Double Standard Kuhusu Kauli ya "Zanzibar Sio Nchi!"

Double Standard Kuhusu Kauli ya "Zanzibar Sio Nchi!"

"NJE YA MUUNGANO HAKUNA ZANZIBAR BALI KUNA UNGUJA NA PEMBA" (J.K. Nyerere, 1995). wanadai wasichokijua hao. By the way, washanyonya sana lakini hawakui, waacheni wakajitegemee watatia akili.

Mkuu umenena, hawa jamaa tukiwaruhusu wajitoe kitakachofuata ndicho hicho usemacho Pemba atataka yake na Unguja hivyo hivyo na hapo ndipo mzigo wa kuzilea haya maeneo utaongezeka kwa Tanganyika.
Bora serikali 3 ili kila upande uchangie sawa kwa serikali ya Muungano na ikishindikana kuiendesha ndipo Muungano uvunje, lakini si serikali mbili kama zilizopo sasa.
 
Katiba ya Zanzibar ni sawa na katiba ya yanga na raisi wa zanzibar ni sawa na yusuph manji...
 
Katiba ya Zanzibar ni sawa na katiba ya yanga na raisi wa zanzibar ni sawa na yusuph manji...

sawa kijana ila hayo naona kama ni maneno ya mkosaji, na hata mie nahisi ivyo , ila sijui kwann sisi Watanganyika Tunaumia na katiba ile Zanzibar kila siku hatuitoi midomon mwetu, sasa cjui na hiyo katiba ya Yanga tunaijadili kama ivi....?
 
Nyerere alipropose Muungano kwa Karume ambaye alirespond "Nipo tayari hata sasa!" Leo hii mnaanza kumkejeli "Baba wa Taifa la Zanzibar?" Acheni hizo bana!

Kuwa raisi wa nchi haukupi madaraka ya kuiuza nchi kwa jina la muungano.
Karume alikosea sana kuunganisha nchii hizi. Litabaki kuwa ni kosa la kihistoria na moja ya madhila makubwa yalo vikumba visiwa vya zanzibar.kuanzia utumwa ukoloni na mauaji wakati wa mapinduzi.
Karume hatukuwahi kumsikia akisema maneno hayo ya nyerere. Maneno haya alilishwa na nyerere wakati amekufa huyo karume.
Muungano huu ulikua na makoosa kibao
Watu hawakuulizwa
Viingozi wa znz hawakuulizwa
Mwana sheria mkuu wa znz hakushauriwa
Karume alijiamulia mwenyewe, sasa hatujui kama alilizimishwa kusauni na nyerere hasa ukizingatia znz tayari kulikua na polisi wa tanganyika huko wakilinda serikali ya upinduzi.
Nyerere alitengeneza mkatana karuka nao znz ndani ya saa 2 karume alishasainishwa makunaliano.
Makubaliano yale ni haramu kisheria yalifanyika kwa hadaa.ni makubaliano ya kuingia tu lakini hakuna kutoka.ni mkataba ambao ni sawa na kuuza nchi kwani hauna kipengele kuhusu kujitoa.
Hivyo kwa vile znz ni kisiwa kidogo na majority ya watu wake 99% wakiwa waislam ukweli hawakuridhia kitendo alichowafanyia karume kuunganisha nchi yao kuwa chini ya rais mkristo.
Huu utabaki ukweli
 
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania inayojitawala kwa nusu ya mambo, Sio Nchi!
 
Hukumu ya Mahakama waliikubali kwa sababu iliwatoa kifungoni watu wale wale ambao wanataka Zanzibar itambulike kama nchi. Kuhusu ''double standard'' ni utashi wa wanadamu wengi kupinga ama kukubali jambo kutegemeana na linavyomfaidisha au kumwathiri.
Issue ya kumiliki ardhi Zanzibar hapa ni uzembe wa Watanganyika, wachache tulio wajanja tunamiliki ardhi huku Zanzibar kama kawaida na mambo yanaenda.
Yote kwa yote mfumo wetu wa Muungano ni janga maana unaacha maswali mengi kuliko majibu.
 
Mkuu umenena, hawa jamaa tukiwaruhusu wajitoe kitakachofuata ndicho hicho usemacho Pemba atataka yake na Unguja hivyo hivyo na hapo ndipo mzigo wa kuzilea haya maeneo utaongezeka kwa Tanganyika.
Bora serikali 3 ili kila upande uchangie sawa kwa serikali ya Muungano na ikishindikana kuiendesha ndipo Muungano uvunje, lakini si serikali mbili kama zilizopo sasa.

