Dogo ni mvurugaji kwelikweli!

Dogo ni mvurugaji kwelikweli!

Dimarco alitumwa kumkaba yamal kilichomkuta hakuamini babu yule
 
Lakini Yamal anacheza kipindi ambacho wachezaji wengi sio bora kibinafsi...Yamal kapata opportunity mapema kutokana na makuzi yake la Masia...Gaucho hakupata tu bahati ya kuonwa mapema..ila Gaucho alikua shida
 
Lakini Yamal anacheza kipindi ambacho wachezaji wengi sio bora kibinafsi...Yamal kapata opportunity mapema kutokana na makuzi yake la Masia...Gaucho hakupata tu bahati ya kuonwa mapema..ila Gaucho alikua shida
Hayo ni mawazo Yako binafsi
 
Dogo anajua lakini mbape alikua bora zaidi yake at the age 17
Mbali ni machachari, speed na fiziki yake ipo juu

Tuache ushabiki body strength yake ipo chini ila sasa anavyovifanya bila nguvu sio vya nchi hii, ninachokiona hatari kwake amekuwa world class player akiwa mtoto isije kumchanganya

Mtu yoyote ataje wachezaji wake bora sasa hivi tuone list hapa(uzi ndani ya uzi)

NB Usitaje list ya watu wanaofanya mambo wakiwa wamejikaza kama wako chooni
 
Lakini Yamal anacheza kipindi ambacho wachezaji wengi sio bora kibinafsi...Yamal kapata opportunity mapema kutokana na makuzi yake la Masia...Gaucho hakupata tu bahati ya kuonwa mapema..ila Gaucho alikua shida
Gaucho ni zaidi ya SHIDA
 
Back
Top Bottom