Double Standard Kuhusu Kauli ya "Zanzibar Sio Nchi!"

Double Standard Kuhusu Kauli ya "Zanzibar Sio Nchi!"

cha kushangaza Mhe Pinda huyu huyu even baada ya kupigwa vijembe kwa kauli yake bado hajalearn kwamba mfumo wa mbili haukubaliki. Sijaona kikubwa katika matamshi yyake zaidi ya kuwaamsha wazanzibari walioambiwa wao ni nchi ndani ya nchi, alipotamka Mhe Pinda tena bungeni ndio vuguvugu la kubadili katiba lilipoanza. Sio double standard, atakumbukwa kwa kuamsha demokrasia iliokuwa katika usingizi mzito. Kwa kauli ya mahakama still wazanzibari hawakuliona kubwa pia kwa wakati ule hasa kwa vile wanajuwa mamlaka ya kuipindua hayatakuwepo hasa baada ya muungano na kwamba suala la ulinzi ni la muungano na hivyo lisingewezekana. Iko mifano ya miungano ya defence kama wa EU ambapo nchi mwanachama hawezi kupinduliwa japo kuwa nchi husika zimebaki sovereign kamili, Charter zao zimeweka wazi kuzilinda nchi wananchama. Lakini Kauli ya Pinda kama kiongozi mkuu wa serikali ndio iliopiga msumari wa ukweli kwamba hakukuwa na nchi kama ambavyo wazanzibari walivyoamini.

Walipoteza muda bure kuanzisha "nchi" ambayo haipo kisheria! Ona sasa baada ya kuianzisha hiyo "nchi" bado wanadai "nchi yao!"
 
Lakin na nyie mumejipangaje na changamoto hizi

1. nani mwenye mamlaka ya kuchinja. Je mumeshalipatia ufumbuzi?
2. mfumo kristo kuendesha nchi
3. malalamiko ya waislam kwa serikali na mgawanyo wa madaraka katika mamlaka.
4.MoU ya kanisa na Serikali.
na mengine mengi.


Je mumejipanga vipi?

Kwani hayo uliyoorodhesha yako kwenye "Mambo ya Muungano?"
 
Kwa tafsiri yangu mwinyi ni mzanzibar na wala si mtanganyika. kwa hiyo kama unafikiri ninalolisema si kweli fanya uchunguzi. Pili, hao mawaziri kama pinda na wengineo Hawako kwa ajili ya zanzibar wala Tanganyika, bali wako kwa ajili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kwamba wanasaidia mkoa gani kule zanzibar ni kwamba wao ni viongozi wa kitaifa na wala si wa kimkoa. kwa hiyo wanalitumikia taifa kama taifa na wala si mkoa fulani iwe ni Zanzibar au Bara. Hali hiyo hiyo ndiyo iko hata kwa wazanzibar kama Mwinyi. Kwamba ni kwanini hawaishe zanzibar ni kwasababu wanatakiwa watumikie watanzania kutoka mahali ofisi zao zilipo na wala si kutoka vijijini kwao walikozaliwa. Hata pinda na magufuli si wenyeji wa Dar es salaam lakini wanatenda kazi zao kutokea hapo.

Hahahahaha! Wacha nizuie mbavu zangu! Unaweza ukajadiliana na mtu anaetaka kueleweshwa lakini si mtu ambae anasema ng'ombe dume unaweza ukamkama tu na atatowa maziwa. Hivyo Pinda ni mbunge wa kuteuliwa au kuchaguliwa? Na hao wengine wote niliokwishawataja ni wa kuteuliwa? Ukishajijibu hilo swali basi acha kupoteza muda kwa mammbo yaliyo wazi.
 