Hii ndio hatari ya kuwasikiliza wavuta bangi na kuyakubali maneno Yao, Hivi nyinyi mna akili? Hivi kabla ya huo uvamizi wake anaouita muungano hiyo unguja na pemba ilikuwa haipo?Lini mliwahi kusikia zinataka kujitenga??????
 
Ngugu yangu hii ni haki kuniuliza jawabu? Kwani Mwinyi si alikuwa Rais wa Zanzibar na alikuwa na Mawaziri wake na alipokuwa Rais wa Muungano aliunda Baraza la Mawaziri wa Zanzibar? Hebu hawa Mawaziri wenu kina Sitta , Magufuli, Chenge na wengineo ni wa Serikali gani?

Umekwepa kujibu swali, Wakati wa utawala wa mwinyi, ni nani alikuwa rais wa Tanzania bara? Hapa kuna mawili, kama unakubali kwamba Tanzania bara bado ni nchi basi kuna wakati ilitawaliwa na mzanzibar au Haikuwa na rais kabisa. Na kama ni kweli ilitawaliwa na mzanzibar, hii ni ya kwanza kutokea duniani kwa nchi yeyote huru na yenye mamlaka kamili kutawaliwa na mtu ambaye si raia wake. Ukweli hapa wanaominywa ni wabara na wala si wazanzibar. Hao mawaziri uliowataja, ni wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wala si wa Tanganyika. Ni sawa tu na tulivyo na akina Hussein Mwinyi na kina shamsi vuai nahodha.
 
Umekwepa kujibu swali, Wakati wa utawala wa mwinyi, ni nani alikuwa rais wa Tanzania bara? Hapa kuna mawili, kama unakubali kwamba Tanzania bara bado ni nchi basi kuna wakati ilitawaliwa na mzanzibar au Haikuwa na rais kabisa. Na kama ni kweli ilitawaliwa na mzanzibar, hii ni ya kwanza kutokea duniani kwa nchi yeyote huru na yenye mamlaka kamili kutawaliwa na mtu ambaye si raia wake. Ukweli hapa wanaominywa ni wabara na wala si wazanzibar. Hao mawaziri uliowataja, ni wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wala si wa Tanganyika. Ni sawa tu na tulivyo na akina Hussein Mwinyi na kina shamsi vuai nahodha.

Kwani kwa Tafsiri yako Mwinyi ni ni wa wapi?
Halafu hili la kukataa kulitolea maelezo kuhusu hawa kina Pinda, Magufuli, Warioba na orodha ndefu iliyopo ya mawaziri wenu unalisemaje? Hawa wapo kwa ajili ya Zanzibar, sijui wanasaidia mkoa gani kule Zanzibar.
Kwa upanse wa Mawaziri kama Shamsi, Samia na wengine ambao wametoka Zanzibar mbona hawana Makao kule Zanzibar au Wete, Pemba kwani hizo ndio sehemu za Zanzibar.
 
tujue kuwa wazanzibar hawatupendi, wanatubagua, sio watu wazalendo kabisa
kwanini maneno hayohayo aliyosema ya kuwa zanzibar sio nchi alyosema ramadhan wasichukie waje kuchukia aliposema mtoto wamkulima ujue kuwa tangia zamani hawa wazanzibar wanatuchukia na hawana la kufanya juu yetu sisi watanganyika ndo mana tunataka tuwe na serikali yetu katiba yetu ya wtanganyika itakayotutambua na kutatua kero zetu kabisa kwani tunagandamizwa sana


hichi ndo kilio chetu watanganyika tuwe na serikali yetu na katiba yetu kama wao

Lady niece,

Sisi hatuwachukii nyinyi kabisa bali tunachukia vitendo vyenu tokea baada ya kuasisiwa huu the so called Muungano 1964, mlianza na makubaliani ya katiba yenyewe kuyachakachua mpaka tukaja 1970 kutaka tufanye review mkawahada viongozi wetu na ni mwalimu mwenyewe aliwahadaa viongozi wetu ambao wengi wao walikuwa si wasomi.

