Dotto Biteko ndiye Waziri Mkuu ajaye 2025-2030?

Dotto Biteko ndiye Waziri Mkuu ajaye 2025-2030?

The Tomorrow People

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
2,690
Reaction score
2,853
Asalaam Aleykum!!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu Msaidizi August 23, 2023 ulizua mjadala mpana kuhusiana na mstakabali wa Waziri Mkuu wa Sasa Mh. Kassim Majaliwa.

Duru za kisiasa zinadokeza kuwa Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko ulikuwa ni mkakati mahsusi wa kumuandaa na kumpa uzoefu ili aje kushika nafasi ya Uwaziri Mkuu 2025-2030.

Kitendo cha Mh. Kassimu Majaliwa kutogombea tena Ubunge kunaipa nguvu dhana hii ya mkakati mahususi ya kumwandaa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu ajaye.
 
Asalaam Aleykum!!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu Msaidizi August 23, 2023 ulizua mjadala mpana kuhusiana na mstakabali wa Waziri Mkuu wa Sasa Mh. Kassim Majaliwa.

Duru za kisiasa zinadokeza kuwa Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko ulikuwa ni mkakati mahsusi wa kumuandaa na kumpa uzoefu ili aje kushika nafasi ya Uwaziri Mkuu 2025-2030.

Kitendo cha Mh. Kassimu Majaliwa kutogombea tena Ubunge kunaipa nguvu dhana hii ya mkakati mahususi ya kumwandaa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu ajaye.
.soma katiba
 
Kuna watanzania mna akili ndogo Sana either hampendi kujielimisha au mmeamua kujitoa ufahamu .


Katiba ya Tanzania inasema waziri Mkuu atahudumu miaka 10.

Kwahiyo majaliwa angeamua kuendelea kuwa Mbunge bado asingepata nafasi ya yeye kuwa waziri Mkuu .
Wew unadhan kwann waziri mkuu akiwa bungeni alitangaza kurud tena mbungen na Leo tena anakuja kutwambia kuwa amesitafu,Kuna nin?
 
Acheni ramli gombeshi, huyo kijana ni very competent ata mimi ningekua Raisi ningemchagua kuwa PM
 
Asalaam Aleykum!!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu Msaidizi August 23, 2023 ulizua mjadala mpana kuhusiana na mstakabali wa Waziri Mkuu wa Sasa Mh. Kassim Majaliwa.

Duru za kisiasa zinadokeza kuwa Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko ulikuwa ni mkakati mahsusi wa kumuandaa na kumpa uzoefu ili aje kushika nafasi ya Uwaziri Mkuu 2025-2030.

Kitendo cha Mh. Kassimu Majaliwa kutogombea tena Ubunge kunaipa nguvu dhana hii ya mkakati mahususi ya kumwandaa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu ajaye.
Mnataka kula za kanda ya ziwa, hamna lingine.
 
Asalaam Aleykum!!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu Msaidizi August 23, 2023 ulizua mjadala mpana kuhusiana na mstakabali wa Waziri Mkuu wa Sasa Mh. Kassim Majaliwa.

Duru za kisiasa zinadokeza kuwa Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko ulikuwa ni mkakati mahsusi wa kumuandaa na kumpa uzoefu ili aje kushika nafasi ya Uwaziri Mkuu 2025-2030.

Kitendo cha Mh. Kassimu Majaliwa kutogombea tena Ubunge kunaipa nguvu dhana hii ya mkakati mahususi ya kumwandaa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu ajaye.
Unadhani kwanini majaliwa hatakiwi shida ni nini huko sistimuni
 
No but angekuwa mbungen wa kawaida km ndugai na hata yey alikuwa TU kuwa hata kuwa pm
Kwahiyo hoja yako imekaaje hapo ?

Maana unachanganya mambo.

Majaliwa kuwekewa msaidizi haimaniishi huyo msaidizi atakuwa PM .

Usichoelewa siasa za kibantu hazilengi Competence Ila zinalenga kupata Madaraka kila baada ya term Fulani .

Kwahiyo Kumuweka Biteko pale ni miakakati ile ile ya kuchota ufahamu wa watu wa kanda ya ziwa .


Uchaguzi ukiisha kuna sura utaziona utashangaa.
 
Mumeo vp yeue atakuwa makamu wa Rais?
Asalaam Aleykum!!
Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu Msaidizi August 23, 2023 ulizua mjadala mpana kuhusiana na mstakabali wa Waziri Mkuu wa Sasa Mh. Kassim Majaliwa.

Duru za kisiasa zinadokeza kuwa Uteuzi wa Mh. Dotto Biteko ulikuwa ni mkakati mahsusi wa kumuandaa na kumpa uzoefu ili aje kushika nafasi ya Uwaziri Mkuu 2025-2030.

Kitendo cha Mh. Kassimu Majaliwa kutogombea tena Ubunge kunaipa nguvu dhana hii ya mkakati mahususi ya kumwandaa Mh. Dotto Biteko kama Waziri Mkuu ajaye.
Akiwa waziri kuu kuna chochote cha maana atafanya?
 
Back
Top Bottom