Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,587
- 12,114
Ni awamu ya wasukuma kuwa marais.
Mtapita kwa kishindo kwerikweriiiii!!
Mtapita kwa kishindo kwerikweriiiii!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui mwezi upo gizani au mwandamo?Kumekucha!!! Sasa umefika mbali. Mwanzo tulijua ni mawingu tu channel hazikamati fresh, kumbe dishi limeyumba kikweli kweli.
Deo kisandu alishafungwa hiyo hawezi kuwa mgombea. Huyu ni mr Don na anatarajia kugombea uraisWe siyo mtemi Deo Kisandu kweli?
Inawezekana na wewe umechangia bila kusoma bandiko. rudia kusoma ndipo utajua kama ni yeye au la.NYUZI ZA HIVI ALIKUWA ANAWEKA POPOMA MMOJA ALIEKUWA ANAJIITA DEO KISANDU
NAHISI NI MTU MMOJA
Halafu Magufuli alitamka mara tatu kuwa kampeni zimeishaMbona mapema sanA
Kila la heri mkwe wa ObamaWe siyo mtemi Deo Kisandu kweli?
TeteteKila la heri mkwe wa Obama