Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
- Thread starter
- #41
Hivi unadhani tunapenda basi??? Unajikuta tu umeshadumbukia mzimamzima.....ukiumizwa ndo unaanza kujuta na kulia plus kuweka viapo vingi lakini ukikutana na mwingine unajikuta unafanya yaleyale yaliyokucost. Sijui kwa nini Mungu aliweka hii kitu inaitwa KUSAHAU
ni kweli kuna kusahau but we have to learn from our past