Ingia miaka ya sabiini thru siasa za ujamaa na kujitegemea mukaandaa mikakati ya kuvunja mipango ya kiuchumi ya Zanzibar ya uchumi huria na soko huru na mkatumia viongozi wasaliti wa Zanzibar huru kwa kuwapa nafasi za uongozi Tanganyika ili kudhibiti uchumi wa nchi yetu (Israel style) na mkaanza kuibana koo kiasi ambacho Zanzibar kukazuka njaa ya hali ya juu na chini ya kivuli cha Muungano ikawa hata ukileta sembe kutoka Tanganika ilikuwa ni.dhambi matokeo yake Mzee Karume akasema Azimio la Arusha mwisho Chumbe. Action and counter reaction Karume kauwawa na waliopanga mauwaji yale walizuiwa Tanganyika kukimbia hukumu badala yake wakawa kisingizio waarabu ikaanza witch hunt, kamata chinja weka kizuizini piga uwa Serikali ya Muungano imefumbia jicho na vikosi vyake.ndio vilitumika kufanya huo ukandamizaji wa watu wasio na hatia hasa Pemba na haya yalifanywa kusudi kuwabaguwa Wazanzibari. Ingia Aboud Jumbe tricked into joining ASP na TANU 1977, Zanzibaris waliona hii ndio njia peke kukimbia madhila ya ASP wakaunga mkono whole heartedly muungano wa vyama hivi hasa Pemba. Ndipo Mwanzo wa Wapemba kuanza kuhamia Tanganyika ambako walijihisi wako salama. NEXT chini ya utawala wa Chama kimoja na Party Supremacy ndio Zanzibar ilipoanza kushuhudia kuporwa madaraka yake, utaifa wake na nguvu zake za kujitegemea wenyewe kiuchumi. Coincidentaly kuvunjika kwa kwa EAC 1977 ambapo Zanzibar ilikuwa independent member wakati huo. Ikavunjika East African Monetary Board na mafao ya kila member Zanzibar ikaingia ubia kibiashara na BOT kwa kutoa mafao yake ya EAC na kichangia 11,5% mtaji wa BOT sio mchango wa Muungano. Kuanzia hapo Zanzibar haijapata dividend kutokana na ujasiria mali huo (moja katika kero rasmi za muungano).

Ingia machafuko ya kisiasa 1982 kuuzuliwa A. Jumbe why he questioned the motive behind the Union and benefits of partneship. Muungano huo.

Com e Mzee (Rukhsa) A. H. Mwinyi interim president of SMZ na siasa zake za kurudishia hadhi yake Zanzibar in few days his leadership with his CM Maalim Seif Zanzibar new policies of Liberalization of Trade and Economy, Nyerere could not swalow that Zanzibar had shown the light and turned arround to be abooming xenter of trading, watu wakija kutoka mbali hata Madagascar kununua bidhaa rahisi. 1984 Uchaguzi wa Zanzibar Seif sharif mshindi against Abdulwakil He Mwalimu schemed ushindi akapewa Abdulwakil kutumia famous hotuba ya ugavi U-unguja na Upemba and kufungwa Seif Sharif at the same time tricked Zanzibaris by eti Yeye kujiuzulu na kumpa hatamu Mzee A. Mwinyi urais wa JMT well while wazanzibaris walimnasihi asikubali yeye sababu tulijuwa kuwa ule ni mpango mwengine wa Mwalimu nae hakusikia kilio chao. Ndio maana hadi leo Mzee Mwinyi anaonekana ni msaliti. Haya hivyo mukubali jina la Mzee Rukhsa mlimpa nyinyi waTanganyika kwa vile alihamasisha policy zile zile za kiuchumi za Zanzibar na akaruhusu mengi ambayo Mwalimu .alikuwa akiyazuia. Hilo nalo lilimkera sana Mwalimu wakati bado tukiwa ndani ya system ya chama kishika hatamu (Supremacy) tulishuhudia Mwalimu akimtukana Mzee Mwinyi hadharani tena matusi ya nguoni video clip ya tukio hilo hadi leo ITV wanaichezesha kila siku as kumbukumbu zake. Come mkapa Amiri jeshi mkuu. Salmin enters presidency na matokeo ya siasa za chuki Zanzibar JMT govt imefumbia macho again. Ingia Amani Karume under Mkapa govt Mauwaji ya Pemba. Come uchaguzi wa 2010 Ushindi CUF na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na CCM Dodoma kutokufurahishwa na maridhiano wakaanza kuleta mikwara na kutaka kura yq maoni kudhania itakuwa in their favour wataweza kuuvunja umoja wa wa-Zanzibari matokeo yake 66% wameunga mkono ndio maana mukona matokea ya maoni ya CRC ni 60% wanataka serikali ya Mkataba.
From that day tokea kuasisiwa SUK Dodoma kushirikiana na CCM Kisonge conservative wamekuwa wakipigana na umoja huu nyuma ya pazia na baadae kuonekana waziwazi hasa katika viriri vyao wanaposimama na kumtukana Maalim Seif matusi ya nguoni. Na bado vyombo vya dola (Muungano) havifanyi lolote kuwachukuloa hatuwa wachafuzi wa amani Zanzibar. Watu hao hao ndio wanaosema Wapemba wende kwao hata kutishia watu kuwa watawachoma kwenye matanuri kama walivyofanya 1964 kule Bambi, Mkoa wa Kusini Zanzibar na hao ndio wanaongoza UVCCM na juzi tu eti tunamwona mmoja wao anapigania Chairmanship ya Bunge la Katiba. (Muungano huo).

