Aurora
JF-Expert Member
- May 25, 2014
- 7,308
- 5,275
Habari zenu kwa wale wa Afrika mashariki na kati mmeamka salama?
Why i came up with this topic asubuhi yote hii? kuna shostito wangu mmoja ni kama anatamani kufa right this moment.
Na baadhi ya wadada hapa pia wamekuwa wanakuja na thread za kulalamika kuumizwa nikaona si vibaya nikiwakumbusha this slogan.
Unakuta mdada anapenda vibaya in a way that anajiaminisha 100% percent kuwa huyo aliyempata ni wa kufa na kuzikana, anamkabidhi kila kitu moyo, akili, nafsi, figo, bandama hadi na ini.
Ni hapo sasa mambo yasiwe kama alivyotegemea ndio yanatokea haya ya bi dada anatamani hata kuitoa roho yake.
Jamani tupendeni kiasi tu in a way hata mambo yaki turn up side down unabaki normal.
Ni hayo tu
Why i came up with this topic asubuhi yote hii? kuna shostito wangu mmoja ni kama anatamani kufa right this moment.
Na baadhi ya wadada hapa pia wamekuwa wanakuja na thread za kulalamika kuumizwa nikaona si vibaya nikiwakumbusha this slogan.
Unakuta mdada anapenda vibaya in a way that anajiaminisha 100% percent kuwa huyo aliyempata ni wa kufa na kuzikana, anamkabidhi kila kitu moyo, akili, nafsi, figo, bandama hadi na ini.
Ni hapo sasa mambo yasiwe kama alivyotegemea ndio yanatokea haya ya bi dada anatamani hata kuitoa roho yake.
Jamani tupendeni kiasi tu in a way hata mambo yaki turn up side down unabaki normal.
Ni hayo tu