CattleRustler
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 1,055
- 468
Mimi ni mtanganyika halisi ninapenda haki itendeke kwa watu wote. Dhulma si jambo jema na kumsaidia/kumnusuru ndugu aliyedhulumiwa ni jambo la heri mbele za Mungu.
Mtu anayejiita mtanganyika wakati unaona zanzibari haitendewi haki wakati ina serekali yake wakati tanganyika haina serekali yake unaona poa tu ni mzanzibara. Napenda kukutaarifu tanganyika yetu ikirudi tutakutimua urudi kwenu zanzibar na makunguru yenu maana nyie wazanzibar na kungururu wennu mnafanana kwa uroho.