Tukirudi huko nyuma matokeo ya hivi karibuni, kuuuliwa Wachungaji na hujuma.za Tindikali, wakati tunajijuwa Zanzibaris wa kawaida hasa raia hatuna tabia ya kupigana ovyo seuze kuuwana ovyo kwa kitu kidogo kama shilingi mia sisi tunajuwa fika kama ndugu zetu wa Kikristo tumeishi.nao kwa makarne kupita hatukuwahi kubughudhiana kwa lolote wacha kupigana aua kuuwana, kwa hiyo haya matokeo ya karibu tunaona yanapandikizwa na vyombo vyenye nguvu kutoka Tanganyika ili kutupaka.matope tuonekane Waislam wenye Siasa Kali, pia tunaona kuwa sekta ya Utalii ya Zanzibar imekuwa maradufu so kuongeza mapato ya Zanzibar hence kuinua uchumi wetu; wasiwasi wetu Tindikali dhidi ya wale wasichana na timing yake tumeona ni false flag na kuwa lengo hapa ni kutuhujumu kiuchumi tu.
Jiulizeni kwanini FBI wameondoka kimya kimya Zanzibar bila ya kutoa ripoti ya walichokiona kuhusu mauwaji ya Padri Mushi?

Tunachokiona kuwa vyombo vya dola vimegeuza Zanzibar movement to reforms ni adui wa 'Tanganyikan' Colonisers in the name of the Union, tunachokiaona Tanganyika iliyojificha ndani ya Tanzania Bara inatukaba roho na kutufanya adui zake kisa tumeona na kuyatambuwa makosa yao katika huu Muungano usiotufalia. Msituite mzigo wala.msitutukane kama huyo jamaa hapo aneiita nchib etu Uchi na Buchanan asimpe Ban. Sisi tunajivunia.nchi yetu, tulishawaonyesha zamani.njia ya kuidai Tanganyika yenu na Mtikila katusaidia leo mnatuona wabaya wenu tuacheni tutokane kwa salama. Kama huu muungano mnaita ni ndoa basi sisi ndio tuliowaowa maana from day one tumezuia serikali yetu kamili na instruments zake na structure zake, nyinyi mumetuzuilia hizo funguoa muhimu tu. Sasa tuko tayari tuwape talaka kama hamtaki kukaa na sisi kwa salama na usawa, kifupi Hatuwachukii HATUPENDI DHULUMA ZENU TU!
 
Last edited by a moderator:
Katiba mpya itatusaidia sana kuachana hawa makupe mazenji
 
Zanzibar ni sehemu ya Tanzania inayojitawala kwa nusu ya mambo, Sio Nchi!

Zanzibar ni nchi na katiba inasema hivyo na ndio maana jitihada zinafanyika kutaka kuiondowa hiyo hadhi lakini hilo haliwezekani mpaka tukubali kufa sote (Tanganyika na Zanzibar) au ufe muungano kama nyinyi mnataka kuvaa koti la Utanzania.
 
