Double Standard bila soni: Mbatia kutojihusisha na NCCR hadi itakapoamuliwa vinginevyo, Wabunge 19 kujihusisha hadi itakapoamuliwa vinginevyo

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,663
18,037
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani),...
Hapo ni suala la weledi WA kitanzania ,zaidi sana hapo WA msajili
 
Anayefikiri CCM imebadilika, anajisumbua tu. CCM ni ile ile. Kuna watu 2 tu wanaojua CCM inabadilika kwa kulazimishwa - Lema na Lissu. Kwa bahati mbaya wako nje kwa sasa.

Ofisi ya Msajili ni ile ile, Tume ya Uchaguzi ni ile ile, PoliCCM ni wale wale, Majaji ni wale wale, akina Hamad Rashid, Mrema na Cheyo ni wale wale, Katiba ni ile ile... Hii sijui wanasema mwafaka na CHADEMA, CCM wanajaribu tu kufunika kombe ili mwanaharamu afike 2025 bila bughudha za maandamano na makongamano. Samia amekwishasema lije jua ije mvua, yeye ni mpaka 2030.
 
Hicho kiti agombee msukuma Kama watataka tokaaa fukuza woteee muekeni mnyakyusa hapo
 
Anayefikiri CCM imebadilika, anajisumbua tu. CCM ni ile ile. Kuna watu 2 tu wanaojua CCM inabadilika kwa kulazimishwa - Lema na Lissu. Kwa bahati mbaya wako nje kwa sasa.

Ofisi ya Msajili ni ile ile, Tume ya Uchaguzi ni ile ile, PoliCCM ni wale wale, Majaji ni wale wale, akina Hamad Rashid, Mrema na Cheyo ni wale wale, Katiba ni ile ile... Hii sijui wanasema mwafaka na CHADEMA, CCM wanajaribu tu kufunika kombe ili mwanaharamu afike 2025 bila bughudha za maandamano na makongamano. Samia amekwishasema lije jua ije mvua, yeye ni mpaka 2030.
Wanagawana tu keki ya taifa mkuu,ukionjeshwa keki unafunga domo kabisa huku ukisubilia kumegewa kakipande ndiyo kinachofanyika sasa
 
Wanaojifanya watetezi wa utawala wa sheria ndio wabakaji wakubwa wa utawala wa sheria!! Na ikihusisha watu wenye taaluma ya sheria kama msajili wa vyama vya siasa na spika (wote ni wanasheria) inaleta kichefuchefu zaidi!!
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?

Usishindane na wanawake, tafuta Ela
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
Tanzania imehamia kwenye board room politics, yaani maamuzi ya haki yanaamuliwa kwenye meza ya mazungumzo sio tena katiba Wala Sheria zinavyotaka.

Ina maana Mbatia angekua mbunge trust me angeshakua ametimuliwa na NEC wangetangaza Jimbo lipo wazi.

Hii nchi kuna vitu vinakera sana ila wale watetezi wa wabunge 19 hutowaona kwenye uzi huu kabisa.

Mbowe aamue moja kama CCM haitofukuza hao wabunge mazungumzo waachane nayo maana wanatuchora tu tunavyosigana mwishowe yatokee ya NCCR usikie kina Halima Mdee wamvua Mbowe Mwenyekiti!! Kimasikhara tu kama ilivyotokea CUF kumtimua Seif
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
Nchi ya hovyo sn hiii
 
Tanzania imehamia kwenye board room politics, yaani maamuzi ya haki yanaamuliwa kwenye meza ya mazungumzo sio tena katiba Wala Sheria zinavyotaka.

Ina maana Mbatia angekua mbunge trust me angeshakua ametimuliwa na NEC wangetangaza Jimbo lipo wazi.

Hii nchi kuna vitu vinakera sana ila wale watetezi wa wabunge 19 hutowaona kwenye uzi huu kabisa.

Mbowe aamue moja kama CCM haitofukuza hao wabunge mazungumzo waachane nayo maana wanatuchora tu tunavyosigana mwishowe yatokee ya NCCR usikie kina Halima Mdee wamvua ubunge Mwenyekiti!! Kimasikhara tu kama ilivyotokea CUF kumtimua Seif
Upo sahihi kabisa
 
Tanzania imehamia kwenye board room politics, yaani maamuzi ya haki yanaamuliwa kwenye meza ya mazungumzo sio tena katiba Wala Sheria zinavyotaka.

Ina maana Mbatia angekua mbunge trust me angeshakua ametimuliwa na NEC wangetangaza Jimbo lipo wazi.

Hii nchi kuna vitu vinakera sana ila wale watetezi wa wabunge 19 hutowaona kwenye uzi huu kabisa.

Mbowe aamue moja kama CCM haitofukuza hao wabunge mazungumzo waachane nayo maana wanatuchora tu tunavyosigana mwishowe yatokee ya NCCR usikie kina Halima Mdee wamvua ubunge Mwenyekiti!! Kimasikhara tu kama ilivyotokea CUF kumtimua Seif
Sahihi kabisaa, ni suala la muda tyuuuh.
 
Msajili wa vyama vya siasa amebariki uamuzi wa Mbatia na Sekretarieti yake yote KUTOJIHUSISHA na siasa ndani ya NCCR Mageuzi hadi itakapoamuliwa vinginevyo (yaani endapo wataenda mahakamani), Lakini tukija upande wa wabunge wa Covid 19, wenyewe wataendelea KUJIHUSISHA na siasa ndani ya CHADEMA (ikiwemo kuiwakilisha bungeni) hadi itakapoamuliwa vinginevyo (na mahakama). Hapa nanukuu:

"Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, leo Mei 25 imebariki Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia na Sekretarieti yake yote kusimamishwa na kuwataka kutojihusisha na siasa ndani ya chama hicho hadi uamuzi huo utakapoamuliwa vinginevyo"

Hii imekaaje!! Sijui huko nje tunaonekanaje? Hivi hata ile aibu tu ya kawaida hakuna?
Mbatia bado hajaenda mahakamani.
Endapo ataenda mahakamani kina Halima Mdee,ndio unaweza ona hiyo amri ya zuwio.

Fanya utafiti kabla ya kukimbilia Post.

Mbatia binafsi ameita Press conference na kuongea mlolongo wa mawasiliano yake na msajili wa vyama vya siasa Jaji Mutungi.

Ambae yuko Dodoma na anatarjia kurudi Dar es salaam na kukutana na mbatia ili kuujua mustakabali kamili.

Vuta subira.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom