Nani anaijua hiyo nyimbo ya maharusini........?
View attachment 61440
kama ujuavyo ikisimama haipigwi sound, leo lazima uachie mzigo huo ajimegee kisport.
Mkuu usicheze na mbuzi wa Mbagala!Jamani huyu MBUSI alikuwa anapelekwa kwa MKULU au??? Maana hadi anachekiwa kama ana VIHATARISHI VYA AINA YA MILIPUKO kwa kutumia metal detector???? (Tanzania kuna vimbwanga
...Ah! Si unaona na Simba ametoa ushirikiano kwanza kamkumbatia kabisa then na yeye akafumba macho kuonyesha hisia....we acha tu...:loco:Khaaa! Huyo mama nadhani ni wa plastic! Hana damu huyo! Sasa simba angefungua mdomo?
uwwwi ndifwa!