Huko napo anasign MOU za kutuuza kama alivyoganya na UAE,hawa wenye pua refu hawanaga lolote zaidi ya kutuletea tende na majambia#PICHA Rais @samia_suluhu_hassan akizungumza na mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.
#EastAfricaTVView attachment 2770508
Wazanzibari na waraabu!, ni kama nzi kwa kidonda....kweli Tanganyika ya Nyerere imepatikana
Why?Hii ni hatari sana
Kwahiyo muuzwe tuuuuu msiishe?Huko napo anasign MOU za kutuuza kama alivyoganya na UAE,hawa wenye pua refu hawanaga lolote zaidi ya kutuletea tende na majambia
Nchi ilishakombolewa kitambo, jitahidi ukomboe tumbo lako jombaa.hii nchi inahitaji kukombolewa. tunahitjai kumwomba sana Mungu.
Magufuli alisema tanzania ni li Nchi likubwa sana lakini haliishi,maana kama kuuzwa mi nakumbuka tuliaanza kuuzwa toka enzi ya Rais Mwinyi na hadi leo bado tunauzwa,na atakae kuja nae atauza!!Kwahiyo muuzwe tuuuuu msiishe?
Hii mentality mbaya sana
Kule Oman kuna Kabila linaongea Kiswahili. Hawa ndiyo wale babu zao walikua mabwana kule Unguja kabla ya mapinduzi.Walio wengi ndiko iliko asili yao, na wala hawajakubali kuwa wao ni Waafrika. Wanajua kuwa wanaishi Afruka lakini kwao ni Uarabuni.
Ooh Lord, sijui naye amekabidhiwa kipande gani cha nchi#PICHA Rais @samia_suluhu_hassan akizungumza na mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.
#EastAfricaTVView attachment 2770508
Walahi peponi ataingia shehe kipozeo tu.Huo michoro ukutani ukiiangalia ukiwa umeshiba mihogo kwa ngugu na mtindi hauonekani vizuri



Hahahaha Jf sihami ila hilo bango hapo juu kwakweli linatia aibuHilo ndo tatizo la mazeli kuzurula kwenye sebule za watu, ona sasa hadi anakalishwa kwenye bango la kuliwa tunda kimasihara
Mwadui iliuzwa na Mwinyi?Magufuli alisema tanzania ni li Nchi likubwa sana lakini haliishi,maana kama kuuzwa mi nakumbuka tuliaanza kuuzwa toka enzi ya Rais Mwinyi na hadi leo bado tunauzwa,na atakae kuja nae atauza!!
Acheni nongwa za kijinga.Hivi mama yetu hana sehemu nyingine ya mipango yake hadi iwe Falme za kiarabu ?
Ndo akili yake ilipoishia hapo ,akiwa mtu amepigia mtandio wa maroon na baibui la pink anaona tiari ameshaakuw mwenzakeHivi mama yetu hana sehemu nyingine ya mipango yake hadi iwe Falme za kiarabu ?