Katiba mpya itatusaidia sana kuachana hawa makupe mazenji

Hamko serious kwani choyo kimewazidini mko tayari kupoteza gharama ili kutuzuia, halafu ujidai suala la kuachana? Sijui hamjiwezi nyie, kwanini hamuitaki nchi yenu?
 
wazanzibari wanawanyonya watanganyika, na kusema ukweli kwa mujibu wa katiba iliyopo zanzibar siyo nchi,pamoja na kurekebisha katiba yao lakini ukweli una baki palepale si nchi

hiyo unasema wewe kwamba zanzibar si nchi lakini utambue kuwa zanzibar ni nchi kwa maana tanganyika haikuungana na mkoa bali iliungana na nchi ya zanzibar. Unachotakiwa wewe mdanganyika ujitambue kuwa utaifa wako ndio umemezwa na hautambuliki tena maisha.
Zanzibar wakiamua kuvunjilia mbali hii ndoa waliyofunga na tanganyika hapo ndio utajua kuwa zanzibar ni nchi ama sio.
 
hata ukiongea sana nyie wazanzibar mnatuchukia sana tena sana
ni borahuu muungano uvunjwe kabisa na usiwepo maana hatuwaoni
kama mnatupenda siye hivyo inabidi viongozi wote waingilie kati muungano uvunjwe kabisa kila mtu akae kwake nadhaini tutaheshimiana
Lady niece,

Sisi hatuwachukii nyinyi kabisa bali tunachukia vitendo vyenu tokea baada ya kuasisiwa huu the so called Muungano 1964, mlianza na makubaliani ya katiba yenyewe kuyachakachua mpaka tukaja 1970 kutaka tufanye review mkawahada viongozi wetu na ni mwalimu mwenyewe aliwahadaa viongozi wetu ambao wengi wao walikuwa si wasomi.

Ingia miaka ya sabiini thru siasa za ujamaa na kujitegemea mukaandaa mikakati ya kuvunja mipango ya kiuchumi ya Zanzibar ya uchumi huria na soko huru na mkatumia viongozi wasaliti wa Zanzibar huru kwa kuwapa nafasi za uongozi Tanganyika ili kudhibiti uchumi wa nchi yetu (Israel style) na mkaanza kuibana koo kiasi ambacho Zanzibar kukazuka njaa ya hali ya juu na chini ya kivuli cha Muungano ikawa hata ukileta sembe kutoka Tanganika ilikuwa ni.dhambi matokeo yake Mzee Karume akasema Azimio la Arusha mwisho Chumbe. Action and counter reaction Karume kauwawa na waliopanga mauwaji yale walizuiwa Tanganyika kukimbia hukumu badala yake wakawa kisingizio waarabu ikaanza witch hunt, kamata chinja weka kizuizini piga uwa Serikali ya Muungano imefumbia jicho na vikosi vyake.ndio vilitumika kufanya huo ukandamizaji wa watu wasio na hatia hasa Pemba na haya yalifanywa kusudi kuwabaguwa Wazanzibari. Ingia Aboud Jumbe tricked into joining ASP na TANU 1977, Zanzibaris waliona hii ndio njia peke kukimbia madhila ya ASP wakaunga mkono whole heartedly muungano wa vyama hivi hasa Pemba. Ndipo Mwanzo wa Wapemba kuanza kuhamia Tanganyika ambako walijihisi wako salama. NEXT chini ya utawala wa Chama kimoja na Party Supremacy ndio Zanzibar ilipoanza kushuhudia kuporwa madaraka yake, utaifa wake na nguvu zake za kujitegemea wenyewe kiuchumi. Coincidentaly kuvunjika kwa kwa EAC 1977 ambapo Zanzibar ilikuwa independent member wakati huo. Ikavunjika East African Monetary Board na mafao ya kila member Zanzibar ikaingia ubia kibiashara na BOT kwa kutoa mafao yake ya EAC na kichangia 11,5% mtaji wa BOT sio mchango wa Muungano. Kuanzia hapo Zanzibar haijapata dividend kutokana na ujasiria mali huo (moja katika kero rasmi za muungano).

Ingia machafuko ya kisiasa 1982 kuuzuliwa A. Jumbe why he questioned the motive behind the Union and benefits of partneship. Muungano huo.

