kikuu wanajua nilivyo.
Nimefuatilia sana mjadala huu na kuona umejaa hisia kali sana. Ninajua ni hisia za watu wanaopenda nchi yao. Ninajua ni hisia za kizalendo. Sina mashaka na hili hata kidogo. Hata hivyo uongozi hauendeshwi kwa hisia tu. Uongozi wa nchi ni zaidi ya hisia na maneno matupu (hot air).
Nimesema hapo awali kuwa kwa kuwa Watanzania wamezoea kuwa na viongozi wala rushwa na waongo, itawachukua muda kukubali viongozi honest. Hata hivyo, muda huo utafika tu.
Hata hivyo, ni vema sana tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu wengine. Kwamba leo mtu akiamua usivyotaka kanunuliwa? Je hayo maamuzi mengine hayawezi pia ya kununuliwa? Hapana, nadhani pale ambapo mwingine ana maamuzi tofauti ni vema kuheshimu maamuzi hayo bila kumwita kila aina ya majina mabaya.
Mimi binafsi, ninaamini kabisa kuwa hoja za TANESCO kuhusiana na suala la equipments hizi ni hoja zenye mshiko. Hoja za Kamati ya Nishati na Madini ni hisia za kisiasa.
Sio kweli kuwa TANESCO hawakuja katika kamati na alternatives. Walikuja na alternatives kadhaa na zote tulizijadili.
- Walieleza kushindwa kwa Kiwira kuzalisha 50MW mwezi huu na pia 150MW mwezi wa Septemba.
- Walieleza mradi wa Kinyerezi wa 240MW kushindwa kuanza kupitia PPP kufuatia wawekezaji kukosekana
- Walieleza mradi wa umeme wa upepo Singida kukwama
- Walieleza kuhusu mradi wa 300MW wa Mtwara.
Katika hili mnawalaumu TANESCO bure tu. walitoa altrnative ya Dowans. walisema mbadala ni kununua mtambo mpya lakini walitahadharisha muda kwani mitambo mipya haipo tayari imetengenezwa na kuwekwa katika show room. Huwa inakuwa ordered kwa mtengenezaji na kuundiwa, kisha kufungwa na baadae kuwa commissioned ndio uanze kazi.
Mwanakijiji alizungumzia umeme wa Zambia. Tunanunua umeme wa Zambia na ndio unatumika Sumbawanga. Umeme huu ni mdogo sana na ubora wake pia ni mdogo. Kimsingi nchi zote za SADC zina tatizo kubwa sana la Umeme isipokuwa (potentialities) Msumbiji, Tanzania na Congo DR.
Mwanakijiji alizungumzia Stigler's gorge. Huu ni mkakati wa muda mrefu. It takes time kujenga hydro plant. Kule Kigoma wanajenga Malagarasi mini hydro, itachukua miaka 2 (8MW).
Ni rahisi sana kuzungumza masuala haya lakini realities are different. Ninashauri baada ya mjadala huu wa TANESCO na DOWANS kuwa umekwisha (TANESCO wameumaliza) tuanze mjadala sober kuhusu 'energy sector' in Tanzania. Tuwe proactive na sio reactioneries.
Power masterplan ipo. Haitekelezeki. Energy policy ipo. Tujadiliane baada ya kadhia hii ili tuone nchi yetu iendaje katika sekta ya Nishati.- 2
Eti nchi itaingia gizani........watu wakitaka kula pesa yetu wana kuwa na lugha tamu.....
wanaJF napena kuuliza hii mitambo ya kutuokoa na giza ina warranty??