Kwa sasa Yamal ndo best player worldwide, Mbappe Vinicius jr, Rodrigo, Raphinha, salah,Saka,Jamal musiala, Nicolas wiliam wakae pembeni kwanza
Naunga mkono hoja huyu dogo mambo yake anafanya bila nguvuKwa sasa Yamal ndo best player worldwide, Mbappe Vinicius jr, Rodrigo, Raphinha, salah,Saka,Jamal musiala, Nicolas wiliam wakae pembeni kwanza
Dogo anajua...Huyu dogo amekuja mapema hii syo generation yake hii ilikuwa generation ya akina mbappe yeye amekuja kuvuruga tu mpangilio.
View attachment 3321970
Unafuatulia mpira?Ni nini cha kipekee kuhusu huyu dogo,?? nimeanza kumsikia hivi karibuni
Yule mtoto alikuwa mzuri Sana ila xavi aliua kipaji chakeana fanya kwa nafasi yake, ila sio world player Kama mnavyo aminishana.
Una mkumbuka ansu fati?, si mpaka barca wali mwekea release clause ya 1b ikawaje?
flick is good kwenye kukuza, ila hype na huge expectations vina weza mvuruga yamal.Yule mtoto alikuwa mzuri Sana ila xavi aliua kipaji chake
Hapana, siyo mfuatiliaji. Nafatilia kwa mbaaali sana, lakini siyo mpenziUnafuatulia mpira?
Sasa ansufati ndo umfananieshe na Yamal!ana fanya kwa nafasi yake, ila sio world player Kama mnavyo aminishana.
Una mkumbuka ansu fati?, si mpaka barca wali mwekea release clause ya 1b ikawaje?