Com e Mzee (Rukhsa) A. H. Mwinyi interim president of SMZ na siasa zake za kurudishia hadhi yake Zanzibar in few days his leadership with his CM Maalim Seif Zanzibar new policies of Liberalization of Trade and Economy, Nyerere could not swalow that Zanzibar had shown the light and turned arround to be abooming xenter of trading, watu wakija kutoka mbali hata Madagascar kununua bidhaa rahisi. 1984 Uchaguzi wa Zanzibar Seif sharif mshindi against Abdulwakil He Mwalimu schemed ushindi akapewa Abdulwakil kutumia famous hotuba ya ugavi U-unguja na Upemba and kufungwa Seif Sharif at the same time tricked Zanzibaris by eti Yeye kujiuzulu na kumpa hatamu Mzee A. Mwinyi urais wa JMT well while wazanzibaris walimnasihi asikubali yeye sababu tulijuwa kuwa ule ni mpango mwengine wa Mwalimu nae hakusikia kilio chao. Ndio maana hadi leo Mzee Mwinyi anaonekana ni msaliti. Haya hivyo mukubali jina la Mzee Rukhsa mlimpa nyinyi waTanganyika kwa vile alihamasisha policy zile zile za kiuchumi za Zanzibar na akaruhusu mengi ambayo Mwalimu .alikuwa akiyazuia. Hilo nalo lilimkera sana Mwalimu wakati bado tukiwa ndani ya system ya chama kishika hatamu (Supremacy) tulishuhudia Mwalimu akimtukana Mzee Mwinyi hadharani tena matusi ya nguoni video clip ya tukio hilo hadi leo ITV wanaichezesha kila siku as kumbukumbu zake. Come mkapa Amiri jeshi mkuu. Salmin enters presidency na matokeo ya siasa za chuki Zanzibar JMT govt imefumbia macho again. Ingia Amani Karume under Mkapa govt Mauwaji ya Pemba. Come uchaguzi wa 2010 Ushindi CUF na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) na CCM Dodoma kutokufurahishwa na maridhiano wakaanza kuleta mikwara na kutaka kura yq maoni kudhania itakuwa in their favour wataweza kuuvunja umoja wa wa-Zanzibari matokeo yake 66% wameunga mkono ndio maana mukona matokea ya maoni ya CRC ni 60% wanataka serikali ya Mkataba.
From that day tokea kuasisiwa SUK Dodoma kushirikiana na CCM Kisonge conservative wamekuwa wakipigana na umoja huu nyuma ya pazia na baadae kuonekana waziwazi hasa katika viriri vyao wanaposimama na kumtukana Maalim Seif matusi ya nguoni. Na bado vyombo vya dola (Muungano) havifanyi lolote kuwachukuloa hatuwa wachafuzi wa amani Zanzibar. Watu hao hao ndio wanaosema Wapemba wende kwao hata kutishia watu kuwa watawachoma kwenye matanuri kama walivyofanya 1964 kule Bambi, Mkoa wa Kusini Zanzibar na hao ndio wanaongoza UVCCM na juzi tu eti tunamwona mmoja wao anapigania Chairmanship ya Bunge la Katiba. (Muungano huo).

Tukirudi huko nyuma matokeo ya hivi karibuni, kuuuliwa Wachungaji na hujuma.za Tindikali, wakati tunajijuwa Zanzibaris wa kawaida hasa raia hatuna tabia ya kupigana ovyo seuze kuuwana ovyo kwa kitu kidogo kama shilingi mia sisi tunajuwa fika kama ndugu zetu wa Kikristo tumeishi.nao kwa makarne kupita hatukuwahi kubughudhiana kwa lolote wacha kupigana aua kuuwana, kwa hiyo haya matokeo ya karibu tunaona yanapandikizwa na vyombo vyenye nguvu kutoka Tanganyika ili kutupaka.matope tuonekane Waislam wenye Siasa Kali, pia tunaona kuwa sekta ya Utalii ya Zanzibar imekuwa maradufu so kuongeza mapato ya Zanzibar hence kuinua uchumi wetu; wasiwasi wetu Tindikali dhidi ya wale wasichana na timing yake tumeona ni false flag na kuwa lengo hapa ni kutuhujumu kiuchumi tu.
Jiulizeni kwanini FBI wameondoka kimya kimya Zanzibar bila ya kutoa ripoti ya walichokiona kuhusu mauwaji ya Padri Mushi?

