hahahhaa u made my mornMbatia Angekuwa kichwa chama chake kingekuwa na mbunge mmoja tu ambaye ni yeye?
Miaka 25 yuko kwenye siasa bado mbunge hajawa hata makamu wa Raisi au waziri mkuu au naibu spika?.Ni aibu.Tulia kaanza juzi tu leo naibu spika wa bunge.Yeye Mbatia miaka 25 Hajui hata unaibu spika unafananaje anangoja Tulia amwonyeshe kidole kuwa haya babu uliyekaa kwenye siasa miaka 25 chama chako kikiwa na mbunge mmoja ongea!
Kwa uzoefu wangu humu wengi wanajiona wanaelewa kuliko wengine, hivi umesoma na kuona alieandika hana uelewa ni kitugani kinachokupelekea kuiijibu hoja yake.Were mafanikio ya kisiasa unayapima kwa mtu kupewa unaibu spika? Tatizo humu tunargue ns watu ambao uelewa ni problem
Well Said!!!Nafikiri hili dongo alipaswa kujipa mwenyewe yeye Mbatia kama miaka 25 yote bado anasaga lami tu mwenzake aliyekuwa Shule ya msingi leo hii Naibu Spika namba 3/4 Baada ya Raisi, Naibu Spika Tulia (PhD) ana uwezo wa kukabidhiwa kuongoza nchi iwapo dharura ikitokea, hivyo kama ningekuwa Mbatia ningetafuta kingine cha kufanya kama miaka yote hiyo lkn hakuna chochote ulichofanikiwa, kama ni chama hata Wabunge wawili hakina na hii ni kwa miaka 25 anayojisifia nayo!
Uko vizuri.Mbatia hata sio kichwa,angekua kichwa angejaribu kukiunganisha chama chake na kuhakikisha anarudisha wale Brain trust wote walio kua kwenye chama kabla hakijasambaratika,lakini yeye toka ameingia ndo kwanza wamezidi kutimka,Hebu fikiria watu kama Mabere Marando,Ndimara Tegambwage,Profesa Baregu,Hashimu Spunda, Roman Selasini,Ali Sumaye,Nsanzugwanko na wengineo na kwa kusaidiana na wale vijana kina Kafulila ,Mkosamali, na wengine,hawa wangeweza kumsaidia yeye kukiboresha chama,lakini anaonekana ni mbinafsi na anachotaka yeye ni madaraka tu na kuwa na watu wanaomtii basi,na kwa hilo kwa kweli amefanikiwa kwani hakuna wa kumwambia kitu,amebaki kujivunia hiyo stori ya kwamba ametoka mbali na chama na amekuwepo muda mrefu kwenye harakati za mageuzi so hakuna wa kumwambia kitu ,mambo hayendi hivyo brother unganisha nguvu na wenzako chama kiende mbele,anakushinda hata Zitto,maana yeye anaonekana ni mwanasiasa anayekuwepo muda wote na amesimama kwa miguu yake,wala hakai kwa fadhila za chama kingine,lakini wee unajiita wa long time kitambo chama chako kina mbunge mmoja tu ,yeye anahemea kwa pumzi za UKAWA tu,Mi unaniboa Mbatia,Mbinafsiii.
Aliyempeleka Tulia pale ni nani? Unadhani wabunge wa CCM wote wanamuunga mkono Tulia?
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo mno ukilinganisha na umri wako unapitwa na jeskaMabatia atuambie kwanza ,kwa nini aliuza chama kwa mafisadi??