Hahahahaha! Wacha nizuie mbavu zangu! Unaweza ukajadiliana na mtu anaetaka kueleweshwa lakini si mtu ambae anasema ng'ombe dume unaweza ukamkama tu na atatowa maziwa. Hivyo Pinda ni mbunge wa kuteuliwa au kuchaguliwa? Na hao wengine wote niliokwishawataja ni wa kuteuliwa? Ukishajijibu hilo swali basi acha kupoteza muda kwa mammbo yaliyo wazi.
Pinda ni mbunge wa kuchaguliwa, lakini ni waziri mkuu wa kuteuliwa. Sasa kumbuka kwamba siongelei ubunge wa hawa jamaa, ninachoongelea ni uwaziri wao. Kama mawaziri ni viongozi wa kitaifa, lakini kwa habari ya ubunge wao ni wawakilishi wa majimbo yaliyowapigia kura. Ninawazungumzia hawa jamaa kama serikali kuu na si kama mhimili wa bunge. Hata wabunge wa zanzibar ni wawakilishi wa majimbo yao na si wawakilishi wa taifa zima.
 
Pinda ni mbunge wa kuchaguliwa, lakini ni waziri mkuu wa kuteuliwa. Sasa kumbuka kwamba siongelei ubunge wa hawa jamaa, ninachoongelea ni uwaziri wao. Kama mawaziri ni viongozi wa kitaifa, lakini kwa habari ya ubunge wao ni wawakilishi wa majimbo yaliyowapigia kura. Ninawazungumzia hawa jamaa kama serikali kuu na si kama mhimili wa bunge. Hata wabunge wa zanzibar ni wawakilishi wa majimbo yao na si wawakilishi wa taifa zima.

Ndugu yangu hawa mawaziri mizigo walilaumiwa kwa kutokufanya kazi zao kule Zanzibar?
 
Ndugu yangu hawa mawaziri mizigo walilaumiwa kwa kutokufanya kazi zao kule Zanzibar?
Na ndio maana wakaitwa mizigo, maana kama walitarajiwa kusaidia taifa lote kwa ujumla wake na badala yake wakaishia kutumikia sehemu moja matokeo ni lazima yawe lawama. Ni mizigo kweli na mimi nakubaliana na wewe katika hili, na pia inaamini bado kuna mizigo zaidi ni vile tu imefumbiwa macho.
 
Na ndio maana wakaitwa mizigo, maana kama walitarajiwa kusaidia taifa lote kwa ujumla wake na badala yake wakaishia kutumikia sehemu moja matokeo ni lazima yawe lawama. Ni mizigo kweli na mimi nakubaliana na wewe katika hili, na pia inaamini bado kuna mizigo zaidi ni vile tu imefumbiwa macho.
Si nilikwambia ndugu yangu kuwa unalazimisha yasiyo? Hao mizigo ni mizigo yenu Tanganyika na iweje useme kuwa wa sehemu mbili? Sehemu mbili zipi iwapo umeshapinga kuwepo kwa haja ya kuitumikia Tanganyika? Bora tafuta hoja nyengine lakini kwa hii ni kuwa hiyo unayoiita wewe Tanzania ndio hiyohiyo Tanganyika.
 
Si nilikwambia ndugu yangu kuwa unalazimisha yasiyo? Hao mizigo ni mizigo yenu Tanganyika na iweje useme kuwa wa sehemu mbili? Sehemu mbili zipi iwapo umeshapinga kuwepo kwa haja ya kuitumikia Tanganyika? Bora tafuta hoja nyengine lakini kwa hii ni kuwa hiyo unayoiita wewe Tanzania ndio hiyohiyo Tanganyika.

Kwahiyo hata akina Hussen Mwinyi, Nahodha, n.k ni mizigo yetu watanganyika? kumbuka hoja yangu ni hii: hawa jamaa waliteuliwa ili kutumikia taifa lote, yaani pande zote mbili, wao kwa matatizo yao wakageuka mizigo kwa kutumika nusu nusu. sasa hapo kosa ni la nani? Ni la wao kama watu binafsi au ni la Tanganyika, au ni la Zanzibar? Halafu unovyoongea ni kama zanzibar hakuna watumishi mizigo, kama ni hivyo, hongereni zenu wazanzibar. Sio bure mnataka kujitenga. Na mimi ninaunga mkono kwamba msilazimishwe kuwa sehemu ya muungano.
 
