Doha: Rais Samia azungumza na Sheikha Moza

Doha: Rais Samia azungumza na Sheikha Moza

Waarabu hapa Tanzania ni kwao pia. Walifika mwambao huu kabla hata wabantu hajaondoka huko Cameroon.
Mama piga kazi tu achana na watu wanaongalia picha na akili zao zinaenda kwenye ngono. Hawana ustaarabu na staha za kujadili vitu muhimu.
Huyo mwenyeji anaendesha taasisi muhimu sana ya elimu kwa watoto na Tanzania ina nafasi ya kufaidika.
 
#PICHA Rais @samia_suluhu_hassan akizungumza na mke wa aliyekuwa Mfalme wa Qatar Sheikh Hamad Bin Khalifa Al- Thani, Sheikha Moza Bint Nasser Al-Missned wakati alipomtembelea Jijini Doha nchini Qatar tarehe 03 Oktoba, 2023.

#EastAfricaTVView attachment 2770508
Baadae tutaanza kumuona mazeli naye ameiga mtindo wa kufunua nywele kama alivyofanya Sheikha Moza
 
Waarabu hapa Tanzania ni kwao pia. Walifika mwambao huu kabla hata wabantu hajaondoka huko Cameroon.
Mama piga kazi tu achana na watu wanaongalia picha na akili zao zinaenda kwenye ngono. Hawana ustaarabu na staha za kujadili vitu muhimu.
Huyo mwenyeji anaendesha taasisi muhimu sana ya elimu kwa watoto na Tanzania ina nafasi ya kufaidika.
Hilo ndo tatizo la mazeli kuzurula kwenye sebule za watu, ona sasa hadi anakalishwa kwenye bango la kuliwa tunda kimasihara
 
Back
Top Bottom