Masterplan
JF-Expert Member
- Dec 10, 2019
- 209
- 348
"Kwasasa Sina Mke natarajia FIRST LADY atakuwa raia wa Marekani ambaye nitamuoa ili kujenga uhusiano mwema wa Kimataifa. Nitaoa mwanamke anayejua maana ya mme na anayejua maana ya MKE wa Rais. Na Watanzania wote watafurahishwa na Mtazamo wangu."
Unataka upandikize adui nchini au Dhumuni lako Ni lipi sidhani kama atakuwa na uchungu na nchi yetu huyo
Unataka upandikize adui nchini au Dhumuni lako Ni lipi sidhani kama atakuwa na uchungu na nchi yetu huyo