Dollar 105bn lost as jumbos killed in Tanzania

kibogo

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
9,739
4,732
$105bn lost as jumbos killed in TZ - Business | The Citizen

Yaani kwa miaka mitano 2010 - 2014 tumepoteza 60% ya Tembo, ni vema tukatafakari ndani ya hii miaka mitano ni nani kiongozi wa nchi na ni kiongozi yupi wa CCM alihusishwa na biashara hii haramu ya meno Tembo na je tumeshuhudia kila tukio la wanaokamatwa na meno ya Tembo wachina hawakosekani na ni chama kipi Swahiba na hawa wachina?

Ukipata majibu ya hayo maswali utagundua wazi nani yupo nyuma na biashara hii.
 
.....mimi naisi jamaa mmoja mkubwa ambaye yuko kule kwa wakijani
 
Mbona source keshaiweka ...... The Citizen!!


Hizi habari nyingne zinaweza kua na mushkeli $105bn ukiibadilisha kwenye hela zetu za madafu ni sawa na trion 220. Hizi figure sikutegemea zitolewe nagazeti makini kama la citzen. Kama zingekua ni za kweli basi tanzania tungekua na akina dangote wengi.
 
Kuna kitu gani cha kutafakari hapo Mkuu?

Tanzania nchi yenye "utulivu" na "amani" haiwezi kulinda tembo wake. Polisi wetu, wanajeshi wetu na usalama wa taifa wameshindwa kuwalinda tembo wetu. Hivi tuna tofauti gani na Somalia au Sudan ya Kusini?

Labda baada ya uchaguzi October inaweza kupatikana serikali itakayowalinda wanyama wetu.
 
Huyo atakuwa ni mzee wa tembo mbona anajulikana ni mzito kwenye chama chetu,alishajiapiza hadi 2020 hakutakuwa na kitu kinaitwa tembo kwenye mbuga zetu za wanyama,na huu mzigo uliokamatwa juzi kati kule uswis anahusika nao.
 
$105bn lost as jumbos killed in TZ - Business | The Citizen

Yaani kwa miaka mitano 2010 - 2014 tumepoteza 60% ya Tembo, ni vema tukatafakari ndani ya hii miaka mitano ni nani kiongozi wa nchi na ni kiongozi yupi wa CCM alihusishwa na biashara hii haramu ya meno Tembo na je tumeshuhudia kila tukio la wanaokamatwa na meno ya Tembo wachina hawakosekani na ni chama kipi Swahiba na hawa wachina?

Ukipata majibu ya hayo maswali utagundua wazi nani yupo nyuma na biashara hii.

Huku kwetu Serengeti, tembo ni adui zetu mana in wanyama waharibifu na ni chanzo cha umaskini!
 
natamani Kinana ahamie leo chadema. ndani ya dakika 10 atakuwa keshatakata mitandaoni. kama lowasa ilichukua dkk 40 tu kutakata nadhani kwa kinana itakuwa less.
ilichukua masaa 8 tu Dr. slaa kuonekana hamnazo ndani ya chadema (uzi wa mungi na first lady asiyenasifa za ...) na masaa 3 tu Prof. Lipumba kuonekana sio chochote. ilichukua masaa 6 tu Maalimu seif kuonekana mpambanaji wa kweli
Hii ndo mitandao ya kibongo. full usanii. Nyumbu katika ubora wake.


$105bn lost as jumbos killed in TZ - Business | The Citizen

Yaani kwa miaka mitano 2010 - 2014 tumepoteza 60% ya Tembo, ni vema tukatafakari ndani ya hii miaka mitano ni nani kiongozi wa nchi na ni kiongozi yupi wa CCM alihusishwa na biashara hii haramu ya meno Tembo na je tumeshuhudia kila tukio la wanaokamatwa na meno ya Tembo wachina hawakosekani na ni chama kipi Swahiba na hawa wachina?

Ukipata majibu ya hayo maswali utagundua wazi nani yupo nyuma na biashara hii.
 
Nilianzisha thread kama hiyo kwa jina " This is why I won't support CCM" ikafutwa na Mods. Tanzania tuna njia ndefu!
 
Nijuavyo mm.....Anamiliki Meli zaidi ya 4 Bandalini Kati ya Meli zake zilishwahi kukamatwa na meno ya Tembo Zanzabar...Uswiss na Mihadarati Brasil kiufupi Shetani kampa KItengo cha Maliasili Huku akimpa Mapinduzi Amfuge...Tangu Bwana Mamvi nimjue Hajawai kupeana mikono wala kupiga Picha ya Pamoja nae kwa sababu aliwauzia ardhi ndugu zake kule umasaini na kusababisha wamasai kupeleka mifugo Usukumani kukatokea vita ya wamasai na wasukuma hadi leo hii....Watu wamekufa lakini damu yote iliyovuja naimani mungu kamwandikia yeye ndio maana miaka ya 90/80 J.k alitaka kumpa nchi Balozi mmoja watu wakaleta Ubaguzi nadhani J.K cyo mungu wetu useme akisema amesema wananchi tunanafasi yetu katika hii nchi hivi angempa nchi yule Balozi angekuwa na uchungu na Nchi hii kweli kama huyu wasasa anatuuzia Maliasili yetu hivi je yeye ingekuwaje mimi nasema ivi nipeni Sniper Nijitoe Muanga kama kweli UNauchungu na Nchi hii
 
Katibu Mkuu wa CCM...haki ya Mungu...!!

Mungu tusaidieeee ..Tanzania yetu inamalizwa na CCM...!!!
 
Back
Top Bottom