Doha: Rais Samia azungumza na Sheikha Moza

Doha: Rais Samia azungumza na Sheikha Moza

Aende wapi Sasa Vatican??

Nani kakuambia Italy Kuna Hela,kule njaa Sasa aende akafanye nini,Zaid Zaid ataambulia kupewa misalaba tuh,Sasa ya kazi Gani?
Mwambie huyu.middle east sasa ndio kuna pesa.kila mtu kageukia middle east siasa za geopolitical zinataka uwe vizur na middle east huoni brics wanavokuja. Huyo sheikha moza peke yake ana utajir wa dola bil 15 zankwake mwenyewe.
 
#PICHA Rais @samia_suluhu_hassan akizungumza na mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.

#EastAfricaTVView attachment 2770508
Yuko over influenced na uarabu asije kutuuza kwa nchi nyingine ya kiarabu tena. Ndio maana akiwa na hawa watu bila mtanganyika kuwepo tunaogopa.
 
Mwambie huyu.middle east sasa ndio kuna pesa.kila mtu kageukia middle east siasa za geopolitical zinataka uwe vizur na middle east huoni brics wanavokuja. Huyo sheikha moza peke yake ana utajir wa dola bil 15 zankwake mwenyewe.
Sijui we ni ke au me, hata hivyo ushauri tu usipende sana kutamani pesa ya mwarabu, itakutokea puani
 
Yuko over influenced na uarabu asije kutuuza kwa nchi nyingine ya kiarabu tena. Ndio maana akiwa na hawa watu bila mtanganyika kuwepo tunaogopa.
Yaani dola apewe mzanzibari halafu uone walikosea?!!!

Shule ulikwenda kusomea ungeseeeerrrrr?!!!
 
Sijui we ni ke au me, hata hivyo ushauri tu usipende sana kutamani pesa ya mwarabu, itakutokea puani
Ila mzungu inafaa si ndio na haitokei puani. Shida inajulikana sana ni udini tu hakuna kingine
Shida inaanzia hapo
 
Ila mzungu inafaa si ndio na haitokei puani. Shida inajulikana sana ni udini tu hakuna kingine
Shida inaanzia hapo
Ndiyo tatizo udini. Tunaona wenzetu dini mnaiweka mbele sana. Tuliyoyashuhudia UDOM hatutaji yajirudie kwenye bandari zetu. Maliasili za umma zibaki kwenye mikono ya umma.
 
Back
Top Bottom