Hakuna mpenda haki aliyeshiriki uchaguzi wa kihayawani wa 2020. Labda kama ni sifa za kinafki.DOTTO BITEKO atafika mbali sana. Ni kiongozi makini na mpenda haki.
Ngoja nimalizie kujenga kwangu kwanza nitakuja kumsaidia kama muda utapatikanaNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewashukuru marafiki na wanafunzi aliosoma nao katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Mwanza (SAUT) na kuwataka kufanya kazi kwa bidii ili kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza azma ya kujenga uchumi wa nchi na Watanzania.
Ujumbe wa Marafiki waliosoma na kiongozi huyo ukiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe umetoa pongezi kwa Dk. Biteko kwa kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.
Saa 100 anamtegemea amletee kura zote kanda ziwA Magu mdogo.....plus Machungwa na Nyami ...
Mbona mapema hivi? Kubadili watu wanachokiamini uhitaji muda.......Biteko anaonekana amepwaya ndio maana kaletwa Makonda kusaidia kutafuta kura za kanda ya ziwa.
DOTTO BITEKO atafika mbali sana. Ni kiongozi makini na mpenda haki.
Huyu nae Kila siku ni kuongea ongea misemo mipya harafu hakuna anacho deliverNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewashukuru marafiki na wanafunzi aliosoma nao katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Mwanza (SAUT) na kuwataka kufanya kazi kwa bidii ili kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza azma ya kujenga uchumi wa nchi na Watanzania.
Ujumbe wa Marafiki waliosoma na kiongozi huyo ukiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe umetoa pongezi kwa Dk. Biteko kwa kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.
Hawajamwambia awakumbuke katika ufalme wake?Ujumbe wa Marafiki waliosoma na kiongozi huyo ukiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe umetoa pongezi kwa Dk. Biteko kwa kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.
Jamaa kapewa kazi, badala ya kufanya kazi ANAFANYA UCHAWA.Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewashukuru marafiki na wanafunzi aliosoma nao katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Mwanza (SAUT) na kuwataka kufanya kazi kwa bidii ili kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza azma ya kujenga uchumi wa nchi na Watanzania.
Ujumbe wa Marafiki waliosoma na kiongozi huyo ukiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe umetoa pongezi kwa Dk. Biteko kwa kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.
Unamsaidia mtu anayetaka kusaidiwa ,mtu anaiba na rais yupo tu anaishia kusema stupidi basi hachukui hatua unategemea niniNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewashukuru marafiki na wanafunzi aliosoma nao katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Mwanza (SAUT) na kuwataka kufanya kazi kwa bidii ili kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza azma ya kujenga uchumi wa nchi na Watanzania.
Ujumbe wa Marafiki waliosoma na kiongozi huyo ukiongozwa na Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe umetoa pongezi kwa Dk. Biteko kwa kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati.
Naamini Ole Sabaya anahitajika ili kuongeza nguvu na mvuto ndani ya CCM!..Biteko anaonekana amepwaya ndio maana kaletwa Makonda kusaidia kutafuta kura za kanda ya ziwa.