Tunachokiona kuwa vyombo vya dola vimegeuza Zanzibar movement to reforms ni adui wa 'Tanganyikan' Colonisers in the name of the Union, tunachokiaona Tanganyika iliyojificha ndani ya Tanzania Bara inatukaba roho na kutufanya adui zake kisa tumeona na kuyatambuwa makosa yao katika huu Muungano usiotufalia. Msituite mzigo wala.msitutukane kama huyo jamaa hapo aneiita nchib etu Uchi na Buchanan asimpe Ban. Sisi tunajivunia.nchi yetu, tulishawaonyesha zamani.njia ya kuidai Tanganyika yenu na Mtikila katusaidia leo mnatuona wabaya wenu tuacheni tutokane kwa salama. Kama huu muungano mnaita ni ndoa basi sisi ndio tuliowaowa maana from day one tumezuia serikali yetu kamili na instruments zake na structure zake, nyinyi mumetuzuilia hizo funguoa muhimu tu. Sasa tuko tayari tuwape talaka kama hamtaki kukaa na sisi kwa salama na usawa, kifupi Hatuwachukii HATUPENDI DHULUMA ZENU TU!
 
Hata Zanzibar inaing'ang'ania Tanzania, ndio maana wanaishi popote katika nchi hii bila kuulizwa na mtu yeyote! Wanaongoza Wizara na Idara zisizo za Muungano bila hofu yoyote! Pia tumesikia kauli mbalimbali za Wazanzibari wenyewe wakiombea Muungano wa Serikali 2 uendelee! Hata wale wasioupenda kabisa Muungano still bado wanataka Muungano wa "Nkataba!"
Hawa Wazenj wanakuwa kama wanawake akitaka umpende zaidi atatishia kurudi kwao, huku akibaki pale pale!
Kwa hiyo asikudanganye mtu, hakuna wanaoung'ang'ania Muungano kama Wazanzibari!

Duuh! Yale yale...yaani wewe mtu unaandika pathetic and sexist comments kama hizo hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako,khalaf ndo unataraji huu mjadala uwe na staha!?

Kwa kifupi,huna adab wala staha hata za "kuvalia nguo"!

Kweli nimeamini nyie mjiitao ati ndo MODS ni majanga! Daah!

Ahsanta.
 
hata ukiongea sana nyie wazanzibar mnatuchukia sana tena sana
ni borahuu muungano uvunjwe kabisa na usiwepo maana hatuwaoni
kama mnatupenda siye hivyo inabidi viongozi wote waingilie kati muungano uvunjwe kabisa kila mtu akae kwake nadhaini tutaheshimiana
Lady niece,

Mkituheshimu mara moja tutawaheshimu mara 100 mkitudharau mara 1 tutawadharau mara 1000.
 
Last edited by a moderator:
Duuh! Yale yale...yaani wewe mtu unaandika pathetic and sexist comments kama hizo hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako,khalaf ndo unataraji huu mjadala uwe na staha!?

Kwa kifupi,huna adab wala staha hata za "kuvalia nguo"!

Kweli nimeamini nyie mjiitao ati ndo MODS ni majanga! Daah!

Ahsanta.
gombesugu,

Huyu muanzilishi mwenyewe wa hii thread ametumia maneno mengi ya kejeli. Kuna mmoja amediriki kuita Zanzibar ni Uchi na Buchanan amejidai kushangalia tu, tutarajie haki hapo?
 
Last edited by a moderator:
gombesugu,

Huyu muanzilishi mwenyewe wa hii thread ametumia maneno mengi ya kejeli. Kuna mmoja amediriki kuita Zanzibar ni Uchi na Buchanan amejidai kushangalia tu, tutarajie haki hapo?

Averoes,

Nimekusoma ndugu yangu!

Watu wa aina hii wala wasituumize vichwa...nimejaribu kupitia takriban bayana zoote hapa jamvini...yaani ni chuki tu na kashfa/matusi ndo vimewatawala ndani ya hizo mbongo zao dhaifu!

Yaelekea huyu ni nguli wa story za vijiweni tu...si umeona katuletea khabar za kwamba ati CIA wana mkono kwa kupitia CCM ati kulazimisha hizo sera za Seriklai mbili,na utumbo mwangineo dhaifu tu!

Hizi ni theories tu,na zipo za aina kadhaa na tunazisikia na kuzifuatilia takriban kila siku!

Sasa hiyo hiyo bayana yake humu aloandika utumbo huo...tukimwambia atuletee ushahidi yakinifu hapa hapa jamvini,tena wenye kuthibitika tena kwa vigezo mubashar...nina hakika hana na atakuja na triangular excuses tu! Daah!...au labda vipande vya majarida ya udaku!? Teeh! Teeh! Teeh!

Kwa kifupi ndugu yangu,hawa jamaa ni majanga saana tu!

Ahsanta.
 
Back
Top Bottom