We Boflo...mimi huo wimbo nlijifunzia jkt enzi izo mmepiga zoezi wee..sasa mnapewa mapumziko mnaanza kuimba
"nyama yoote umenipa kidogo mkononi kuonja, X2
kidogo mkononi we -kuonjaa
kidogo mkononi -kuonjaa.
kumbe ni wa maharusi??? Sasa harusini unakuwa na maana gani???!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.