Unajua maana ya PHD tuanzie hapo unaweza nipa definition ya PHD?Mwenzake sasa ana PHD yeye ananini? Na siasa imemsaidia nn kwa miaka 25 yote? Hajidhangai kuona mtu aliekuwa shule yq msingi sasa ndio kiongoz wake bungeni? Haon aibu hata kusema upupu huo? Ukawa nenden kwa babu Mwasapile Loliondo
Ni utoto ... akikua ataacha."Nina miaka 25 niko kwenye siasa.Wakati tunapambana kwa ajili ya Watanzania miaka hiyo yote hatukuwahi kuwa na posho.Kipindi hicho kina Tulia walikuwa shule ya msingi"
Source: Mh Mbati, James
Acha kubeza, wewe una nini kinachotambulika na nani? Taf. Mupime Dk. Tulia au Msomi mwingine yeyote kwa vigezo vya kisomi na unapopima hakikisha una tools za kumpimia. Usitumie vigezo vya form six failure mbowe kumpima Dk. Tulia. Ndiyo maana Prof. Safari, Baregu huwasikii wakiponda uwezo wa kielimu wa Tulia.Dr tulia ana PHD ya nini vile eti ya sheria Tanzania tuna utani sana kama wasomi wenyewe ndo tulia tuna safari ndefu aliandika kajarida kamoja kipindi anafanya PHD kamesomwa na watu sita tu ndo wasomi wa Tanzania kazi kukimbilia viti maalumu
Inawezekana Tulia alikuwa shule ya msingi kipindi huyo jamaa hachukui posho lakini leo Tulia ni PhD holder je yeye?"Nina miaka 25 niko kwenye siasa.Wakati tunapambana kwa ajili ya Watanzania miaka hiyo yote hatukuwahi kuwa na posho.Kipindi hicho kina Tulia walikuwa shule ya msingi"
Source: Mh Mbati, James
Umeishia darasa la ngapi? This is very serious! Mtu anashindwa kuandika angalao hata sentensi moja ya kiswahili iliyo sahihi halafu anaona ana uwezo wa kuchangia. Huyu ni wa kuchukua mafunzo ya KKK (Kuandika, Kusoma na Kuhesabuj).
Akili zako na za wabunge wa ccm hazina tofautiSo mbatia kasota 25yrs bila posho Dr Tulia kamrudisha machunguni. Si waache siasa za kihuni watulie bungeni wajenge hoja iwekwe mezani izungumzwe hapo nitawaona vichwa na sio kukimbia bungeni wanakuja kwa wananchi! Sasa sisi ndio tuende bungeni tukajadili Dr Tulia? Au wanataka kutujaza jaziba tuandamane halafu tushunghulikiwe na dola kwa kuvunja sheria? Hao ni vichwa au wavuruga amani? Mlishachanguliwa pambaneni kwa hoja mjengoni ndio tunalolitarajia. Katiba ya Warioba ingekuwa ilipita tungewafukuza ubunge maana hamtusaidii kazi kusaini posho hewa tu na msipewe kabisaaa labda mtulie bungeni na mchangie hoja.
CCM Mna hoja gn za maana mnazodai mnataka wapinzani wawawekee mezani? kipi mbachokubali mkiambiwa ukweli hamtaki kuelewa. mmenyima bunge live mnasema wapinzani wanauza sura waende majimboni. Huko wakienda kufanya mikutano hamtaki mnatuma polisi wawapige mabomu mnataka mtawale nchi hii kwa ubabe mpk lini? ila iko cku mungu atasema imetosha.So mbatia kasota 25yrs bila posho Dr Tulia kamrudisha machunguni. Si waache siasa za kihuni watulie bungeni wajenge hoja iwekwe mezani izungumzwe hapo nitawaona vichwa na sio kukimbia bungeni wanakuja kwa wananchi! Sasa sisi ndio tuende bungeni tukajadili Dr Tulia? Au wanataka kutujaza jaziba tuandamane halafu tushunghulikiwe na dola kwa kuvunja sheria? Hao ni vichwa au wavuruga amani? Mlishachanguliwa pambaneni kwa hoja mjengoni ndio tunalolitarajia. Katiba ya Warioba ingekuwa ilipita tungewafukuza ubunge maana hamtusaidii kazi kusaini posho hewa tu na msipewe kabisaaa labda mtulie bungeni na mchangie hoja.
Umemjibu vizuri sana huyo kipaza sauti wa lumumbaVery poor reasoning. Kwako wewe kuteuliwa na mtu hata ukafikia nafasi ya juu, unaona ni mafanikio? Wenye akili huishi kwa akili na jitihada zao, na siyo kwa kuteuliwa na mtu. Aliyeteuliwa, mara nyingi huwa ni mtumwa wa aliyemteua.
Wewe kwako mafanikio kisiasa ni yapi ebu twambie,Nakubariana na wewe, Mbatia yuko vizuri sana, ni mwanasiasa mzuri ila hana mafanikio ya kisiasa. Ndicho watu wanachokiongelea, na sio pesa, majumba ama magari lah hasha.
Hizo nafasi ni lazima uwatumikie na kuwaridhisha walio kupatia hiyo nafasi,tulia hana uwezo wa kusema no kwa aliye mfikisha hapo alipoUmakamu wa Rais, uwaziri mkuu au unaibu spika kama wa Tulia, zote ni nafasi za kupewa na mtu. Sidhani kuna cha kujivunia, kama ukiwa kwenye nafasi hizo.