Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,947
- 22,105
Ndugu wapendwa
tukielekea weekend si haba kujulishana tusinywe na kuendesha gari na kama yawezekana
wala akuna haja ya kunywa pombe ushindwe kuendesha gari majuzi nilijiuliza kama kuna watu wanaoweza
kuwa na dhambi ni wachungaji kwa kuwadanganya watu amekufa kwa mapenzi ya mungu jamani sasa
kama umejilewea umejiingiza mwenyewe ukajifia mwenyewe sasa kwa nini wadanganye umeitwa na mungu
mungu gani anahifadhi walevi jamani mungu yupi anaitaji wazinzi no la hasha
kwa wale wenzangu leo kuna mkesha kwa mama rwakatare pale kwa gwajima na kwa mh ndege
pale kawe vyema kama wenzangu wanapowahi kuingia ngwasuma basi na sisi tusiache kuwahi urithi
wa milele kumtukuza mungu muumba
mungu awabariki
tukielekea weekend si haba kujulishana tusinywe na kuendesha gari na kama yawezekana
wala akuna haja ya kunywa pombe ushindwe kuendesha gari majuzi nilijiuliza kama kuna watu wanaoweza
kuwa na dhambi ni wachungaji kwa kuwadanganya watu amekufa kwa mapenzi ya mungu jamani sasa
kama umejilewea umejiingiza mwenyewe ukajifia mwenyewe sasa kwa nini wadanganye umeitwa na mungu
mungu gani anahifadhi walevi jamani mungu yupi anaitaji wazinzi no la hasha
kwa wale wenzangu leo kuna mkesha kwa mama rwakatare pale kwa gwajima na kwa mh ndege
pale kawe vyema kama wenzangu wanapowahi kuingia ngwasuma basi na sisi tusiache kuwahi urithi
wa milele kumtukuza mungu muumba
mungu awabariki