Don't give player a reason

Don't give player a reason

tatizo sio hela tatizo ni wife material

Ngoja nikuambie tatizo ni nini...FAST FOODS!!!

Tunataka kila kitu haraka haraka...umemuona binti leo, amekuvutia kwa macho ya nje umeshamtongoza...halafu unataka leo leo afanye yale utarajiayo! Wife material....

Mimi nilifundishwa hivi; umemuona binti, umevutiwa naye...tafuta kufahamiana naye zaidi kama marafiki..utafika wakati utamfahamu tabia yake na kuwa na uhakika kuwa huyu ndiye...muelezo upendo wako kwake...ingieni kwenye mahusiano rasmi..nakuhakikishia hutakaa ulete sredi kama hii asilani!
 
Unafiki gheto weekend au hata weekdays kwanza....we ndo wa kwanza kunikumbusha tupeleke bill ya chips kwa Mayweather ,hapa umuhimu wako wa hata kupika siuoni .

Unakuta nguo chafu ghetto we ndo wa kwanza kulalamika ooh baby chumba chako hukiweki kwenye mpangilio ,usaf na nguo chafu hujapeleka tu kwa dobi?(hapa mchezo nausoma tu)
Kuanzia ijumaa hadi jumapili unalazimisha usiku lazima tutoke club au sehemu yoyote ile "nikakamulike maziwa"...nadhani ndo raha yako OK sawa....nikikataa tu kidogo ooh baby acha ushamba!!

Uko kila social networks ,Tango,facebook,twitter ,una magroup 25 whatapp etc stories zako ooh nime upload picha Instagram nimepata likes 10000 ,baby hata like yako sijaiona "una roho mbaya we janaume!!" Najinong'oneza hivi mbona hataki tupige story za MMU za kuelimisha mapenzini kama thread za kaka Mtambuzi ?

Mbaya zaidi unalalamika ooh week hii hujanipa hela yakusuka halafu imetoka fashion mpya ya High heel inaitwa kimkardashian naomba hela,Me sikunyimi utapata baby ( natimiza moja ya majukumu yangu) ,isitoshe huachi kuulizia "UNA MPANGO GANI NA MIMI BABY,UTANIOA LINI"? Harusi ya akina miss chagga ame upload instagram wamependeza....Daaah hua nasikitika sana rohoni sema mimi nikidume akili inakua tu kichwani wala sikuambii unakosea wapi kwa sababu hata wengi za mademu wa wasikaji zangu akina Mentor Kaizer Mashaxizo mshana jr kabanga wako hivi hivi siwezi nikakubadilisha kama wewe mwenyewe na kizazi chenu umuhimu wa kuwa HAWA/EVA hujauona

Nakuja kukufanyia evaluation umekuja hadi unaondoka nikijumlisha na zile gharama zangu za virungu vidogo vidogo through the week so far " UWEPO WAKO SIONI UMUHIMU WAKE " Man and half majibu ninayopata "HUNA UMUHIMU KWANGU" You are not wife material, You give me a reason to be a player

Mhhhhhh
 
Mkuu umegonga palepale,mara ooh engagement mbele ya best zng nataka,halafu bby nunua kitu fulani kama fulani,hawa watu!!
 
Basi sawa bestiiii, mimi nipo

Hahahaa best mimi kabla sijawa active sana jf nlikuwa nimeshakutana na kubwa moja haswaa baada ya hapo hapo hakuna jambo lingine linaweza kunitikisa....na huu mtazamo ninao tangu hapo yaponitokea ya kunitokea..... Kwa hiyo amini tu kwamba huu mtazamo haujaanza siku za karibuni ni wa siku nyingi labda ulikuwa hujabahatika tu kuusikia kutoka kwangu
 
Uko kila social networks ,Tango,facebook,twitter ,una magroup 25 whatapp etc stories zako ooh nime upload picha Instagram nimepata likes 10000 ,baby hata like yako sijaiona "una roho mbaya we janaume!!" Najinong'oneza hivi mbona hataki tupige story za MMU za kuelimisha mapenzini kama thread za kaka Mtambuzi?

Hivi kile itufe cha LIKE hakipo tena hapa JF?
Nakupa li LIKE likubwa mkuu mwekundu
 
Last edited by a moderator:
mwekundu mule mule, maana wengine hawajiongezi kabisa.....
m
 
Last edited by a moderator:
Good morning!

Leo nimeamka na upako...

mwekundu unakosea. Sitaki demu/girlfriend wa kuja kunifulia nguo na kunipangia nguo...sikufundishwa hivyo jandoni!

Pili, Unapaswa kufahamu ulivyolelewa wewe na alivyolelewa yeye ni TOFAUTI.

Tatu, ukitaka kuwa na amani moyoni...usitoe kuliko uwezo wako, usitegemee kupita kiasi, usitoe ukiwa na matarajio ya kurudishiwa!

Mwisho, wote wa kiume na wa kike...niwatakie siku njema!

Love is a good thing!!!!
basi kama na wewe hujaoa wa sifa yako bado hajatokea ,KWELI INATISHA INASIKITISHA PIA
 
Back
Top Bottom