Kwahiyo hata akina Hussen Mwinyi, Nahodha, n.k ni mizigo yetu watanganyika? kumbuka hoja yangu ni hii: hawa jamaa waliteuliwa ili kutumikia taifa lote, yaani pande zote mbili, wao kwa matatizo yao wakageuka mizigo kwa kutumika nusu nusu. sasa hapo kosa ni la nani? Ni la wao kama watu binafsi au ni la Tanganyika, au ni la Zanzibar? Halafu unovyoongea ni kama zanzibar hakuna watumishi mizigo, kama ni hivyo, hongereni zenu wazanzibar. Sio bure mnataka kujitenga. Na mimi ninaunga mkono kwamba msilazimishwe kuwa sehemu ya muungano.

Unataka kuniambia hivyo Shukuru Kawambwa na Ali Juma Shamuhuna yupi Waziri na yupi Naibu Waziri? Tibaijuka na Abdalla Shaabani yupi Waziri na yupi Naibu waziri?
Na jee Pinda na Balozi Seif wanapokezana vipi kuwa viongozi wa Mawazizri katika Bunge na Baraza la Wawakilishi?

Mbona unakuwa mkaidi ndugu yangu?
 
Unataka kuniambia hivyo Shukuru Kawambwa na Ali Juma Shamuhuna yupi Waziri na yupi Naibu Waziri? Tibaijuka na Abdalla Shaabani yupi Waziri na yupi Naibu waziri?
Na jee Pinda na Balozi Seif wanapokezana vipi kuwa viongozi wa Mawazizri katika Bunge na Baraza la Wawakilishi?

Mbona unakuwa mkaidi ndugu yangu?
You are too political for me. I think I should end this discussion otherwise we are going to have what we call endless political argument. Nimekutunukia ushindi ndugu yangu. Wacha sasa tumalize huu mjadala.
 
Lakin Alisita Nyerere huyo huyo kusema kuwa NJE YA MUUNGANO HAKUNA TANZANIA BARA BALI KUTAKUWA NA UISLAM NA UKRISTO. Na hilo ndio changamoto aliyoipanda Nyerere kwa Tanganyika na kuificha dhana hiyo ndani ya Muungano na ndio maana yeye ndie aliyefunga safari kwenda Znz kuomba waungane ili afiche ukweli wa mambo ambao ni kovu la ukoloni kwa Tanganyika.

kwa kuwa huwezi kufucha ukweli SASA YANADHWIHIRI NA suala la NANI MWENYE MAMLAKA YA KUCHINJA mpaka leo halijapatiwa ufumbuzi zaidi ya kufunika kombe.

Mtafunika kombe mpaka lini?


Mufti Barubaru,

Nimekusoma!

Lakini tartib ndugu yangu...maana hawa jamaa zetu hawajazoea kuambiwa kweli hata kiduchu!

La si hivyo,sasa hivi watakwita ati "mdini"!...au watakuporomoshea matusi ya nguoni hapa hapa jamvini! Daah!

Twawapa pole!

Ahsanta.
 
Ndugu yangu achana kabisa na watanganyika watakuudhi tu bora uchague jukwaa la kuchat sio hapa utatoka una stress nyingi kwani sisi tushapindika na tunataka kuwapinda na nyie

Weye Bibie Lady niece,

Duuh! Lazim nikiri yakua,yaani umenifanza nicheke pasi kiasi kwa hii comment yako! Teeh! Teeh! Teeh!

Afadhali hapo kiduchu...umeamua kusema ukweli! Ndo maana kumbe!? Daah!

Ahsanta sana.
 
hahahahhaaaaaaaa yeye anataka kupindika na siye watanganyika hajui kuwa tumeshapindika huku
tunataka serikali 3 tuwe na serikali yetu bhana
Weye Bibie Lady niece,

Duuh! Lazim nikiri yakua,yaani umenifanza nicheke pasi kiasi kwa hii comment yako! Teeh! Teeh! Teeh!

Afadhali hapo kiduchu...umeamua kusema ukweli! Ndo maana kumbe!? Daah!

Ahsanta sana.
 
You are too political for me. I think I should end this discussion otherwise we are going to have what we call endless political argument. Nimekutunukia ushindi ndugu yangu. Wacha sasa tumalize huu mjadala.
Afwaan (you are wellcome)!
 
Back
Top Bottom