mrsleo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2014
- 2,588
- 3,886
hv unajua kitu kinachoitwa kupenda huwezi kuji control? its either u love someone or u dont lakini kusema kwamba eti utakuwa na mtu alafu upo nusu nusu ili siku akikutenda usiumia hakuna kitu kama hicho, cha msingi linapotokea ujue tu kwamba sio mwisho wa dunia na hutakuwa wakwanza wala wa mwisho kukutwa na situation kama hiyo, umia kwa kuwa huwezi kuyazuia maumivu then kadri siku zinavyozidi kwenda yataisha na utasahau na unaweza pitia situation hiyo kwa mtu zaidi ya mmoja au wawili then ndo anatokea mr or mrs right wa kukufanya uone kwamba kumbe true love ipo